Wapo wengi waliopotezwa na kuuliwa kabisa ila wengi waliacha ujumbe wa kishujaa.
Hawa ni moja ya tuliowafahamu:
SOKA: “ikitokea nimepotezwa, msilie pambaneni na msikubali usaliti.”
MDUDE: “Kama kuna tuhuma, wanipigie niende… kwa nini kunivizia?”
BUYOBE: “nikipotea ghafla, kosa langu litakuwa...