jamiiforum

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Robert Heriel Mtibeli

    Ninaiomba Serikali ifungue mtandao wa JamiiForums

    Kheri ya Mwaka Mpya! 1. Kwa heshima na taadhima. Ninapenda kuchukua nafasi hii. 2. Kuiomba serikali iufungulie mtandao wa Jamiiforum ili mambo mengine yaendelee. 3. Jamiiforum ni moja ya mambo ambayo serikali ya Tanzania inaweza kujivunia kwa wananchi wake. 4. Malumbano, mivutano na migogoro...
  2. Fbn

    Wana jamiiforum wenzagu kuna mic ambayo wakiitisha kutetea serikali mbovu inawekwa mjafahamu.

    Chunguzeni kuna mic ambazo ufahamu ni kituo gani wala chanzo chake. Na mic hizo utaziona zikiwa kwa wanao iongelea serikali hii ya kishenzi.
  3. JamiiForums

    Tamko kuhusu JamiiForums kuendelea kuzuiliwa kupatikana nchini Tanzania

    TAARIFA KWA UMMA Mnamo Septemba 6, 2025, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ilisitisha Leseni ya Maudhui Mtandaoni ya JamiiForums na kuzuia upatikanaji wa jukwaa kwa siku 90, kwa madai ya ukiukwaji wa Kanuni za Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta. Pamoja na kutambua athari kwa haki ya...
  4. Fbn

    JamiiForums naomba kueleza ni kweli chuki ya utawala inaenezwa na mtawala mwenyewe

    Sio utani wala kupindisha Moderator kuna mda unataka kupindisha ila mtakumbuka haya maneno. Mtawala ndio analeta chuki ambayo sasa kaingiza kwenye udini kabisa akijua kitamuokoa. Mimi sipendi kuweka wazi ila wanayofanya kwenye ku promote huko kuna kitu sio kizuri. Sisi wa tanganyika wanataka...
  5. Wakusoma 12

    JamiiForums yarudi hewani

    Sasa bila ya VPN unaweza kuipata ndani ya Tanzania. Angalu sasa ile washa na kuzima VPN ilikuwa inakera, mara uwashe kuingia JF mara uzime kuacess mobile app na app za kibenki. Updates Naona mtandao umezuiliwa tena, mamlaka bado hazisomami.
  6. Fbn

    Sio Wikipedia tu, hata tovuti nyingi kubwa Samia hatambuliki kuwa ni Rais

    Nilitoa uzi kuhusu wikipedia kwa watu kama ni raisi utajua wasifu wake. Ila wikipedia inamtambua kipindi kafa magufuri kushika nafasi tu na chini wakaandika machafuko yote ila wadau wengine wakajitokeza kusema wikipedia unaweza kuandika hata wewe. Katika tovuti kubwa ukitafuta habari za...
  7. mcTobby

    Je, Desemba 6 JamiiForums yetu itafunguliwa?

    Nauliza tu kama huu mtandao wetu utafunguliwa. Maana Homa ya D9 ni kama inapanda as the time goes by.
  8. BLACK MOVEMENT

    Unawezaje kuingia Jamiiforum kwa VPN kuja kusapoti watu walio ipiga pini? Hizi sio akili zakawaida

    Naona humu kuna watu wanapambana kudownload VPN ili waingie Jf kusapoti na kupigia debe wale walio ipiga pini, yaani wandeleze uchawa wao hata kwa VPN. Hizi haziwezi kuwa akili zakawaida, yaani kwa normal akili ni jambo lisilo wezekana aisee.Kwamba mtu ananinyima uhuru wa kujieleza ila...
  9. Beira Boy

    Usihangaike na VPN ingia JamiiForums na Twitter X kwa kutumia operamin ni bure kabisa bando lako tu

    Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Wambieni na wengine ambao hawajui Asanten sana LONDON BOY Tumsifu YESU KRISTO
  10. Fbn

    Jamiiforum inakuwaje hawa watu mnawapa sana position ya habari za propaganda zao toka CCM

    Naomba kuuliza zinazo wahusu hawa Tlaatlaah chiembe Lucas mwashamba ChoiceVariable OktobaTUNATIKI . MamaSamia2025 Kuna siku chiembe aliweka nyuuzi kuwa mdude kaachana na siasa. Baada ya watu kuwa lalamikia mkafuta. leo hii tlaatlaah analeta habari ambazo na mnaziweka kabisa kama ukweli...
  11. Wakusoma 12

    Jamiiforum mjitafakari

    Yaani mpaka sasa hamuwezi kutoa updates za kura za maoni za wajumbe wa CCM? Nini shida Roving Journalist yupo kubwabwaja tu. Mjitafakari kwa kweli.
  12. K

