iraq

Iraq (, (listen) or ; Arabic: ٱلْعِرَاق‎, al-ʿirāq; Kurdish: عێراق‎ Êraq), officially the Republic of Iraq (Arabic: جُمْهُورِيَّة ٱلْعِرَاق‎ Jumhūrīyah al-ʿirāq; Kurdish: کۆماری عێراق‎ Komarî Êraq), is a country in Western Asia, bordered by Turkey to the north, Iran to the east, Kuwait to the southeast, Saudi Arabia to the south, Jordan to the southwest and Syria to the west. The capital, and largest city, is Baghdad. Iraq is home to diverse ethnic groups including Arabs, Kurds, Chaldeans, Assyrians, Turkmen, Shabakis, Yazidis, Armenians, Mandeans, Circassians and Kawliya. Around 99% of the country's 38 million citizens are Muslims, with tiny minorities of Christians, Yarsans, Yezidis and Mandeans also present. The official languages of Iraq are Arabic and Kurdish.
Iraq has a coastline measuring 58 km (36 miles) on the northern Persian Gulf and encompasses the Mesopotamian Alluvial Plain, the northwestern end of the Zagros mountain range and the eastern part of the Syrian Desert. Two major rivers, the Tigris and Euphrates, run south through Iraq and into the Shatt al-Arab near the Persian Gulf. These rivers provide Iraq with significant amounts of fertile land.
The region between the Tigris and Euphrates rivers, historically known as Mesopotamia, is often referred to as the cradle of civilisation. It was here that mankind first began to read, write, create laws and live in cities under an organised government—notably Uruk, from which "Iraq" is derived. The area has been home to successive civilisations since the 6th millennium BC. Iraq was the centre of the Akkadian, Sumerian, Assyrian, Chaldean Empire, and Babylonian empires. It was also part of the Median, Achaemenid, Hellenistic, Parthian, Sassanid, Roman, Rashidun, Umayyad, Abbasid, Ayyubid, Seljuk, Mongol, Timurid, Safavid, Afsharid and Ottoman empires.The country today known as Iraq was a region of the Ottoman Empire until the partition of the Ottoman Empire in the 20th century. It was made up of three provinces, called vilayets in the Ottoman language: Mosul Vilayet, Baghdad Vilayet, and Basra Vilayet. In April 1920 the British Mandate of Mesopotamia was created under the authority of the League of Nations. A British-backed monarchy joining these vilayets into one Kingdom was established in 1921 under Faisal I of Iraq. The Hashemite Kingdom of Iraq gained independence from the UK in 1932. In 1958, the monarchy was overthrown and the Iraqi Republic created. Iraq was controlled by the Arab Socialist Ba'ath Party from 1968 until 2003. After an invasion by the United States and its allies in 2003, Saddam Hussein's Ba'ath Party was removed from power, and multi-party parliamentary elections were held in 2005. The US presence in Iraq ended in 2011, but the Iraqi insurgency continued and intensified as fighters from the Syrian Civil War spilled into the country. Out of the insurgency came a highly destructive group calling itself ISIL, which took large parts of the north and west. It has since been largely defeated. Disputes over the sovereignty of Kurdistan Region continue. A referendum about the full sovereignty of Kurdistan Region was held on 25 September 2017. On 9 December 2017, then-Iraqi Prime Minister Haider al-Abadi declared victory over ISIL after the group lost its territory in Iraq.Iraq is a federal parliamentary republic consisting of 19 governorates (provinces) and one autonomous region (Kurdistan Region). The country's official religion is Islam. Culturally, Iraq has a very rich heritage and celebrates the achievements of its past in both pre-Islamic as well as post-Islamic times and is known for its poets. Its painters and sculptors are among the best in the Arab world, some of them being world-class as well as producing fine handicrafts, including rugs and carpets. Iraq is a founding member of the UN as well as of the Arab League, OIC, Non-Aligned Movement and the IMF.

View More On Wikipedia.org
  1. Yoda

    Kumbe Marekani ndio inapokea pesa za mauzo ya mafuta ya Iraq! Sasa hii ina tofauti gani na ukoloni?!

    Nilikuwa siwaelewi watu waliokuwa wanasema Marekani iliivamia Iraq kwa sababu ya mafuta, huenda pia kwa sababu wao walikuwa wanaongelea uporaji wa mafuta kana kwamba makampuni ya Marekani yanachimba mafuta halafu yanajiuzia tu mafuta na kuondoka na pesa kubabe au kifisadi wanavyojisikia...
  2. Webabu

    Iraq imeamua kuungana na Iran kupigana na Marekani

    Moja ya nchi ambazo zimewahi kuonja madhara ya kupigwa na Marekani ni Iraq ambayo kwa sasa imeonesha kuchoka na ujanja wa taifa hilo. Hapo juzi makao ya vikosi vya PMF ambavyo ni sehemu ya jeshi la Iraq lenye misimamo ya kimapinduzi ya Ian yalishambuliwa na kuuawa kwa wanamgambo...
  3. G

