jeshi la polisi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Common Folk

    GE2025 Polepole: Jeshi la Polisi hamjafanya juhudi zozote za kunitafuta| Mawasiliano yangu rasmi yanajulikana

    Polepole: Jeshi la Polisi hamjafanya juhudi zozote za kunitafuta| Mawasiliano yangu rasmi yanajulikana Nimekuwa nikitafutwa kwa mtindo wa KUWINDWA. Pia soma wito wa Polisi kwa Polepole: Polisi: Polepole afike Ofisi ya Mpelelezi wa Makosa ya Jinai ili kuthibitisha Tuhuma anazozitoa
  2. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Wakili Msomi, Maduhu: Jeshi la Polisi ni chombo cha usalama, lazima liheshimiwe. Wananchi msiwashambulie

    Wakili Maduhu ameonya dhidi ya vitendo vya wananchi kujaribu kushindana na askari polisi, akirejea baadhi ya video zilizozagaa mtandaoni. “Nimeona video, sijui kama ni ya kweli au imehaririwa, ikimuonesha mwananchi akijaribu kumrushia askari ngumi. Hili haliwezi kukubalika. Jeshi la Polisi ni...
  3. Carlos The Jackal

    Kwa Sasa ni heri upambane mwenyewe na Mungu wako juu ya Usalama wako na sio kutegemea Jeshi la Polisi!!

    Natumia kisa Cha Mh Polepole kuhusu Ndugu yake kufatiliwa na Watekaji , kujenga Hoja yangu. Mh Polepole anasema, Baadae alimshauri Ndugu yake kurepoti suala Hilo Polisi. Bahati mbaya sana, Kwa Mujibu wa Polepole, Kila Kituo Cha Polisi alichoenda, akawa anaambiwa Nenda Kituo fulan, suala lako...
  4. Mkalukungone Mwamba

    Jeshi la polisi Singida lapokea magari mapya manne aina ya Toyota Hilux Double Cabin ili kuimarisha ulinzi

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida kupitia kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Camillus Wambura, limemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwapatia magari mapya manne aina ya Toyota Hilux Double Cabin yatakayotumika kuimarisha ulinzi na usalama mkoani...
  5. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Rc Ruvuma atoa shukrani kwa rais Samia kutoa magari mapya 24 kwa ajili ya shughuli za jeshi la polisi

    Rc Ruvuma atoa shukrani kwa rais Samia kutoa magari mapya 24 kwa ajili ya shughuli za jeshi la polisi
  6. Richard

    Matendo yanofanywa na jeshi la polisi wa raia yaonyesha mapungufu makubwa yaliyopo kwenye Chuo cha polisi Moshi

    Matendo ya kikatili ya kupiga raia na kuwajeruhi au kuwaumiza ikiwemo kuwapa majeraha ya kudumu au wakati mwingine majeraha yaitwayo "Life changing injuries", yaonyesha mapungufu makubwa yaliyopo katika mafunzo ya polisi hususan chuo cha Polisi Moshi. Matendo ya kinyama ya askari polisi ya...
  7. JanguKamaJangu

    GE2025 Serikali yakabidhi magari 24 kwa Jeshi la Polisi Mkoani Ruvuma kuimarisha ulinzi na usalama kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025

    https://youtu.be/JBthEm_5Myc?si=xtKNiW05D4y7m1CG Serikali imetoa magari 24 kwa Jeshi la Polisi Mkoani Ruvuma kwa ajili ya kuongeza nguvu ya ulinzi na usalama katika maeneo mbalimbali ya mkoa huo, hususan katika kipindi hiki cha kampeni kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025.
  8. Waufukweni

    FFU wakabidhiwa Magari 8 na Mkuu wa Mkoa Mwanza kuimarisha Utendaji wa Jeshi la Polisi

    Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amekabidhi magari 8 aina ya Toyotaland Cruiser 2 Hardtop na Toyota Hilux Double Cabin 6 kwa Jeshi la Polisi mkoani humo yenye thamani ya zaidi ya Shilingi Bilioni 1.3. Magari hayo yaliyokabidhiwa katika Viwanja vya Polisi Mabatini Jijini Mwanza, yatatumika...
  9. H

    Jeshi la Polisi kamwe halitakuja kuwa na weledi, mpaka siku ambapo kukosa akili kutaondolewa kuwa ni sehemu ya sifa muhimu

    Vitendo vya polisi vinaashiria jambo moja muhimu, kuwa hawa watu hawana akili, hawana weledi, Wamekosa Kabisa Hekima na Utu. Hakuna chochote wanachokijua isipokuwa kupiga watu na kuua. Kuna matujio mengi wanayoyafanya kuthibitisha hawa. Hata ile kusema polisi jukumu lao ni kuwalinda raja na mali...
  10. Waufukweni

    Polisi Tanzania wajengewa uwezo kwa kupatiwa mafunzo ya kisasa nchini Scotland

    Katika kuhakikisha Jeshi la Polisi Tanzania linaendelea kutoa huduma bora na za kisasa kwa wananchi, limeendelea kuwekeza katika mafunzo ya ndani na nje ya nchi kwa maafisa na askari wake, lengo likiwa ni kuboresha utendaji kazi na huduma kwa wananchi katika ulinzi wa maisha na mali zao Mmoja...
  11. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Jeshi la Polisi: Tumewadhibiti wafuasi wa CHADEMA walioleta fujo Mahakama Kuu Dar es salaam

