Wadukuzi wa Myanmar wamedukua tovuti za serikali baada ya Internet kuzimwa kwa siku ya nne mfululizo.
Tovuti zilizodukuliwa ni pamoja na Tovuti ya Jeshi ya Kufanyia Propaganda, wavuti ya kituo cha Matangazo cha Taifa, tovuti ya mamlaka ya bandari na ya mamlaka ya chakula na Dawa.
Kundi...