italy

  1. R

    Vifo vyaongezeka Uingereza, vyazidi vya Italy

    1. Vyafikia 29,427 2. Ndiyo nchi yenye madhara makubwa Ulaya Sky Eclat kuna nini mbona kunazidi kutisha? What is wrong there? pamoja na measures zote ===== UK overtakes Italy to record highest coronavirus death toll anywhere in Europe A member of the UK ambulance service wearing personal...
  2. M

    Inasikitisha sana wazungu wanaposhangaa na kuhuzunika hadi sasa Corona haijaua kwa wingi Waafrika kama Italy na New York

    Walitabiri wiki tatu zilizopita ikifika pasaka waafrika weusi watapuputika kama Nzi kwaugonjwa wa Corona na walikuwa wanasubiri kwa hamu sana itokee. Hadi jana walishangaa masela bado tunadunda tuu licha ya kujisaidia porini na vichakani na IQ zetu mbovu zenye Mushkheli. Kuna kahusuda fulan...
  3. S

    Corona; Ufaransa yahodhi shehena ya mask zilizokuwa zipelekwe Italy na Spain

    Corona yaendelea kuwatoa utu mabeberu. Kampuni ya utengenezaji wa vifaa tiba ya Uswizi, imelalamika kuwa Ufaransa imewachezea rafu mbaya mno Italy na Spain baada ya kuhodhi mzigo wa mamilioni ya mask za uso na glovu zilizokuwa zinasafirishwa kwenda kwenda Itali na Spain kupunguza maambukizi ya...
  4. Mtini

    Italy hali yazidi kuwa mbaya: Kabla hujalala tumia walau dakika moja kuwaombea kwa Mungu

    Pamoja na hatua zote walizochukua hali bado ni tete sana. Siku ya leo tu watu 919 wamefariki kutokana na corona. Badala ya idadi ya vifo kupungua inazidi kuongezeka kila siku, pls kabla hujalala tumia hata dakika moja kuwaombea kwa Mungu awasaidie
  5. MZK

    Russia Yaamua Kuisaidia Italy na Janga la Corona

    MOSCOW — The Russian army on Sunday began flying medical help to Italy to help it battle the new coronavirus after receiving an order from President Vladimir Putin, a goodwill gesture that Moscow labeled “From Russia with Love.” Giant Il-76 military planes began taking off from an airbase in...
  6. Pdidy

    Tuungane kwa pamoja kuwaombea mapadre 30 waliofariki Italy kwa Corona

    Tuungane pamoja kuwaombea pumziko la Milele Mapadre hawa ambao wamefariki Dunia nchini Italia kutokana na Virusi vya Corona. Mapadre hawa walipata maambikizi wakati wakitoa huduma ya Kiroho kwa waathirika wa Virusi vya Corona. Ee Mwenyezi Mungu uwape Pumziko la Milele, na Mwanga wa Milele...
  7. mitale na midimu

    Italy: Asilimia 99 ya waliokufa na Corona walikuwa na magonjwa mengine

    Hii ni kwa mujibu wa Mamlaka ya afya ya nchi hiyo. Wengi wao walikuwa na Ugonjwa wa shinikizo la damu, kisukari na matatizo ya moyo. Chanzo: Bloomberg ==== 99% of Those Who Died From Virus Had Other Illness, Italy Says More than 99% of Italy’s coronavirus fatalities were people who suffered...
  8. isajorsergio

    Kaka yangu amewekwa quarantine China akitokea Italy

    Kaka yangu amewekwa quarantine China akitokea Italy kwa kifupi yupo Corona positive. At the moment nahisi jambo pia tumekutana in two weeks, personally najiweka quarantine nione majibu. Huu ni ujumbe wake wa mwisho. "🇨🇳🙏🏽...it wasn’t easy leave my family in that way 🥺 I do miss them a lot and...
  9. Suley2019

    Australia yaongeza zuio kwa Wananchi wake kwenda nchini Italia. Yaongeza fedha zaidi katika mfuko wa afya ili kupambana na Covid 19

    Waziri Mkuu wa Australia Bw. Scott Morrison akiwa katika mkutano na waandishi wa habari alitangaza kuongeza zuio la wananchi wake kusafiri kwenda nchini Italia ikiwa ni miongoni mwa mkakati wa nchi hiyo kuwalinda Wananchi wake dhidi ya ugonjwa wa Covid 19. Sambamba na hilo, meelezwa kuwa nchi...
  10. J

    Corona: Zanzibar yasitisha safari zote za ndege kutoka Italy

    Serikali ya mapinduzi Zanzibar imesitisha safari zote za ndege kutoka Zanzibar na sherehe zote zinazohusisha wageni kutoka nje. Waziri wa Afya Zanzibar Mh. Hamad Rashid amesema wamechukua hatua hizo ili kukabiliana na hatari ya Corona iliyoko huko duniani. Source Star tv!
  11. isaya mgwasi

    Starbucks Yafungua mgahawa wake wa kwanza Milan, Italy

    Starbucks imefungua mgahawa wake wa kwanza nchini Italia. Mgahawa huo umefunguliwa katika Jiji la Milan, kaskazini mwa nchi hiyo. Mojawapo ya kahawa zinazouzwa ni inayotoka Tanzania na inapatikana hapo kwa TZS 22,000 kwa gramu 100.
Back
Top Bottom