jambo

Jambo (17 April 1961 – 16 September 1992) was a gorilla housed at Durrell Wildlife Park in Jersey, Channel Islands. He was involved in an incident in which he was seen to be protective of a child who fell into his enclosure.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    JamiiForums Tanzania Hadi sasa sijawai kupata ugumu wowote wa kupasha kiporo na maex walioolewa, suala la kuoa bado halipewi uzito unaostahili, wengi wanakurupuka

    Achana na wale ma ex ambao tulikutana kwa maslahi mfano pesa au one night stands, kuna wale ma ex ambao tuliishi nao zaidi ya mwezi, hao ndio wnye sifa za kuitwa ma ex hasa wale tulioachana bila mikwaruzo au kwa mambo ambayo tungekaa chini yangeisha. Sijawai kuona ugumu wowote wa kupasha hivi...
  2. P

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Waandishi wa habari wa Jambo TV na Manara TV washikiliwa Arusha

    Kushikiliwa Kwa waandishi wa habari wa JAMBO TV na Manara TV Jijini Arusha Arusha* Nimepata taarifa usiku huu za kushikiliwa Kwa Mwandishi wa habari Baraka Lucas wa Jambo TV Arusha na Ezekiel wa Manara TV Arusha Taarifa za awali zinasema walikamatwa jioni hii Jijini Arusha na hadi...
  3. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Litakuwa jambo jema tukijulishwa ni ushirikiano gani wanaoutaka Serikali kutoka ofisi za Jamii Forum na kweli uvamizi haramu haukufanyika.

    Mimi kama mtanzania ambae napenda taifa letu liongozwe kwa misingi ya haki na amani nimeshutushwa sana na hizi taarifa kuwa ofisi za Jamii Forum zilivamiwa. Serikali imekanusha juu ya uvamizi. Na imesema ilikuwa kwenye shughuli zake za kawaida na wanahitaji mmiliki wa Jamii Forum awape...
  4. Victor Mlaki

    JamiiForums Tanzania Rostam: Umasikini siyo jambo la kujionea fahari

    Katika mahojiano maridhawa ya Mwanahabari nguli Tido Muhando wa TBC na Mfanyabiashara "guru" Rostam Abdulrasul Aziz pamoja na kuongea mengi juu ya biashara na siasa, Watanzania tumeshauriwa kutokuuona Umasikini kama jambo la fahari au la kawaida. Watanzania wengi imesemekana tunauona Umasikini...
  5. B

    JamiiForums Tanzania Kuna jambo la msingi nataka kuwafundisha humu

    Habari zenu ... Kama mtakuwa tayari kuwapa hii elimu adimu ambayo huwezi kuipata popote pale iwe shule au wapi,ila kwa mtu anayefikiria kwa kina sana, sia kila kitu anakubali tu na kushindwa kuhoji kwanini nipo hapa,kwa mtu mwenye uelewa mdogo naomba kabisa upite tu maana nitakuchanganya...
  6. X

    JamiiForums Tanzania Wazazi wanataka nijichanganye, wanahisi kuna jambo linanitatiza

    Mimi ni kijana wa kiume miaka 19 nimemaliza form 6 na kuapply chuo nasubiri majibu sasa. Lakini likizo hii imekuwa chungu kwangu maana wazazi kila siku wananisema tu. Wananilazimisha nijichanganye na watu halafu binafsi sipendi. Napenda niwe peke yangu na muda mwingi nipo chumbani kwangu...
  7. B

    JamiiForums Tanzania Urgently: Rais Samia nakuomba fanya jambo hili haraka sana uwasaidie wazazi wanao somesha Kayumba

    Walimu wa shule za Kayumba wamegeuza watoto mitaji.. Mtoto bila kwenda shule na Mia tano ya chakula plus Mia tano ya mitihani anapigwa sana au haruhusiwi kuingia darasani. Shule zingine bila buku getini mtoto haruhusiwi kupita getini. Mbaya zaidi hadi wakati wa likizo kama huu walimu...
  8. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Leo nimeona maajabu ya JF. Ina uwezo wa Kutabili kesho muda ambao mtu atapost Jambo. Hii hata Wazungu hawajaweza.

    Inaonesha kesho (tomorrow kwa lugha ya Mabeberu) muda na post ambayo mtu atatuma na jina linaoneshwa kabisa ingawa hapo kwenye majina mimi nime hide. unaweza isoma leo kabisa in advance. Angalia mwenyewe hapo chini. Nimeshangaa sana. Kwa kweli teknolojia inakua sana.
  9. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Nimembagaza huyu Dada anataka tena nimbanange. Watanzania tukemee tabia hiyo mbaya

    Ni ujinga umekubuhu kwa sasa.wanawake wengi wanapenda kubanangwa. Yaani mtu unataka umheshimu anakuambia au nikupe na huuu.. .unibanange ndo utaridhika. Huku akioneshea kwa nyuma. Mara ya kwanza nilidhani anani test. Mimi natosheka na kumbagaza tu mwanamke.kumbananga hapana si jambo zuri. Ila...
  10. S

    JamiiForums Tanzania Kuna jambo ambalo watanzania kwa sasa wanaomba litokee, likitokea, napendekeza lifuatiwe na hatua hizi

    Ukipita mitandaoni, utagundua kuwa kwa sasa kuna watanzania wanaomba jambo moja very serious lifanyike ili nchi irudi kwenye mstari Mtu anashauri jambo very serious lifanyike na anapata comments zaidi ya 2000 huku karibu asilimia 99 zinaunga mkono wazo lake. Hii ni ishara kuwa watu wamechoka na...
  11. Sales man

    JamiiForums Tanzania Lile jambo lililotabiriwa kutokea mwezi wa 07 na mwezi wa 08, nauliza bado halijatokea?

