john heche

John Heche is a Tanzanian politician. He serves as a member of the Parliament of Tanzania.

View More On Wikipedia.org
  1. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Heche: CHADEMA tumekataa kuwa sehemu ya uchaguzi wenye unajisi, na tunataka serikali ifanye mabadiliko kwenye mifumo ya uchaguzi

    CHADEMA tumekataa kuwa sehemu ya uchaguzi wenye unajisi, na tunahisii serikali ifanye mabadiliko kwenye mifumo ya uchaguzi, lakini pia tunashambuliwa kila upande mahakamani, ofisi ya msajili, polisi , John Heche
  2. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 John Heche ampinga Rais Samia. Adai hakuna uhuru wa kufanya Siasa

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bara John Heche amedai kuwa kitendo cha chama hicho kuzuiliwa kufanya siasa ni njama inayotumiwa kukikandamiza chama hicho kikuu cha upinzani. Heche ameyasema hayo Jumatatu Juni 30, 2025 wakati akitoa taarifa kwa umma kupitia...
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Heche: Vijana wa Kitanzania Serikali hii haiwezi kuwatoa kwenye matatizo, tuungane mkono ili tupambanie maisha yetu

    Vijana Watanzania Serikali hii aiwezi kuwatoa kwenye matatizo, tuungane mkono ili tupambanie maisha yetu, kilimo kimefeli na kilimo ndio sehemu pekee inaweza kuwapa nyie ajira kwa uhakika. Hakuna utaratibu wowote wa kufungua viwanda, migondi yetu inakabidhiwa kwa wageni haswa Wachina, ukienda...
  4. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania John Heche: Hotuba ya Rais Bungeni hajazungumza na Wananchi alikuwa anatoa maelezo kwa Vyombo vya Dola

    Akizungumza leo Juni 30, 2025 Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche amedai kuwa hotuba ya Rais Samia aliyoitoa Ijumaa iliyopita Juni 27, 2025 ilielekea zaidi katika kutoa maelekezo kwa vyombo vya Dola kuliko kuzungumza na Wananchi.
  5. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania John Heche: Sisi CHADEMA tunaitaka serikali iwaeleze Watanzania zaidi ya Trilioni 46 zimetumika kufanya nini isiwe ndizo zinanua baiskeli

    Makamu mwenyekiti wa CHADEMA John Heche amesema wao CHADEMA wanaitaka serikali iwaeleze Watanzania zaidi ya Trilioni 46 zimetumika kufanya nini au miradi gani imefanyiwa kazi kupitia fedha hizo, lakini isiwe ndizo zinanua baiskeli na kuwagiwa watu bure na mwisho wa siku Watanzania wanapata...
  6. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania John Heche: Rais Samia Alitoa Maelekezo kwa Vyombo vya Dola Badala ya Kuwahutubia Wananchi

    https://www.youtube.com/watch?v=pxv_q95srWY Updates.. John Heche amedai kuwa hotuba ya Rais Samia aliyoitoa Ijumaa iliyopita Juni 27, 2025 ilielekea zaidi katika kutoa maelekezo kwa vyombo vya Dola kuliko kuzungumza na Wananchi. Vijana Watanzania Serikali hii aiwezi kuwatoa kwenye matatizo...
  7. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania John Heche: Leo Saa Nane tutazungumza na Watanzania, CCM imeshindwa kuiongoza Nchi

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tanganyika, John Heche, amesema leo saa nane mchana watatuma ujumbe kwa Watanzania kupitia vyombo vya habari, akisisitiza kuwa nchi inahitaji uongozi thabiti huku akieleza wazi kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeshindwa kuiongoza nchi...
  8. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania John Heche: Mahakama isipange kesi ya Lissu kwenye Vyumba vidogo

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA – Bara, John Heche ametoa wito kwa Mahakama kutumia Vyumba vikubwa wakati wa mchakato wa kesi ambayo Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Tundu Lissu ameifungua katika Mahakama Kuu akiitaka kufanya marejeo ya kesi ya uchochezi inayomkabili katika Mahakama Kisutu. Heche...
  9. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 John Heche: Shughuli ziendelee bila kutumia rasilimali za chama

    CHADEMA tunapenda tusomeke kuwa sisi ni wapigania haki na pia tunaheshimu misingi ya sheria na utawala bora hivyo tuna wajibu wa kuheshimu maamuzi ya mahakama katika misingi iliyo ya haki na kweli kamwe hatutasujudu kwenye mambo ya hila na ukandamizaji. Tuna kusudi la kuomba la kuomba mapitio...
  10. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 John Heche: Jaji Mwanga ajitoe katika kusikiliza kesi yetu, CHADEMA hatuna imani naye

