jaji mkuu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Jaji Mkuu: Mahakama kuanza kuandika hukumu kwa Lugha ya Kiswahili

    Jaji Mkuu George Mcheche Masaju amesema hayo wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akifungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama cha Mahakimu na Majaji Tanzania (TMJA) katika viwanja vya Makao Makuu ya Mahakama (Judiciary Square), mkoani Dodoma, tarehe 13 Januari...
  2. R

    JamiiForums Tanzania Jaji Mkuu kuna swali anauliza MMM, anaomba jibu

    Anaandika Martin Maranja kwenye ukurasa wake wa Instagram Bwana Jaji Mkuu, George Masaju. Unauliza nani anasema Mahakama haipo huru? Hebu tueleze ni kwanini kesi ya uhaini inayomkabili Tundu A.M Lissu haijapangiwa tarehe na kwanini hafikishwi Mahakamani shauri liendelee? Je, huo ndiyo uhuru...
  3. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Jaji mkuu: Rushwa imekithiri mahakamani, polisi na taasisi nyingine za Serikali

    Jaji Mkuu wa Tanzania, George Mcheche Masaju, amesema changamoto ya rushwa bado ipo ndani ya taasisi muhimu za utoaji haki, akisisitiza kuwa nidhamu na uwajibikaji ndiyo nguzo kuu zitakazosaidia Mahakama kufikia hadhi inayokusudiwa na Rais Samia Suluhu Hassan. Akizungumza Septemba 24, 2025...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Jaji mkuu Tanzania ana uwezo mkubwa wa kuwa shujaa kipindi hiki

    Jaji mkuu Tanzania ana uwezo mkubwa wa kuwa shujaa kipindi hiki. Achana na uchawa wa mahakama hakuna kazi nyingine kubwa utapata. Weka heshima yako na ya mahakama yako utakumbukwa kama Nyalali. Bila hivyo unaweza vilevile kudhaulisha mahakama.
  5. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Jaji Mkuu George Masaju akemea na kuwaonya majaji na mahakimu wanaopindisha haki kwa maelezo kuwa ni "maelekezo toka juu". But, is he really serious?

    Nimemtazama na kumsikiliza Jaji Mkuu George Masaju mwanzo mwisho akiseminisha na kuelekeza majaji wake hapa. Anaonekana kuwa na mtazamo chanya contrary na mambo yalivyo chini ya utawala wa Rais Samia.. Swali ni: Atadumu kweli ktk hiyo nafasi yake kwa tabia yake ya kusisitiza HAKI, HAKI badala...
  6. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Jaji Mkuu wa Ghana Aenguliwa Kufuatia Tuhuma za Matumizi Mabaya ya Fedha za Umma

    Ghana's President John Mahama has fired the country's Chief Justice Gertrude Torkornoo following a recommendation by an inquiry. She had been on suspension since April after complaints were lodged against her in petitions by three individuals. A president-appointed commission then found that...
  7. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Kiko wapi CHAUSTA Cha Jemsi Mapalala au alikufa nacho?

    Kiko wapi chama Cha CHAUSTA chama Cha Jemsi Mapalala Hayati Sasa?
  8. McLaren

    JamiiForums Tanzania Jaji Mkuu Masaju: Kitu mnachoweza kumaliza kwa siku 2 mnasema mpaka miezi 4. Kauli ya mbiu ya haki sawa kwa wote kwa wakati ifuteni

    Wakuu, Akizungumza jana Agosti 18 kwenye katika ufunguzi wa kikao kazi cha taasisi, zinazounda utatu Jaji Mkuu George Masaju ametaka mahakama kuwa na utaratibu wa kumaliza kesi zilizoko mahakamani mapema iwezekanavyo na kuacha kuahirisha ovyo bila sababu za msingi "Haki sawa kwa wote mapema...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Jaji Mkuu: Mheshimiwa wananchi wanapoteza Imani kwa mahakama yako

    Ndugu Jaji mkuu: Nakusalimu Hivi karibuni kumezunguka mtindo wa kuibuliwa kwa kesi nzitonzito ambazo zinaonekana dhahiri ni za kisiasa. Tumeshuhudiwa Ndugu Mwabukusi, Dr Slaa na Mdude Nyagali wakifunguliwa kesi ya uhaini. Lakini ukiangalia sababu ya kesi hizo ni kwa sababu ya wao kupinga vikali...
  10. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya makubaliano kati ya Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) na Jaji Mkuu wa Tanzania

    TAARIFA YA MAKUBALIANO Kati ya Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (Tanganyika Law Society – TLS) Na Mheshimiwa Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. George M. Masaju Tarehe: 11 Agosti 2025 Kufuatia ahadi iliyotolewa mnamo Aprili 2025 ya kufika mbele ya Mheshimiwa Jaji Mkuu wa Tanzania, uongozi wa TLS...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Agizo la Jaji Mkuu George Masaju ladaiwa kuharibu kesi za polisi mahakama za Mwanzo

    Ni agizo alilolitoa mapema mwaka huu baada ya kuapishwa kuwa watuhumiwa wa makosa ya jinai mahakama za mwanzo waww wanajidhamini wenyewe Tatizo limekuja kuwa gumu baada ya wanaojidhamini mahakamani kutorudi tena na kutokomea kusikojulikana. Ingawa alielekeza kuwa kesi ziendelee upande mmoja...
  12. SSH2025_2030