    Dennis Roberts Shughuru anairudisha jamiiforum ya zamani ambayo kulikuwa na mijadala yenye tija kwa nchi

    Miaka ya karibuni ni ukweli usiopingika JamiiForums ilianza kupoteza mvuto kwa watu kama sisi ambao tunapenda intellectual discussion tulikuwa tuna-miss sana hii mijadala Kuna wakati mijadala hii ya muhimu tulikuwa tunaifuata twitter huku ilikosekana mbaya zaidi unakutana na yakina machawa...
  13. aise

    Nimelala na mke wa mtu, roho inaniuma sana

    Habari zenu wakuu, niko kitandani hapa nikiwa na masikitiko makubwa sana kwa kulala na mke wa mwana JamiiForum mwenzangu. Huyu mwanamke nilikutana naye facebook, chanzo hasa mpaka cha kukutana facebook ilikuwa hivi, Baada ya kuona kuwa na mpenzi hapa mjini ni gharama sana, niliingia facebook...
  14. Marry Diana

    Nimekumiss Wana wa jamiiforum

    Kwanza niwasalimie ,shikamooni Wadogo zangu,marhaba. Jamani ,nimewamiss Sana,Maria miye,nishaanza kuzoea huu mtandao, nilichogundua,huku ni wachache na ni rahisi watu kuchat kama familia, Namiss kuitwa mwanaume 😂 Khaaa yaani mtu hakujui,anakwambia huu mwandiko ni wa kiume ,duh huwa mnaniacha...
  15. Dennis Robert Shughuru

    Kwanini mimi Dennis Robert Shughuru post/threads/nyuzi zangu hazipati engagement kubwa hapa JamiiForums, yafuatayo ni majibu

    Kuna watu huku ni member wanaogopa kusema na kushare ambitious zao wanajua wakifanya hivyo watakutana na ukosoaji mkubwa sana matokeo yake tuna kizazi cha watu waoga kupita maelezo 👉👉nashukuru mimi nimeshavuka natamani na wengine wavuke Yafuatayo ñi majibu kifupi ila maelezo zaidi yapo kwenye...
  16. BabaMorgan

    Huu si wakati wa kuzima data kabisa ikiwezekana JamiiForums mruhusu access ya JF bila bundle mwaka huu wa uchaguzi

    Japo usawa unakaba ila tutahakikisha data inakuwa on wakati wote mtandaoni kunaanza kuchangamka freebasics wakati huu ingekuwa na maana sana
  17. Fbn

    Jamiiforum naomba kujua kuna ukweli gani kwa nini mada ambazo uzushi wa ccm ya serikali zinakuwa jamiicheki ila zikiwa serikali zinafutwa

    Ili jambo naomba kuuliza maana siku hizi unaweza kujaza maneno ukaishia kufutwa uzi. Mfano huu na bado mnaweka mada kudai kama uzushi
  18. haszu

    Nimegundua vijana wengi wa Jamiiforums hawana muonekano mzuri, wamekosa nuru na hawavutii kwa wanawake

    Nimeshangaa kijana anachanganyikiwa kisa ametongozwa na mwanamke, mwingine anashangaa kuombwa sex na mwanamke. Hii inaonesha wengi wanamuonekano wa vishoia, si ajabu wanani attack. Sasa mimi wanawake wananitongoza hadi ilikua kero mpaka sasa nimezoea. Kuhusu sex, sio tu wanataka tusex, bali...
  19. Knock life

    Kuna watu wanakuja JamiiForum kuchukua namba za watafuta ajira ili wawatapeli , so kuweni makini kuna hizi namba polisi zifatilieni wanatapeli vijana.

    +255613784064 +255610186092 Naomba Jeshi la polisi mzifatilie hizo namba wanadai wapo mbeya . Wakiona MTU anatafuta ajira wanachukua namba wanampigia na kumwambia wana Kazi /ajira Ila wanamwambia achangie hela ya Vitu vifutavyo -Form elfu 40K -Chumba elfu 20K Ukiangalia watu Kama hawa...
  20. Fbn

    JamiiForum pitieni kitabu cha Erick kabendera mje na majibu kuhusu ID ya ben saanane

    Hakuna binadamu anaye chukua masaa,siku,mwezi na miaka bado tukaweza kusema majibu rahisi. Na hii imeshakuwa desturi ambayo majibu mepesi utolewa wakati wapendwa wao mpaka leo wajawahi kupata hatma yao. Kuna kawaida hapa JF ikitokea mtu kafariki au kupandisha hadhi inajulika. Swali la kwanza...
Back
Top Bottom