kagame

Paul Kagame (; born 23 October 1957) is a Rwandan politician and former military leader. He is the 4th and current President of Rwanda, having taken office in 2000 when his predecessor, Pasteur Bizimungu, resigned. Kagame previously commanded the rebel force that ended the 1994 Rwandan genocide. He was considered Rwanda's de facto leader when he served as Vice President and Minister of Defence from 1994 to 2000. He was re-elected in August 2017 with an official result of nearly 99% in an election criticized for numerous irregularities. He has been described as the "most impressive" and "among the most repressive" African leaders.Kagame was born to a Tutsi family in southern Rwanda. When he was two years old, the Rwandan Revolution ended centuries of Tutsi political dominance; his family fled to Uganda, where he spent the rest of his childhood. In the 1980s, Kagame fought in Yoweri Museveni's rebel army, becoming a senior Ugandan army officer after Museveni's military victories carried him to the Ugandan presidency. Kagame joined the Rwandan Patriotic Front (RPF), which invaded Rwanda in 1990. RPF leader Fred Rwigyema died early in the war and Kagame took control. By 1993, the RPF controlled significant territory in Rwanda and a ceasefire was negotiated. The assassination of Rwandan President Juvénal Habyarimana set off the genocide, in which Hutu extremists killed an estimated 800,000 to 1,000,000 Tutsi and moderate Hutu. Kagame resumed the civil war, and ended the genocide with a military victory.
During his vice presidency, Kagame controlled the national army and maintained law and order, while other officials began rebuilding the country. Many RPF soldiers carried out retribution killings. Kagame said he did not support these killings but failed to stop them. A small number of these soldiers were later put on trial. Hutu refugee camps formed in Zaire and other countries. These camps were given food and medical aid by several western governments and aid agencies. The RPF attacked the camps in 1996, forcing many refugees to return home, but insurgents continued to attack Rwanda. The attack on the refugee camps killed an estimated 200,000 people. As part of the invasion, Kagame sponsored two controversial rebel wars in Zaire. The Rwandan- and Ugandan-backed rebels won the first war (1996–97), installing Laurent-Désiré Kabila as president in place of dictator Mobutu and renaming the country as the Democratic Republic of the Congo (DRC). The second war was launched in 1998 against Kabila, and later his son Joseph, following the DRC government's expulsion of Rwandan and Ugandan military forces from the country. The war escalated into a conflict that lasted until a 2003 peace deal and ceasefire.
As president, Kagame has prioritized national development, launching a programme to develop Rwanda as a middle-income country by 2020 (Vision 2020). As of 2013, the country is developing strongly on key indicators, including health care and education; annual growth between 2004 and 2010 averaged 8% per year. Kagame has had mostly good relations with the East African Community and the United States; his relations with France were poor until 2009. Relations with the DRC remain tense despite the 2003 ceasefire; human rights groups and a leaked United Nations report allege Rwandan support for two insurgencies in the country, a charge Kagame denies. Several countries suspended aid payments in 2012 following these allegations. Kagame is popular in Rwanda and with some foreign observers; human rights groups accuse him of political repression. He won an election in 2003, under a new constitution adopted that year, and was elected for a second term in 2010. Kagame was elected again in 2017, and due to yet another change in the constitution, he could potentially be President until 2034. His role in the assassination of exiled political opponents has been controversial.

View More On Wikipedia.org
  1. S

    Injinia Hersi akikabidhi Jezi ya Yanga kwa Raisi kagame

    Waziri wa michezo wa Rwanda Akipokea kwa niaba ya Raisi Kagame . https://m.youtube.com/watch?v=OKCQOPb1DkM Rais wa Yanga SC, Eng. Hersi Said mapema leo ametoa zawadi ya jezi kwa Rais wa Rwanda Paul Kagame kama sehemu ya kutambua mahusiano mema na mapenzi ya Kagame katika michezo. Zawadi hiyo...
  2. Unique Flower

    Rais Kagame kanifurahisha na points zake

    Yaani huyu mzee nimempenda nampenda nanitampenda!
  3. The Sunk Cost Fallacy 2

    Rais Paul Kagame aahidi kuwasweka gerezani mahujaji wa Kikatoliki wanaotukuza ufukara