    Zama za Babeli (Iraq) Uajemi (Iran) na Rumi zimeshapita Iran haiwezi kuinuka Tena LAZIMA ibondwe Kutimiza unabii tusiwe wavivu kusoma maandiko

    Uajemi na umedi ni Dola kubwa lilotawala ulimwengu miaka mingi kabla ya Kristo Baada ya hapo ndipo warumi wakatawala Dunia Kwa muda mrefu sana Hadi Leo alama zake tunaziona Baada ya Rumi kuanguka Marekani kama Pembe mojawapo kati ya mataifa ya ulaya ndo superpower wa dunia ingawa hawezi kuwa...
  4. Waufukweni

    Ndege ya Kijeshi ya Marekani yaanguka Iraq

    Jeshi la Marekani limethibitisha Ndege yake ya Kijeshi kuanguka nchini Iraq. Ndege hiyo ya kijeshi ya KC-135 ilianguka baada ya ajali kati ya Ndege mbili. KC-135 ni Ndege iliyotengenezwa na Boeing ambayo hutumiwa kusafirisha na kuhamisha Mafuta. Makao Makuu ya kanda ya Jeshi la Marekani...
  5. Yesha

    Economic Impact of U.S.–Israeli and Iraq War Dynamics on Africa

    1. Energy Prices: Africa as a Price Taker, Not a Price Maker Ongoing conflict involving the United States and Israel, combined with the long shadow of the Iraq war, has repeatedly destabilised Middle Eastern oil supply routes. For Africa, the economic effect has been blunt and immediate...
  6. R

    Iraq imetangaza siku 3 za maombolezo ya kitaifa kufuatia kifo cha Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah

    Iraq imetangaza siku tatu za maombolezo ya kitaifa kufuatia kuuawa kwa Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, kwa mujibu wa Shirika la Habari la Iraq (INA). “Kwa huzuni na masikitiko makubwa, tunatoa pole zetu kwa watu wa Iran na kwa umma mzima wa Kiislamu kufuatia kuuawa kwa mwanazuoni...
  7. Richard

    Tatizo ni kwamba Iran sio Libya wala Iraq na si Venezuela. Na Itasumbua sana kuuangusha utawala wa Iran kwa sasa

    Mashambulizi yalofanywa na Marekani ikisaidiwa na Israel, yamepiga katika miji 20 kati ya miji 31 ya Iran na hadi sasa hakuna idadi kamili ya watu walokufa. Pia mitandao ya internet yote imezimwa. Mjini Tehran maeneo yote nyeti ikiwemo wizara ya ujasusi yote yameshambuliwa na ndege za kivita za...
  8. Fascinating

    Historia ni Albamu ya Zamani, Hata hii ya Marekani kukamata Marais wa nchi nyingine si picha ngeni

    Historia ni kama albamu ya zamani; hakuna kitu kipya, ni picha zinazojirudia. Hata kukamatwa kwa Nicolás Maduro na Marekani wala si suala geni kihivyo. Kurasa zote za habari hivi sasa zinafuatilia kilichotokea Venezuela. Wengi wameliona tukio hili kama la kushangaza baada ya Rais wa Marekani...
  9. M

    Tujifunze kutoka kwenye hii video ya mwanajeshi wa Iraq miaka ya 2000 mwanzoni

    Kwenye video hii anaonekana mwanajeshi akituma salam za mwisho kwa familia yake baada ya uwanja wa mpambano kuwa wa moto , mpambano uliohusisha vikosi vya serikali dhidi ya makundi binafsi ya kujihami , huyu mwanajeshi aliamua kuaga familia yake baada ya kuwa wamezingirwa na vikundi binafsi vya...
  10. A

    FT: Tuisila Kisinda, Waziri Junior 2-3 Msuva huko Iraq

    Leo kwenye ligi ya nchini iraq ku likuwa na mechi iliyowakutanisha ndugu kutoka nchi moja, nao ni Waziri Junior Shentembo, akiwa timu moja na Tuisila kisinda wote wanaichezea timu ya Al minaa Sc iliyokutana na Al talaba anayochezea Simon Msuva.. Matokeo: Al minaa 2- 3 Al talaba. Kisinda...
  11. Kichuguu

    Vita za Iraq vs. Iran na Gulf War

    NOTE: Nitapitia baadaye kurekebesha typos pole pole; ukikutana nazo usizitilie maanani. Miaka takriban 45 iliyopita, Iraq ilipitia wakati mgumu sana. Kwanza, mwaka 1979 ulikuwa na matukio mawili makubwa ndani ya Iraqi na Iran. Mwaka huo, mwezi July huko Iraq, Saddam Hussein alimpindua rais...
  12. The Father of All

    Kwanini Marekani haijifunzi na inatumia kikagosi chake Israel na kuigopa Iran bila kujifunza toka Afghanistan na Iraq?

