Ndugu zangu Watanzania,
Nafikiri polisi wangemkamata pia mwenye nyumba inayodaiwa alikuwa akiishi Humphrey Polepole ili aweze kulisaidia jeshi la polisi katika uchunguzi wake.
Aeleze ni lini alimpokea na mkataba wake ulianza lini na amekaa kwa muda gani na walionana lini na kama walikuwa na...
Jeshi la Polisi kama lilivyotoa taarifa yake jana Oktoba 6,2025 kwamba, limeanza uchunguzi wa tuhuma zilizo tolewa na Augustino Polepole kuwa, ndugu yao Humphrey Polepole ametekwa, jalada la uchunguzi lilifunguliwa jana hiyo hiyo.
Pamoja na kukusanya taarifa mbalimbali, Jeshi la Polisi...
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Akama Shaaban amemkabidhi gari mpya aina ya Toyota Hilux Double Cabin Mkuu wa Polisi Wilaya ya Ileje kwa ajili ya kuzuia uhalifu ambalo litatumiwa na Kitengo cha upelelezi wa makosa ya jinai Wilaya Ileje.
Makabidhiano hayo...
TAARIFA KWA UMMA
Jeshi la Polisi lingependa kutoa taarifa kuwa, bado linaendelea kumsubiri Ndg. Humphrey Polepole aripoti katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai.
Ndg. Humphrey Polepole alitumiwa barua ya wito kwa mujibu wa Sheria za nchi aripoti katika Ofisi ya Mkurugenzi...
Ulinzi mkali wa Jeshi la Polisi leo Jumatatu, Oktoba 6, 2025, katika viunga vya Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam, wakati kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu kusikilizwa leo.
Soma: CHADEMA: Polisi wawatawanya Wananchi waliofika Mahakamani kufuatilia Kesi ya uhaini ya...
Ndugu zangu Watanzania,
Jeshi la Polisi Nchini limetoa onyo kali sana tena sana kwa wale wote wanaotumia vibaya mitandao ya kijamii Kuhamasisha Vurugu na uchochezi Nchini.
Limesema ya kuwa halitasita kuwakamata na kuwachukulia hatua kali sana za kisheria watakao jaribu kuharibu amani ya Taifa...
Ndani ya kipindi kisichozidi miezi miwili Kata ya Kemondo imeshuhudia ajali 3 za barabarani zilizoua watu watatu, kufuatia matukio haya ya ajali Afisa Tarafa ya Katerero iliyopo Bukoba mkoani Kagera Ndugu Bwanku M Bwanku, Ijumaa Oktoba 3, 2025 ameongozana na Polisi Kata wa Kemondo Afande Huruma...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limeandaa mazoezi ya pamoja ya utayari kwa kushirikiana na vyombo vyote vya ulinzi na usalama mkoani humo.
Mazoezi hayo yalilenga kuimarisha mshikamano, mawasiliano, na uwezo wa pamoja katika kutekeleza majukumu ya kulinda raia na mali zao.
Hili ndilo jeshi la polisi ambalo wanasema wapo kwa ajili ya Watanzania wote, Wamekula kiapo kusimamia haki na kila mara wanajinasibu kwamba wako tayari kupokea maoni mbalimbali iwe hasi au chanya, pia kama maoni mengi ni hasi wanapaswa kujitafakari
Je, wapo kwa ajili ya watanzania au kwa...
Hapa kushusha presha za watu kuna watu wanaweza kupoteza haki zao au kuwekwa sehemu ya serikali ya CCM kuonekana kuwa utekaji ni wananchi.
Hii ripot ya Mbeya, Iringa na sasa kuna watu washawekewa kifo ambavyo vitasemwa kuwa biashara,madeni,mapenzi na n.k.
Usalama naomba DMZ mtakuja kujutua...
Nalishukuru jeshi la polisi linafanya kazi vizuri sana tena bila majungu, naongea umri wangu ni kiwa mtu mzima wa miaka 60 kasoro.
Jeshi la polisi linafanya kazi vizuri, kituo cha polisi Mburahati nilifika tarehe 23 siku ya jumanne kwa ukarimu wa mkuu wa kituo hicho cha polisi na amenisikiliza...
Haya Polisi wanachekesha sana! Yani mpaka watu wapige kelele wao ndio wanatoa kusema wamemchukuwa wao
Na hayo makosa ya kimtandao mbona kama yamekuwa mengi au kisa wanaikosoa serikali?
================
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limetoa taarifa ya kumkamata mtuhumiwa mmoja...
Video inayoonyesha askari polisi akiwa amelala chini imezua taharuki mitandaoni, huku ikidaiwa imerekodiwa katika kituo cha polisi bandari. Katika ujumbe ulioambatana na video hiyo, askari wanaodai kuwa wa kituo hicho walieleza kuwa wanakabiliwa na unyanyasaji mkubwa kutoka kwa viongozi wao...
Jeshi la Polisi mkoani Iringa linamshikilia padre Jordan Kibiki wa Kanisa Katoliki Jimbo la Mafinga, kwatuhuma za kutoa taarifa za uongo kuwa ametekwa na watu wasiojulikana. Kamanda wa Polisi mkoa wa Iringa, SACP Allan Bukumbi, amethibitisha kukamatwa kwa padre huyo na kueleza kuwa uchunguzi wa...
Wafipa si wakorofi jamaani hadi kuwaletea mbwa ila ukizingua wanakupiga radi ya 200 kwenye jua kali
====================
Katika kuimarisha ulinzi na usalama mkoani Rukwa, Jeshi la Polisi kupitia kikosi cha Mbwa na Farasi kinakabidhiwa mbwa watatu kwa ajili ya kukabiliana na uhalifu pamoja na...
Wakuu
Kila mtu atalinda kitu anachoona kina faida.
Watanzania endeleeni kulinda amani wakati ma-burgeoisie wataendelea kulinda malambogini na maferari ambavyo yamejazana kule Masaki.
========================
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mtwara SACP Issa Suleiman amewataka wananchi wa Mkoa wa...
Polepole: Jeshi la Polisi hamjafanya juhudi zozote za kunitafuta| Mawasiliano yangu rasmi yanajulikana Nimekuwa nikitafutwa kwa mtindo wa KUWINDWA.
Pia soma wito wa Polisi kwa Polepole: Polisi: Polepole afike Ofisi ya Mpelelezi wa Makosa ya Jinai ili kuthibitisha Tuhuma anazozitoa
Wakili Maduhu ameonya dhidi ya vitendo vya wananchi kujaribu kushindana na askari polisi, akirejea baadhi ya video zilizozagaa mtandaoni. “Nimeona video, sijui kama ni ya kweli au imehaririwa, ikimuonesha mwananchi akijaribu kumrushia askari ngumi. Hili haliwezi kukubalika. Jeshi la Polisi ni...
Natumia kisa Cha Mh Polepole kuhusu Ndugu yake kufatiliwa na Watekaji , kujenga Hoja yangu.
Mh Polepole anasema, Baadae alimshauri Ndugu yake kurepoti suala Hilo Polisi.
Bahati mbaya sana, Kwa Mujibu wa Polepole, Kila Kituo Cha Polisi alichoenda, akawa anaambiwa Nenda Kituo fulan, suala lako...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida kupitia kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Camillus Wambura, limemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwapatia magari mapya manne aina ya Toyota Hilux Double Cabin yatakayotumika kuimarisha ulinzi na usalama mkoani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.