    Makamu Mwenyekiti Tanganyika, John Heche kuzungumza na Watanzania kupitia Chadema Media TV YouTube, Jioni hii baada Polisi kuzuia Mkutano wake na Waandishi wa Habari uliokuwa ufanyike leo Juni 17, 2025 saa Tano Asubuhi https://www.youtube.com/watch?v=Jxk77712D8I "Mwezi Juni 2025 Mahakama Kuu...
  11. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 POSTPONED (PP): John Heche anazungumza na Watanzania kupitia Waandishi wa Habari, Dar es Salaam, Julai 17, 2025

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Bara, John Heche atazungumza na Watanzania kupitia mkutano na waandishi wa habari leo tarehe 17 Juni 2025 saa tano kamili asubuhi, katika hotel ya Seashells Millennium Hotel, iliyopo Makumbusho Dar es salaam, waandishi wote wa habari mnakaribishwa...
  12. MIMI BABA YENU

    JamiiForums Tanzania Mkutano wa John Heche na Waandishi wa Habari ni Chadema kujichanganya kisheria. Usiri wao utawagharimu

    Kuna taarifa kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chadema John Heche atazungumza na waandishi wa habari leo tarehe 17 Juni 2025 saa tano kamili asubuhi, katika hotel ya Seashells Millennium Hotel, iliyopo Makumbusho Dar es salaam. Chadema imeamua kufanya mkutano huo kwa siri, usiri huo utawaponza hasa...
  13. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Hii nguvu ya kisiasa na ushawiahi mkubwa wa John Heche imetokea wapi muda mfupi?

    John Heche amekuwa na ushawishi mkubwa sana kisiasa. Akiongea majukwaani mioyo ya watu inatetemeka namna anavyoongea kwa uchungu juu ya taifa lake. Combination ya Lissu na Heche ni jibu tosha kwa watawala wasio na nia njema na taifa letu.Au ndege wa rangi moja wanaruka pamoja!
  14. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Heche amjibu RPC Tabora: Acha upotoshaji, huyo aliomba radhi kwa niaba ya mtoto wa dada yake ambaye alitushambulia

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA-Bara, John Heche, amemtaka RPC wa Tabora kuacha upotoshaji kuhusu tukio la kushambuliwa kwao wakati wa mkutano wao. Pia, Soma: Polisi Tabora: Aliyemuomba msamaha Heche sio Polisi, tayari tumeshamkamata Heche amesema hakuna sehemu yoyote kwenye mazungumzo ambapo...
  15. McLaren

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Polisi Tabora: Aliyemuomba msamaha Heche sio Polisi, tayari tumeshamkamata

    Wakuu, Jeshi la Polisi mkoa wa Tabora limesema kwamba, halina Mkuu wa kituo cha polisi wa aina ya yule ambaye video yake ilisambaa kwenye mitandao ya kijamii yenye kichwa cha habari kisemacho "Mkuu wa kituo cha polisi Tabora amuomba msamaha Heche baada ya vurugu", na kwamba tayari limemkamata...
  16. McLaren

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa Kituo cha Polisi Tabora amuomba radhi John Heche kutokana na vurugu zilizotokea kwenye mkutano wa CHADEMA

    Wakuu, Kumbe hata huko kwenye Jeshi La Polisi kuna watu bado wana uungwana? Huyu hata akifukuzwa kazi huko Polisi wananchi simameni mumchangie. Soma Pia: Mkutano wa Heche washambuliwa Igunga, Tabora Kafanya jambo la kitume sana https://www.youtube.com/watch?v=-n8I1q4rGHI
  17. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 POTOSHI Heche asema operesheni ya 'No reforms No Election ni ya kijinga sana, ni ya hovyo

  18. R

    JamiiForums Tanzania John Heche, sasa unaweza kutembea juu ya maji mengi kama Petro, Usiogope

    Salaam, Killa KITABU na nyakati zake, Hizi ni nyakati zako sahihi John Heche, huu ni wakati wa maji kugeuka cement na kuubeba mwili wako Kisha utem EE juu yake. Maji ni watu, watu waeza kukubeba illi ukivushe chama,sauti za kelele kwamba hayo ni maji tu utazamaaa,wengine upepo mkali unakuja...
  19. I

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 John Heche achochea vurugu kwenye mikutano, wananchi wapokea kichapo na kuumizwa

    Licha ya kupewa kibali cha kufanyia mikutano ya hadhara kwa sharti la kulinda amani, lakini Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA ameonekana kushindwa kutumia uhuru aliopewa na sasa ameanza kuamuru vijana wake kuanza kuwapiga wananchi wanaokwenda kuwasikiliza ajenda zao mfu za No Reforms No Election...
  20. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mkutano wa Heche washambuliwa Igunga, Tabora

    CHADEMA kupitia ukurasa wao wa X(Twitter) wamesema watu waliokuwa na mapanga na visu wamevamia mkutano wao maeneo ya Igunga mkoani Tabora, watu hao walianza kwa kurusha mawe msafara wa makamu mwenyekiti wa chama John Heche. CHADEMA pia wamethibitisha kujeruhiwa kwa mlinzi wa makamu Mwenyekiti...
Back
Top Bottom