    JamiiForums Tanzania GE2025 Jaji Mkuu Masaju ndio atamuapisha Rais Dr SSH kuongoza tena 2025-2030

    Endeleen kupiga makelele ya Wagombea wawe watatu, Mmoja au wawili ila ni Mheshimiwa Jaji Mkuu Masaju atakayemuapusha Mheshimiwa Dr SSH kuwa Rais wa JMT 2025-2030 baada ya ushindi mnono. Lucas Mwashambwa Tlaatlaah ChoiceVariable FaizaFoxy Mpwayungu Village
  13. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Jaji Mkuu, mahakama za Moshi Arusha zinatesa sana wananchi kwenye kesi za mirathi

    Mh. Jaji Mkuu, Kwanza nikupongeze sana sana sana kwa kuchaguliwa kuwa Jaji wetu Mkuu wa Tanzania. Wakati huu unaingia, tunakumbuka kuwa Jaji wetu mstaafu alikuwa akisisitiza sana sana haki na utawala bora. Mungu ambariki. Pamoja na haya, wapo baadhi ya mahakimu wanaosumbua sana wananchi, hasa...
  14. Z

    JamiiForums Tanzania Jaji Mkuu wa Tanzania George Masaju apendekeza kuwepo kwa mahakama za rufaa katika mikoa yote ya Tanzania

    Jaji Mkuu ameyasema hayo leo mara baada ya kula kiapo. Amepend2keza kuwepo kwa Mahakama ya Rufaa kwa kuanzia na Mikoa ya DSM, Mbeya na Arusha ili kurahisisha upatikanaji wa haki kwa wakati kuliko ilivyo sasa hadi majaji kutoka Dodoma watembelee jambo ambalo linachelewesha haki za wananchi...
  15. kyagata

    JamiiForums Tanzania Kwanini Rais Samia anapenda kufanya kazi kwa ukaribu na watu kutoka mkoa wa Mara?

    Jaji mkuu mstaafu Prof Ibrahim Juma ni mwenyeji wa mkoa wa Mara, Jaji mteule Maseju nae ni mwenyeji wa mkoa wa Mara. IGP mstaafu Simon Sirro ni mtu wa Mara, IGP wa sasa pia ni mtu wa Mara. ADC wa Rais Samia nae ni mtu wa Mara, pia nimedokezwa hapo ikulu kwa sasa wasaidizi wengi wa mheshimiwa...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Hongera Jaji George Masaju kuwa Jaji Mkuu wa Mahakama Tanzania, nakuomba pokea ushauri huu ambao mtangulizi wako aliukataa

    Hongera sana Jaji George Masaju, sina shaka kabisa na wewe kuhusu utendaji wako wa kazi, umeandaliwa vizuri, ulikuwa mwanasheria mkuu wa serikali na kazi ilionekana, ukaenda kuwa mshauri wa Mhe Rais na kazi imeonekana, sasa piga kazi sisi vijana wako tunaounga mkono serikali hata kama hatuko...
  17. Z

    JamiiForums Tanzania Jaji Mkuu George Masaju baada ya kuapishwa anza na mambo yafuatayo;-

    Kwanza nampongeza Jaji Masaju kwa kuaminiwa na Mhe. Rais na kumteua kuwa Jaji Mkuu mpya wa Tanzania. Mara baada ya kula kiapo tunashauri aanze na mambo yafuatayo;_ 1. Ondoa uonevu na upendeleo ndani ya muhimili wenyewe, jenga umoja na mshikamano. tenda haki kwa watumishi wote bila upendeleo...
  18. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Jaji mkuu alishatoa mwongozo kuwa hakuna mtuhumiwa kupandishwa kizimbani mpaka upelelezi ukamilike. Kwa nini Hakimu huyu anaegemea upande wa Jamhuri?

    Mwongozo upo wazi kabisa na ulitolewa na Jaji mkuu wa Tanzania. Hii ilikuwa ni kupunguza mrundikano wa mahabusu. Sasa kama Jamhuri haikamilisha upelelezi kwa nini Lissu alikamatwa na kupandishwa mahakamani. Kama makosa ni kuchapisha maneno na kutamka maneno ya uchochezi na uhaini upelelezi...
  19. R

    JamiiForums Tanzania Jaji Mkuu nitakukumbuka kwa kuziondolea mamlaka ya kutoa hukumu Ward Land DisputeTribunals maana walikuwa wanakula rushwa na kuharibu kesi za watu

    Naomba nikushukuru kwa hilo. Rais alisema you are soon exiting. Hili kwangu ni jambo jema maana lilikuwa linaleta kuuana huko vijijini.
  20. A

    JamiiForums Tanzania Maneno ya Jaji Mkuu wa India juu ya Katiba na Mihimili 3 ya nchi. IPO kwa KiingerezaConstitution is supreme, not us': CJI Gavai urges harmony between

    Constitution is supreme, not us': CJI Gavai urges harmony between judiciary, executive, and Parliament | India News - The Times of India In his first public address since assuming office, Chief Justice of India B R Gavai on Sunday asserted that it is not the judiciary, executive, or Parliament...
Back
Top Bottom