Polepole: Jeshi la Polisi hamjafanya juhudi zozote za kunitafuta| Mawasiliano yangu rasmi yanajulikana Nimekuwa nikitafutwa kwa mtindo wa KUWINDWA.
Pia soma wito wa Polisi kwa Polepole: Polisi: Polepole afike Ofisi ya Mpelelezi wa Makosa ya Jinai ili kuthibitisha Tuhuma anazozitoa
Wakili Maduhu ameonya dhidi ya vitendo vya wananchi kujaribu kushindana na askari polisi, akirejea baadhi ya video zilizozagaa mtandaoni. “Nimeona video, sijui kama ni ya kweli au imehaririwa, ikimuonesha mwananchi akijaribu kumrushia askari ngumi. Hili haliwezi kukubalika. Jeshi la Polisi ni...
Natumia kisa Cha Mh Polepole kuhusu Ndugu yake kufatiliwa na Watekaji , kujenga Hoja yangu.
Mh Polepole anasema, Baadae alimshauri Ndugu yake kurepoti suala Hilo Polisi.
Bahati mbaya sana, Kwa Mujibu wa Polepole, Kila Kituo Cha Polisi alichoenda, akawa anaambiwa Nenda Kituo fulan, suala lako...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida kupitia kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Camillus Wambura, limemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwapatia magari mapya manne aina ya Toyota Hilux Double Cabin yatakayotumika kuimarisha ulinzi na usalama mkoani...
Matendo ya kikatili ya kupiga raia na kuwajeruhi au kuwaumiza ikiwemo kuwapa majeraha ya kudumu au wakati mwingine majeraha yaitwayo "Life changing injuries", yaonyesha mapungufu makubwa yaliyopo katika mafunzo ya polisi hususan chuo cha Polisi Moshi.
Matendo ya kinyama ya askari polisi ya...
https://youtu.be/JBthEm_5Myc?si=xtKNiW05D4y7m1CG
Serikali imetoa magari 24 kwa Jeshi la Polisi Mkoani Ruvuma kwa ajili ya kuongeza nguvu ya ulinzi na usalama katika maeneo mbalimbali ya mkoa huo, hususan katika kipindi hiki cha kampeni kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amekabidhi magari 8 aina ya Toyotaland Cruiser 2 Hardtop na Toyota Hilux Double Cabin 6 kwa Jeshi la Polisi mkoani humo yenye thamani ya zaidi ya Shilingi Bilioni 1.3.
Magari hayo yaliyokabidhiwa katika Viwanja vya Polisi Mabatini Jijini Mwanza, yatatumika...
Vitendo vya polisi vinaashiria jambo moja muhimu, kuwa hawa watu hawana akili, hawana weledi, Wamekosa Kabisa Hekima na Utu. Hakuna chochote wanachokijua isipokuwa kupiga watu na kuua. Kuna matujio mengi wanayoyafanya kuthibitisha hawa. Hata ile kusema polisi jukumu lao ni kuwalinda raja na mali...
Katika kuhakikisha Jeshi la Polisi Tanzania linaendelea kutoa huduma bora na za kisasa kwa wananchi, limeendelea kuwekeza katika mafunzo ya ndani na nje ya nchi kwa maafisa na askari wake, lengo likiwa ni kuboresha utendaji kazi na huduma kwa wananchi katika ulinzi wa maisha na mali zao
Mmoja...
Polisi naona wanajidai wenyewe kwamba wamewadhibiti. Ila hawa jamaa
Tarehe 15 Septemba, 2025 majira ya asubuhi eneo Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam wakati mashauri mbalimbali yakiendelea, lilijitokeza kundi la Wanachama wa CHADEMA baada ya ukumbi uliokuwa unatumiwa kwenye kesi ya Tundu...
Wakati akizungumza na Clouds 360 leo Septemba 15, 2025 , Rais wa TLS Boniphace Mwabukusi ameeleza kuwa mabadiliko makubwa yanayotakiwa kufanyika nchini ni kubadili jeshi la polisi namna yake ya ufanyaji kazi.
Haya yanajiri katika siku ambayo polisi wanaendelea kuwapiga wananchi waliohudhuria...
TAARIFA KWA UMMA
UFAFANUZI KUHUSU TAARIFA YA MIILI YA WATU SITA KUONEKANA MTO RUVU
Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linapenda kutoa taarifa ya ufafanuzi kuhusu taarifa inayosambaa katika mitandao ya kijamii kueleza kuhusu kuokotwa kwa miili ya watu sita iliyokuwa ikielea katika mto Ruvu, Wilaya ya...
Jeshi la Polisi limeshapata taarifa ya picha mjongeo iliyopo kushoto mwa taarifa hii inayosambaa katika mitandao ya kijamii na ufuatiliaji wa haraka na wa kina umeshaanza.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa ambaye ndiyo anasimamia msako na ufuatiliaji huo atatoa taarifa kamili muda si mrefu...
Wakili Gaston Shundo Garubindi Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu:
"Baada ya kukamilisha mahojiano kuhusu kosa la Kusambaza taarifa za uongo, Jeshi la Polisi wakasema wanakamilisha utaratibu wao lakini tumesubiri mpaka sasa usiku, mteja wetu hawajampatia dhamana"
Jeshi la Polisi Mkoani Shinyanga limekamata viongozi wa Chadema waliokuwa kwenye Kaburi la Bob Nyanga Makami wakifanya usafi huko Ukenyenge.
Walioshikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani humo katika kituo cha ukenyenge ni hawa wafuatao;
1. Jackson Mnyawami Mnyawami Katibu wa kanda ya serengeti
2...
Mgombea wa Kiti cha Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wa Chama cha National Reconstruction Alliance (NRA) Hassan Almas, amesema ndani ya siku thelethini baada ya kupewa ridhaa ya kuwa Rais wa Tanzania atafanya maboresho makubwa kwenye sekta mbalimbali hapa nchini ikiwa ni pamoja na...
TAARIFA KWA UMMMA
"Tunaitaka Jeshi la Polisi liache kutumika kisiasa"
Tumepokea taarifa, ya kukamatwa usiku mkubwa kwa Katibu wetu wa Jimbo la Kiwani Ndugu. Saleh Ali Masoud na Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Pemba na anashikiliwa katika kituo cha Polisi Madungu.
ACT Wazalendo, tunalalamika...
Siku hizi naambiwa ni Bora ukutane na jambazi akishakupora atakuacha salama kuliko ukutane na Polisi
Ukishawapa tu hela, wanakufunga pingu, wanakupeleka kwako ukawape hela nyingi zaidi, na wakizikosa wanakubambikizia kesi ya kukuta na bunduki.
Jeshi hili linatakiwa mabadiliko kuanzia kwenye...
Mamlaka ya mawasiliano Tanzania TCRA na Jeshi la Polisi kwapamoja wameogopa kabisa kumchukulia hatua ndugu Naseeb Abdul aka Diamond Platnumz baada ya video yake ya matusi ya nguoni kusambaa.
Katika video hiyo, Staa huyo wa muziki amewatukana akina mama wote wa Tanzania ambao vijana wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.