Bwana akamwambia Yoshua, Haya! Inuka, mbona umeanguka kifudifudi hivi?
11 Israeli wamefanya dhambi, naam, wamelivunja agano langu nililowaagiza; naam, wametwaa baadhi ya vitu vilivyowekwa wakfu; tena wameiba, tena wameficha na kuvitia pamoja na vitu vyao wenyewe.
Master of the Universe,' asked...