Mpaka sasa, taarifa zisizo na vumbi, mji wa UVIRA, makao makuu ya Kivu kusini, upo mikononi mwa waasi wa serikali ya DRC, ambao ni M23.
Ikumbukwe, wapiganaji wote wa upande wa serikali ya DRC, asilimia kubwa wamekimbilia nchini Burundi, huku wengine wakiwa wameelekea Kalemie.
Kalemie, ni mji...