The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 1,877
- 5,446
Wakuu, long live to you all.
Baada ya kutembeza kichapo kwa Israel hivi majuzi, kichapo cha baruti za matango hakika Iran imetuonyesha umwamba wake.
Asilimia 99% ya balistic missile zote yametunguliwa yani wanarusha baruti zao zaidi ya 500 alafu moja tu ndio linatua ardhini likimjeruhi mtoto kando ya uwanja wa ndege. Huku mawili yakianguka nchini Iraq (kabla hata ya kufika Israel) na kuua waarabu wenzao 2 mengine yooote yanatunguliwa.
Drone 300 na zote zimetunguliwa na mifumo ya ulinzi ya Israel. Hili ndio shambulio walikua wanatangaza "litaushangaza ulimwengu" na kweli tumeshangaa.
nchini Iran kebehi na dhihaka za raia kwa mamlaka za serikali na jeshi zimezidi mpaka Iran imetishia kuwafunga wote watakao kamatwa wakikebe jeshi la nchi hiyo.
Baada ya kutembeza kichapo kwa Israel hivi majuzi, kichapo cha baruti za matango hakika Iran imetuonyesha umwamba wake.
Asilimia 99% ya balistic missile zote yametunguliwa yani wanarusha baruti zao zaidi ya 500 alafu moja tu ndio linatua ardhini likimjeruhi mtoto kando ya uwanja wa ndege. Huku mawili yakianguka nchini Iraq (kabla hata ya kufika Israel) na kuua waarabu wenzao 2 mengine yooote yanatunguliwa.
Drone 300 na zote zimetunguliwa na mifumo ya ulinzi ya Israel. Hili ndio shambulio walikua wanatangaza "litaushangaza ulimwengu" na kweli tumeshangaa.
nchini Iran kebehi na dhihaka za raia kwa mamlaka za serikali na jeshi zimezidi mpaka Iran imetishia kuwafunga wote watakao kamatwa wakikebe jeshi la nchi hiyo.