    Hii imekuja baada ya kushutumu watu wanaotembea maelfu ya km kwenda mojawapo ya Kijiji Nchini humo kufanya hija Kwa maelezo kwamba mwaka 1981 Bikira Mariam mama wa Yesu aliwatokea mabinti 2 eneo Hilo. Kagame amechukizwa na Hali hiyo ambayo Kanisa la Katoliki Rwanda linabariki na kufanya sehemu...
  4. M

    Diamond alipokutana na Kagame Rwanda alionesha Mapungufu ya Kiitifaki

    Mlioona clip ya juzi ikimuonyesha Diamond akiwa Rwanda na kukutana na Rais Kagame utaona Approach yake kwa kiongozi huyo ilivyokuwa na kasoro, jinsi Diamond alivyokuwa anamuongelesha Rais huyo ilikuwa kama vile anaongea na Babu Tale au mtu mwenye hadhi ya kawaida tu. Pia alionekana mara nyingi...
  5. kmbwembwe

    Kila nikipiga ramli naiona Rwanda na Kagame kama dalali wa kuuza bandari zetu kwa DP World

    Rwanda ni nchi ndogo ya milima na isiyo na bandari pia ina idadi kubwa ya watu kulinganisha na eneo lake. Ni tofauti na Tanzania ambayo ni nchi kubwa ardhi ya kutosha mali asili kibao na ukanda wa bahari mkubwa wenye bandari nyingi. Rais Kagame ni mtu mwerevu sana kwenye kujenga uchumi wa nchi...
  6. BARD AI

    Rais Kagame amteua Binti yake kuwa Mkurugenzi wa Baraza la Mikakati

    Kwa mujibu wa Taarifa kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Ange Kagame Ndengeyingoma atakuwa Naibu Mkurugenzi Mtendaji, Baraza la Mikakati na Sera (SPC). Angel amekuwa akifanya kazi katika Ofisi ya Rais kwa miaka 5, elimu yake ya Sekondari hadi Chuo Kikuu amesoma Nchini Marekani akiwa na uzoefu wa...
  7. D

    Tetesi: Paul Kagame nyuma ya DP world

    Wajumbe, Hili dude la mkataba wa DP World na Serikali ya Tanzania ina makando-kando mengi. Katika kufukunyua nimekutana na wavaa miwani mieusi tena ni PSU. Huyu Bwana amenidokeza kwamba katika uwekezaji huu Rwanda ya Paul Kagame anayo hisa 17% katika kampuni ya DP World na ndiye amekuwa na...
  8. S

    Rwanda kujengwa bandari kavu kwa ajili ya mzigo wa DP World, Kagame nae anaiuza nchi Rwanda kwa Mwarabu?

    Ipo video inatembea Youtube inayoonyesha namna serikali ya Rwanda ilivyofungua bandari kavu tayari kwa ajili ya mzigo wa DP World. Tayari kwa ajili ya biashara ya kuweka mzigo unaokuja bandari ya Dar na kwenda Dubai. Mwarabu alijipanga siku nyingi sana. Hii ni biashara iliyoanza tangu miaka...
  9. Subira the princess

    CCM tambueni hii nchi sio mali ya yenu na kuna vizazi baada yenu

    Wasalaam, nakumbuka rais paul kagame enzi za utawala awamu ya nne aliwasema Tanzania hakuna viongozi wenye uchungu na rasilimali za nchi bali kuna wachumia tumbo watanzania tulio wengi tulimbeza na kumtukana. Mh kagame akaenda mbali zaidi kwa kusema kwa nchi km tanzania BANDARI ya dar pekee bila...
  10. Z

    Kagame alisema kuwa mkinipa bandari ya Dar es Salaam nina uwezo wa kulisha Tanzania nzima angefanyeje?

    Ubinafiswaji kwangu naichukulia kama tabia ya wavivu. Bandari tuwape JKT waiendeshe. Kweli hatujui source of income kwetu ni ipi? Dah Mwafrika ni hasara kwa Mungu nahisi!! Miaka 60 ya uhuru hatuwezi kuendesha mambo yetu mpaka tuwapigie magoti watu wengine?
  11. GENTAMYCINE

    Kwa Kitendo cha EAC Kumgeuka na Kumchoka Tshisekedi na Congo DR yake Mliomlaumu Kagame na Rwanda yake muombeni Radhi upesi

    Ukiona Mtu yoyote anapendwa au anakubalika na GENTAMYCINE jua huyo Mtu ana Akili Kubwa halafu Kabarikiwa na Mwenyezi Mungu na ukiona namchukia Mtu jua ni Mpumbavu na Mwendawazimu mno. Mapema mwishoni mwa mwaka 2022 na mwanzoni mwa mwaka 2023 Rais wa Rwanda Paul GENTAMYCINE Kagame na Rwanda yake...
  12. benzemah

    Rais Samia Ziarani Namibia

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hosea Kutako, Windhoek nchini Namibia kwa ajili ya Mkutano wa dharura wa Troika plus wa Wakuu wa Nchi na Serikali za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zinazochangia...
  13. Venus Star

    Je, ni nini lengo la ziara ya Ghafla ya Paul Kagame hapa Tanzania 27-04-2023?