    Nauliza manabii wa Tz , including britanicca n.k walisema mwezi 07 na 08 litatokea jambo ? Tunasubiri bado au limeshatokea.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ni jambo la fedheha uwe na gari au pikipiki lakini mtoto anafika miaka 14 hajui kuendesha

    Sio kwa kujisifia lakini kama unamiliki chombo cha moto na unaweza kumfundisha mtoto, sioni kama kuna cha kukuzuia. Elimu sio darasani tu, kumfundisha mtoto kitu chohote kinachoweza kuwa na faida ni elimu. Mwaka una wiki 52 na siku 365. Je, umeshindwa kutenga muda kwa mtoto wako, hasa wa...
  13. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Nimegundua hili jambo. Msibishe ni kweli kabisa asilimia 100

    Ikiwa 1. Mwanaume anakupenda 2. Una uchie Mtamu/wa moto 3. Uchie wako una bana na laini 4. Mwanaume hana stress ana afya ya akili 5. Ana hisia sana na wewe NAKUHAKIKISHIA DK 3 NYINGI SANA.NI sekunde au dakika Anashusha waarabu. Atakate asitake... Yaani ule moto wa mle ndani, utelezi na mbano...
  14. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Pita hapa nikukumbushe jambo moja zuri sana, Kisha uliishi na ukapate baraka, ukabalikiwe

    Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO Neno la MWENYEZI MUNGU katika kitabu cha nabii yeremia 2:19 neno linasema, uovu wako mwenyewe utakurudi maasi yako yatakukaripia, ujue basi, ukaone ya kuwa ni jambo baya sana na uchungu, kwa kuwa umemwacha, BWANA, MUNGU wako, na ya kuwa moyoni...
  15. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Ushauri wangu kwa Wanawake na pia Wanaume. Jambo hili litakomesha yasiyofaa

    Nawashauri katika kubalance shobo na mambo mambo kwenye mahusiano. Ikitokea mwanaume ameomba papuchi nawe lipiza omba mjiti/skinned pipe. Hapo hutasikia mwanaume akilalamika kuwa una tabia za hovyo au unajiuza. Na mwanaume pia ukiombwa pesa nawe omba pesa. Ili mtu ajifunze kutoomba kitu...
  16. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kuna jambo ni kiiunganisha dot to dot naona kama vinafanana

    Unajua binadamu tuna roho ya kutamani zaidi hata kumuangusha yule unayemtamani ili ushikilie wewe.Hapa kuna mada nyingi ambazo kama mapenzi,biashara,ajira,vyeo na n.k katika maisha kuna mtu anatamani hawe yeye sio wewe. Sasa tuliyeaye alishamaliza hilo na sasa anatamani hata vyote tulivyo navyo...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Baraka za Kaskazini, Hatimaye Makonda akiri jambo muhimu

    Kwa mara ya kwanza jana Makonda amesema jambo ambalo ni ufunguo wa maisha mambo muhimu sana kama unataka kubadilisha maisha yako Tanzania ni haya 1. Uoe au Kuolewa Kaskazi 2. Usome Kaskazini 3. Uzaliwe Kaskazini Watu wa Kaskazini Kilimanjaro na Arusha wana IQ kubwa 120+ ukiwa karibu nao...
  18. K

    JamiiForums Tanzania JIMBO LA VUNJO JAMBO NI MOJA TU LEO...ENOCK KOOLA KUCHUKUA FOMU!!

    JIMBO LA VUNJO JAMBO NI MOJA TU LEO...ENOCK KOOLA KUCHUKUA FOMU!! Wana Vunjo wote na Watanzania kwa ujumla, jambo kubwa limewadia! Leo tunapiga mbiu ya mgambo: Kipenzi cha Wanavunjo, Enock Koola, kuchukua fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Vunjo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
  19. Saad30

    JamiiForums Tanzania Kupima Afya ni Jambo Zuri (UKIMWI)

    Habari wakuu. Kuna wakati flani nilikuwa naona nyuzi ya UKIMWI Sana hapa jukwaani asee ilikuwa inanikata Sana sababu najua nilikuwa nauza mechi Hadi nikapewa ugomjwa WA gono na demu mmoja hivi video Queen ilikuwa (2023) kiufupi nakula bila kondom sababu nikitumia kondom nachelewa kumwaga...
  20. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Padre Emilius Kobelo: Wanaosema Kura zinaibiwa siyo waendawazimu, huwezi kufikiria jambo ambalo halipo

    Akizungumza katika Misa Takatifu ya kuombea Haki na Amani nchini Tanzania katika Parokia Teule ya Mt. Agnes Nanenane Jimbo katoliki Morogoro, Padre Emilius Kobelo amesema " Sababu unasikia wakati mwingine 'kura zimeibiwa' sidhani kama ni wendawazimu wanaoibua maswali ya namna hiyo, huwezi...
Back
Top Bottom