    Kwa wanaojua kilichotokea Afghanistan ambako magaidi wa kitaleban sasa wanatesa huku Irak ikigeuka taifa lililofeli, watakubaliana nami kuwa Marekani licha ya unafiki na woga, inaonekana kutokuwa na uwezo wa kujifunza. Vita vya Afghanistan na Irak viliigharimu Marekani jumla ya dola trilioni...
  13. Sema kama nenga

    Kumbukizi: Mwaka 2016 kijana mmoja wa Iraq akamatwa na Wanajihad kwa kusikiliza muziki wa Kimagharibi wakati wa Swala

    Mnamo mwaka 2016, nchini Iraq, kijana Ayham Hussein alikamatwa na wanajihadi alipokuwa akisikiliza muziki wa Kimagharibi katika duka la baba yake. Alifikishwa katika mahakama ya Sharia ambayo ilimhukumu kunyongwa. Kijana huyo alikatwa kichwa hadharani kabla ya mwili wake kurejeshwa kwa familia...
  14. Webabu

    Nchi za kiarabu zakutana Iraq na kupiga picha ya pamoja siku moja kabla ya Israel kuanzisha operesheni ya kuiteka Gaza.

    Mataifa ya kiarabu yameendelea kujitusi yenyewe kwa kufanya kikao nchini Iraq na kuondoka bila matamo yanayoendana na wakati. Katika mkutano huo wa 34 mataifa hayo yamerudia azimio la kuijenga upya Gaza na kwamba wanapinga kuhamishwa kwa wapalestina kutoka ardhi yao hiyo. Mkutano huo...
  15. I

    Baadhi ya wanamgambo wa Iraq wanaoungwa mkono na Iran wako tayari kusalimisha silaha chini ya shinikizo la Marekani

    Baadhi ya wanamgambo wa Iraq wanaoungwa mkono na Iran wako tayari kusalimisha silaha chini ya shinikizo la Marekani - Reuters. Vikundi vya wanamgambo nchini Iraq vimejiandaa kusalimisha silaha zao kwa mara ya kwanza ili kuepusha tishio la kuongezeka kwa mzozo na Marekani, kulingana na makamanda...
  16. H

    Hivi demokrasia ni Marekani kuzivamia Iraq, Libya, Kongo, Afganstan, Vietinam, nk??

    Tuelimishane hapo ,mimi naamini demokrasia ni ujinga na uhuni. Neno "demo-" ndiyo mzizi wa demokrasia ambapo maana yake ni "onesho" kwahiyo demokrasia ni maonesho ya kisiasa tu na siyo uhalisia wa kisiasa ambapo wanasia wanaigiza ili waishi bila jasho kama lisu,mbowe,sugu,mnyika,nk wanavyoishi...
  17. The unpaid Seller

    Kwanini nchi za Kiarabu hazitaki kuwasaidia Waarabu na Waislamu wenzao Wapalestina?

    Peace, Niko na swali dogo ila tata kwa kiasi fulani, hivi inakuwaje watu walio na "umoja na mshikamano katika dini ya Mwenyezi Mungu" wako tayari hata kujilipua mabomu kwa ajili ya dini yao. Wako tayari hata kuchinja watu huku wakiwarecord ili kutetea "imani" yao "tukufu" ila linapokuja swala...
  18. I

    Kiongozi wa kundi la kigaidi la Isis la nchini Iraq na Syria auwawa.

    Waziri Mkuu wa Iraq Mohammed Shia Al Sudani alitangaza siku ya Ijumaa kwamba Abdullah Miki Musleh al Rifai ambaye pia hujulikana kama Abu Khadija kiongozi wa kundi la kigaidi cha Isis cha Iraq na Syria ameuwawa. Gaidi huyo ameuawa kwenye opereseheni iliyofanywa na vikosi vya ulinzi vya Iraq kwa...
  19. MALCOM LUMUMBA

    Historia 2023: Ukraine ilishiriki kwenye uvamizi haramu wa Iraq na kufanya kile inachofanyiwa leo

    UTANGULIZI: Mwaka 2003 Marekani ilivamia Iraq kimabavu na kumuondoa raisi wa nchi hiyo. Mataifa mengi ya Ulaya yalimuunga mkono Marekani kwamba anapambana na serikali dhalimu inayohifadhi magaidi na kumiliki silaha za maangamizi. Jambo ambalo ilikuja kufahamika baadaye kwamba halikuwa na ukweli...
  20. ELI COHEN

    Anayewahamasisha mtoe watoto English Elementary ndio huyo ana support bunge la Iraq kuruhusu wasichana wa miaka 9 kuolewa

    Mhamasishaji wenu: https://www.jamiiforums.com/threads/nasimama-na-bunge-la-iraqwi.2301833/ Kumtapeli mbongo ni raha sana, we mpatie vimaneno vimaneno vya hamasa ghafla ulimbukeni wake utaanza kutiki one by one hadi unamchukua mazima. Anaewaambia mtoe watoto elementary eti mnapoteza hela ndio...
Back
Top Bottom