    Tunavyozidi kuendelea na maisha ya kila siku, hatuwezi kuacha kufikirisha bongo zetu. Ziara ya Paul Kagame imenifanya nifikirie sana. Kwanini iwe ziara ya ghafla hivyo? Katika mawazo yangu nimewaza mambo kadha wa kadha. 1. Tayari huko Congo ya mashariki vurugu inaendelea. Na sote tunajua yule...
  14. Roving Journalist

    LIVE Rais Samia kuzungumza na Rais Paul Kagame wa Rwanda, Ikulu, Dar es Salaam, leo Aprili 27, 2023

    Rais wa Rwanda, Paul Kagame yupo katika ziara ya kikazi ya siku mbili nchini Tanzania. Baada ya kupokewa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Stergomena Tax katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam, Rais Kagame atakutana na mwenyeji wake...
  15. benzemah

    Tutegemee nini Mkutano wa Rais Samia na Paul Kagame Ikulu leo?

    Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan atampokea Ikulu Jijini Dar es Salaam, Rais wa Rwanda Paul Kagame leo ambapo tukio hilio lintarajiwa kuwa mbashara kuanzia saa 9:00 Alasiri. Je tutegemee nini kutokana na ziara hii kutokana na historia kati ya nchi za Tanzania na Rwanda lakini pia...
  16. Roving Journalist

    Rais wa Rwanda Paul Kagame awasili Nchini na kufanya Mazungumzo na Rais Samia, leo Aprili 27, 2023

    Fuatilia yanayojiri kwenye Mapokezi ya Rais wa Rwanda Paul Kagame akiwasili nchini Tanzania leo Aprili 27, 2023. Rais wa Rwanda Paul Kagame amewasili nchini leo na kupokelewa na Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dr. Stergomena Lawrence Tax kwenye uwanja wa Kimataifa wa...
  17. B

    Yaliyowakuta Mambuzi Dodoma, yamkuta Kagame

    Huu utamaduni wa kualika wageni kwenye mikutano ya vyama haikosi kuja na yake: Kama mambuzi Dodoma yamemkuta Tolu mwamba wa Kigali. Kwa mwendo huu pana siku yanaweza kuwa makubwa zaidi ya haya.
  18. Nelson Jacob Kagame

    Afande Kagame: Wanajeshi huwa hawalalamiki?

    Afande Kagame siku nyingine najua unapitia pitia mitandao ya kijamii ya Watanzania iliyoandikwa kwa lugha za Kiswahili ama Kingereza kama Jamii Forums na kadhalika. Afande najua hupendi kuulizwa maswali ila mimi ngoja nikuulize swali, mbona unakuwa muoga wa kurudi frontline kupambana na haya...
  19. GENTAMYCINE

    Haya wale Viherehere na mwenye Chuki na Rwanda, Rais Kagame na Wanyarwanda mjibuni sasa Rais wa Ufaransa Macron

    " Congo DR iache kila mara Kulaumu Kuvamiwa na Rwanda, tumechoka na kabla ya Kuwashutumu Majirani zao Wajiimarishe hasa Kiusalama na Kuimarisha kama Taifa kwa Umoja na Kuwaunganisha Wakongo wote* amesema Rais wa Ufaransa Manuel Macron alipokuwa Ziarani nchini Congo DR. Chanzo Taarifa: Amka na...
  20. JanguKamaJangu

    Kagame ailaumu DR Congo kwa kukiuka makubaliano

    Rais wa Rwanda, Paul Kagame amepeleka shutuma hizo kwa Rais wa Jamhuri ya Demokrasia ya Congo (DRC), Félix Tshisekedi akidai anakiuka makubaliano kadhaa wanayoafikiana kuhusu mgogoro baina ya Nchi hizo unaoendelea. Rais Kagame amedai licha ya kufanya mikutano na kukubaliana lakini Rais...
Back
Top Bottom