🤣🤣🤣🤣Ukifika tuu, inabidi ukaonane na mzee Petro akupake mavi yake usoni kama ukaribisho 😎
Changamoto kubwa ni ipiMkuu umeisha yaani unaenda Isimani
Maji hakuna halafu unanambia nije na mbegu??!!Kama una alizeti na mahind njoo nazo ukaanze kilimo mwezi November
Maji kuyapata lazima uenyeke
Ujuaji wako uache huko huko we ukfka uwe Tyr ku adopt utakachokuta
Inatakiwa kubeba jez nying sanaKuwa makini na afya 😔 Ngwengwe nje nje
Pako vizuri, changamoto ni Joto lipo sana. Karibu sana Iringa.Nimepata uamisho kuelekea Isimani-Iringa, mwenye taarifa na eneo hili naomba anisaidie kujua fursa za uchumi zilizopo, pia tamaduni za watu wa huko pamoja na changamoto mbalimbali zilizopo ili niweze kujiandaa.
Inatakiwa kubeba jez nyingKuwa makini na afya 😔 Ngwengwe nje nje
Joto au baridi mkuu??Pako vizuri, changamoto ni Joto lipo sana. Karibu sana Iringa.
Nimekutajia had lini msimu wa kilimo unaanzaMaji hakuna halafu unanambia nije na mbegu??!!
Kwenye ujuaji unamaanisha nini mkuu??
Na watoto wa watu usiwanyooshe sana 😃 kuna vizee huko vinafanya kuanzia saa 4 usiku mpaka saa 12 asubuhiInatakiwa kubeba jez nying
Joto, isimani hamna baridi mkuu.Joto au baridi mkuu??
🤣🤣itabid niwe makini sanaNa watoto wa watu usiwanyooshe sana 😃 kuna vizee huko vinafanya kuanzia saa 4 usiku mpaka saa 12 asubuhi
Shukrani, hii ni taarifa njema maana barid ni kipengeleJoto, isimani hamna baridi mkuu.
Changamoto kubwa ni mbunge wao, William Vangimembe Lukuvi. Amegoma kabisa kuachia jimbo huku wananchi wanakunywa maji yenye chumviChangamoto kubwa ni ipi