Kagame anampiga vita Raila

Kagame anampiga vita Raila

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
6,548
Reaction score
9,018
Paul Kagame,anampiga vita Baba Raila Odinga asiwe rais wa kamisheni ya Afrika,kwani anajua kuwa hawezi kumburuza.Kiburi na jeuri ya Kagame itaendelea mpaka lini?
 
Na Raila atashinda hicho kiti. Hiyo mutu inayofanana na mjusi haiwezi kumzuia Odinga kukaa kwenye kiti.
 
Paul Kagame,anampiga vita Baba Raila Odinga asiwe rais wa kamisheni ya Afrika,kwani anajua kuwa hawezi kumburuza.Kiburi na jeuri ya Kagame itaendelea mpaka lini?
Kagame anataka Rais wa hiyo kamisheni awe nani ?
 
Back
Top Bottom