    Polisi naona wanajidai wenyewe kwamba wamewadhibiti. Ila hawa jamaa Tarehe 15 Septemba, 2025 majira ya asubuhi eneo Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam wakati mashauri mbalimbali yakiendelea, lilijitokeza kundi la Wanachama wa CHADEMA baada ya ukumbi uliokuwa unatumiwa kwenye kesi ya Tundu...
  12. W

    GE2025 Wakati polisi wakiendelea kupiga wananchi mahakamani, Mwabukusi asema Jeshi la Polisi linatakiwa kufumuliwa lote, mitaala yao ibadilishwe

    Wakati akizungumza na Clouds 360 leo Septemba 15, 2025 , Rais wa TLS Boniphace Mwabukusi ameeleza kuwa mabadiliko makubwa yanayotakiwa kufanyika nchini ni kubadili jeshi la polisi namna yake ya ufanyaji kazi. Haya yanajiri katika siku ambayo polisi wanaendelea kuwapiga wananchi waliohudhuria...
  13. R

    Jeshi la Polisi yatoa ufafanuzi kuhusu Miili Sita iliyookotwa Mto Ruvu na kuwa hatua zitachukuliwa kwa wanaosambaza taarifa hiyo ya Taharuki

    TAARIFA KWA UMMA UFAFANUZI KUHUSU TAARIFA YA MIILI YA WATU SITA KUONEKANA MTO RUVU Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linapenda kutoa taarifa ya ufafanuzi kuhusu taarifa inayosambaa katika mitandao ya kijamii kueleza kuhusu kuokotwa kwa miili ya watu sita iliyokuwa ikielea katika mto Ruvu, Wilaya ya...
  14. Waufukweni

    Polisi waanza uchunguzi video ya tukio la mtoto akipigwa na kudaiwa kuuawa kikatili kwa tuhuma za kuiba Parachichi

    Jeshi la Polisi limeshapata taarifa ya picha mjongeo iliyopo kushoto mwa taarifa hii inayosambaa katika mitandao ya kijamii na ufuatiliaji wa haraka na wa kina umeshaanza. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa ambaye ndiyo anasimamia msako na ufuatiliaji huo atatoa taarifa kamili muda si mrefu...
  15. McLaren

    GE2025 Mkurugenzi wa sheria CHADEMA: Jeshi La Polisi wamezuia dhamana ya Lucy Shayo

    Wakili Gaston Shundo Garubindi Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu: "Baada ya kukamilisha mahojiano kuhusu kosa la Kusambaza taarifa za uongo, Jeshi la Polisi wakasema wanakamilisha utaratibu wao lakini tumesubiri mpaka sasa usiku, mteja wetu hawajampatia dhamana"
  16. Just Pray

    GE2025 Jeshi la Polisi Shinyanga linadaiwa kuwakamata viongozi wa CHADEMA waliokuwa wakifanya usafi kwenye Kaburi la Bob Nyanga Makami

    Jeshi la Polisi Mkoani Shinyanga limekamata viongozi wa Chadema waliokuwa kwenye Kaburi la Bob Nyanga Makami wakifanya usafi huko Ukenyenge. Walioshikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani humo katika kituo cha ukenyenge ni hawa wafuatao; 1. Jackson Mnyawami Mnyawami Katibu wa kanda ya serengeti 2...
  17. W

    GE2025 Mgombea Urais kupitia NRA aahidi kulibadili jina Jeshi la polisi, kuwa Police service

    Mgombea wa Kiti cha Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wa Chama cha National Reconstruction Alliance (NRA) Hassan Almas, amesema ndani ya siku thelethini baada ya kupewa ridhaa ya kuwa Rais wa Tanzania atafanya maboresho makubwa kwenye sekta mbalimbali hapa nchini ikiwa ni pamoja na...
  18. DuaZaMama

    GE2025 ACT Wazalendo: Jeshi la Polisi Liache Kutumika Kisiasa, Katibu wa Jimbo la Kiwani Akamatwa

    TAARIFA KWA UMMMA "Tunaitaka Jeshi la Polisi liache kutumika kisiasa" Tumepokea taarifa, ya kukamatwa usiku mkubwa kwa Katibu wetu wa Jimbo la Kiwani Ndugu. Saleh Ali Masoud na Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Pemba na anashikiliwa katika kituo cha Polisi Madungu. ACT Wazalendo, tunalalamika...
  19. KING MIDAS

    Jeshi La Polisi linahitaji mabadiliko ili liwe la kisasa zaidi

    Siku hizi naambiwa ni Bora ukutane na jambazi akishakupora atakuacha salama kuliko ukutane na Polisi Ukishawapa tu hela, wanakufunga pingu, wanakupeleka kwako ukawape hela nyingi zaidi, na wakizikosa wanakubambikizia kesi ya kukuta na bunduki. Jeshi hili linatakiwa mabadiliko kuanzia kwenye...
  20. Ponjoro wa Kinondoni

    TCRA na Jeshi la Polisi Waogopa Kumchukulia Hatua Diamond Platnumz kwa Kutukana Hadharani

    Mamlaka ya mawasiliano Tanzania TCRA na Jeshi la Polisi kwapamoja wameogopa kabisa kumchukulia hatua ndugu Naseeb Abdul aka Diamond Platnumz baada ya video yake ya matusi ya nguoni kusambaa. Katika video hiyo, Staa huyo wa muziki amewatukana akina mama wote wa Tanzania ambao vijana wao...
Back
Top Bottom