Jeshi la polisi halina mamlaka ya kuzuia maandamano D9 pia kwa mauwaji ya halaiki waliyo yatekeleza halina uhalali wa kuingia barabarani kulinda raia.
Sio mamlaka ya jeshi la polisi kuzuia maandamano yoyote puuzieni wanaojitikwa mamlaka hayo kinyume cha sheria.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani kwa kipindi cha miezi mitatu kuanzia Septemba hadi Novemba limeendelea na operesheni na Misako ya kuzuia na kutanzua uhalifu katika Wilaya zote. Katika Operesheni hizo limefanikiwa kukamatwa jumla ya watuhumiwa 203 wa makosa mbalimbali.
Katika operesheni na misako...
Guys
Yule binti wa mbeya aliyeuawa kikatili jeshi la polisi lilichukua wiki tuu watuhumiwa wote wakawa wamekamatwa na tukatangaziwa
Sasa huu ukimya kuhusu kifo cha MC PILIPILI unamaanisha kitu gani?
Jee ni kwel tulivyosikia kwamba mhusika ni mtu mkubwa na ndo maana hatuoni taharifa wala feedback...
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema kuwa watu wanaosafiri kwenda mikoani ni jambo la kawaida linalotokea kila mwaka, na si kitu cha kushangaza au kuhusishwa na sababu nyingine.
“Naomba niwaambie kitu kimoja: kama kweli kuna adui, atakuwa amefanikiwa endapo atagundua kuwa...
Jeshi la Polisi limepiga marufuku maandamano yaliyopangwa kufanyika Desema 9, 2025, likisema kuwa yamekosa sifa za kisheria za kuyaruhusu kufanyika, ikiwemo kulenga uvunjifu wa amani.
Aidha, Jeshi la Polisi limesema hakuna barua yoyote iliyofikishwa au kupokelewa ya kutoa taarifa ya kufanyika...
Swala la vijana wa Gen Z kujihusisha na matumizi ya silaha pamoja na nia ya kuharibu Uchumi wa Taifa kama taarifa hii ilivyotolewa na Jeshi la Polisi inadhihirisha kuwa vijana hawa ni wahalifu na sio waandamanaji wala wazalendo wa Taifa lao
Hakuna mzalendo wa Taifa lake anayepigania haki kwa...
Mussa Ndile CHEO: Kiongozi wa machinga Simu 2000 Alitekwa tarehe 27.11.2025 na watu waliojitambulisha ni jeshi la Polisi, ndugu wamemtafuta vituo vote vya Polisi hawajampata.
Documentary ya CNN ilitaja tukio hili, Padre Kitima kataja tukio hili, wahudumu wa hospitali walizungumza jambo hili kuwa polisi walikuwa wakiwazuia kuwatibu majeruhi.
Hata kama serikali itakana kama kawaida yake lkn hili tukio ni la kinyama sio la kibinadamu kabisa.
Hivi leo polisi waliofanya...
Kwamba hayupo nchini?.Yupo nchini? Jeshi la Polisi lenye dhana na askari polisi wenye mafunzo ya hali ya juu hawajui Askofu Gwajima yupo wapi?
Kwamba hawana uwezo wa kupata taarifa mtu maarufu kama huyu yupo wapi?
Hadi leo wanamtafuta kwa uchochezi?
Je wataweza kujua vibaka na wavuta bangi...
Kama MTU ana Mamlaka ya kulitaka Jeshi la Polisi Kuacha Kumtafuta Gwajima, Maana yake Ndie aliyeamrisha Jeshi la Polisi Limtafute Gwajima !!.
Nadhani swali la, Nani Kiongozi wa Genge la Watekaji? Je ni Akina Mafwele, Muliro ?
Jibu ni Moja, NDUGU SAMIA SULUHU HASSAN .
Tanzania tuna vyombo vya ulinzi na usalama takribani 6 na tuna idara saidizi za ulinzi na usalama kadhaa.
Kila chombo kiko huru kujisimamia ingawa vyombo hivi hutegemeana.
Wakati mwingine chombo kimoja kinaweza kufanya majukumu ya chombo kingine lakini kwa kushirikiana na chombo husika.
Yaani...
Kwahiyo wewe Lulu unataka kutuambia kwamba kila mtu angeomba msamaha angesamehewa?
Lakini pili wewe si unajifanya mpambania wananchi kama ulikuwa unasema vilivyo na maslai ya wananchi kwanini uombe msamaha na kusema uchochezi?
Embu tuache kidogo kuna kitu kimejificha hapo
===========
Aunty...
Kuna visa ukivisikia unadhani ni story lakini jeshi hili la Polisi Tanzania ni jeshi la ovyo na hasa kwa unyanyasaji na ubabe usio na kichwa wala miguu.
Asakari polisi anaweza kukufanyia lolote atakalo na kama huna pesa na huna watu basi haki ndio inapotea.
Nadhani nchi nyingi za Afrika zina...
Wakuu,
Hivi hawa Watanzania wanaoshangalia "juhudi za polisi kwenye kile kipindi cha maandamano wana ubinadamu kweli
Hapa ni Mwanza na inasikitisha sana kuona kwamba badala ya media na wananchi wanaunga mkono kichototokea
Uchawa na kikomo wakuu. Sio kila kitu ni cha kusifiwa
Kutuhumu Jeshi la Polisi au chombo chochote cha usalama kwamba kimeiba mali au fedha, hasa bila ushahidi wa moja kwa moja, ni jambo lenye uzito mkubwa na athari kubwa.
Baadhi ya athari hizo ni kama:
Kupoteza Imani ya Wananchi kwamba Jeshi la Polisi linajihusisha na wizi.
Kuharibu Taswira...
TAARIFA KWA UMMA
Polisi wa Tanzania wanawaonya wananchi wote kuepuka kutoka nje wakiwa katika vikundi au peke yao baada ya saa kumi na mbili jioni (6:00 PM) kuanzia tarehe 05 Desemba 2025 kutokana na maandamano yanayokuja.
Jeshi la polisi kupitia taarifa hii, lingependa kuwahakikishia wananchi...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linawashikilia wahamiaji haramu 14 raia wa Burundi, waliokamatwa wakiwa wameingia nchini kinyume na sheria kwa kutumia usafiri wa magari Mawili tofauti ya abiria
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana, Novemba 23 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, DCP Wilbroad...
Taarifa zilizotolewa kuhusu madai ya “mwanajeshi wa Marekani” kukamatwa Tarime zimeibua maswali mazito kuliko majibu. Kutaja jina lisilo la kawaida kama Onkuri Ongeta.
Pamoja na picha zinazomuonyesha mtu huyo akiwa amejipamba kwa pete kama Mganga wa Kienyeji na mavazi yasiyoendana na mafunzo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.