Kama kuna mtu ndani ya CHADEMA mwenye uwezo wa kuwa Rais na kuleta mabadiliko ya kweli, basi ni John Heche.
Anaongea mambo ya msingi sana hoja zake ni za kisiasa, zenye uzito, na zinawagusa wananchi moja kwa moja. Lakini changamoto yake kubwa ni kuwa yupo pahala pasipo, yaani mazingira...