iran

  1. P

    UAE, Kuwait zasema 4 wauawa, 90 wajeruhiwa katika mashambulizi ya Iran

    Falme za Kiarabu (UAE) na Kuwait zimesema kuwa watu wanne wameuawa na wengine 90 kujeruhiwa katika mashambulizi ya makombora na ndege zisizo na rubani (drones) kutoka Iran, kufuatia shambulio la Marekani na Israeli dhidi ya Iran. Wizara ya Ulinzi ya UAE imesema katika taarifa yake kuwa mifumo...
  2. Urusi angekubali Ukraine iikaribishe NATO yangemkuta ya Iran kashtukia mchezo

    Iran anapata tabu sasa kutokana na nchi za kiarabu kuiruhusu marekani na nchi za ulaya kuweka majeshi Yao katika ardhi ya nchi zao Nimetafakari kama urusi angeruhusu Ukraine kuwakaribisha Hawa jamaa hivi sasa tungekuwa tunaongea mengine. Heko Russia kwa kulitambua hilo na kutoa ONYO Kali kwa...
  3. H

    Mashulizi Dhidi ya Iran Yalenge Watawala, Wananchi Walindwe Au Wasaidiwe Kuingia Mataifa Jirani.

    Mods, tafadhali naomba isomeke MASHAMBULIZI, na siyo MASHULIZI. Siku zote nchi inapokuwa katika shida ya amani, chanzo huwa ni watawala waovu wenye kiburi. Israel na Marekani, wanajua kuwa: 1. Wahanga wakubwa wa kwanza wa utawala katili wa Ayatollah, ni wananchi wa kawaida wa Iran. 2. Wananchi...
  4. Derby ya Simba na Yanga yakosa ufuatiliwaji mitandaoni kisa Vita ya IRAN

    Ukitizama uchambuzi wa mitandaoni sasa ni habari za Iran na Marekani na Israel. Hakuna uchambuzi au kelele au shamlashamla kuelekea mechi ya derby itakayopigwa jioni. Hakuna habari yoyote ya Bongo inayotrend kwa sasa
  5. R

    Israel yadai kuua Makamanda 40 na kuharibu mifumo ya ulinzi wa anga ya Iran

    Israel imedai kuwa “idadi kubwa” ya viongozi wakuu wa kijeshi wa Iran waliuawa katika wimbi la kwanza la mashambulizi ya pamoja ya Marekani na Israel dhidi ya nchi hiyo. Jeshi la Israel (IDF) limesema limewaua makamanda 40 wa ngazi ya juu, likieleza kuwa ni “shambulio la kihistoria”...
  6. Rasmi sasa, Israel imefaulu kuteka anga lote la Iran, inajipigia popote tu

    Mindege inapaa popote Iran na kugeuza geuza tu, marubani wanapiga popote wanapotaka, mwendo wa kubonyeza tu, nashangaa Iran hawakujifunza na vita vya awali. Israel striking Tehran directly with ‘stand-in’ munitions after gaining air superiority, Katz says Defense Minister Israel Katz says the...
  7. F

    Iran imepanic; Hadi sasa hakuna ndege ya Israel wala meli ya Marekani iliyoshambuliwa

    Iran amepanic balaa.. hadi sasa hajaweza kudondosha hata ndege moja ya israel kati ya ndege nyingi zinazofanya mashambulizi kwenye anga lake. Hadi sasa hajaweza kuzamisha hata meli moja ya marekani kama alivokua akijitapa mwanzo kwamba kadiri meli hizo zinavomsogelea basi kombora lake moja tuu...
  8. Tetesi: Mojtaba Ali Khamenei kumrithi Ayatollah Ali Khamenei baada ya kuuawa baba

    Baraza la Mapinduzi la Iran limemtangaza Mojtaba Khamenei (Mtoto wa Ali Khamenei- RIP) kuwa kiongozi mkuu wa Iran. Ali Khamenei alimlea akimlea na kumwandaa kwa miongo kadhaa mwanawe mwenye roho mbaya, Mojtaba, ili awe kiongozi mkuu ajaye. Yeye ni mbaya zaidi kuliko baba yake.
  9. P

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Israel + Marekani vs Iran

    Kwa miaka mingi, Marekani na Israel zimekuwa na hofu kuwa Iran inatengeneza bomu la nyuklia. Israel anaamini bomu hilo likikamilika, Iran italitumia kuifuta nchi yao kwenye ramani, hivyo wamekuwa wakitafuta namna ya kuzuia mpango huo kwa nguvu. madarakani Januari 20, 2025, aliweka msimamo mkali...
  10. Kuhusu Iran, milikuwa mnanicheka subirini muone jinsi kile nimechambua kinatimia kwa 100% mimi siandiki tu natumia Vision wewe unatumia udini

    KUHUSU IRAN mlikuwa mnanicheka subirini mwone jinsi kile nimechambua kinatimia kwa 100% mimi siandiki tu natumia Vision wewe unatumia udini wengine hatukwenda shule kutetea kidini au kimfimo _ Ni fact Haya Mzee wa mambo yote, Kaisha angushwa chini akiwa Ofisini kwake nilipost Kazi Tayari hapo...
  11. Wa Iran wa Tanzania kufanya dua leo ya kumuombea kiongozi wa iran aliyeuwawa na marekani.

    Kwa maana hiyo, mtag muiran unayemjua hapa jf kua asogee sehemu tajwa hapo juu akaomboleze na wenzake asiishie tuu kubishana huku jf.
  12. Wizara toeni salamu za Pole kwa Iran kwa kumpoteza Kiongozi Khamenei

    Rafiki yetu kindaki ndaki Iran amepoteza Kiongozi wao Ayatollah Khamenei. Hivyo wizara imuandalie safari Mstaafu maarufu ya kwenda kutuwakilisha kwenye mazishi huko Tehran
  13. R

    Iraq imetangaza siku 3 za maombolezo ya kitaifa kufuatia kifo cha Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah

    Iraq imetangaza siku tatu za maombolezo ya kitaifa kufuatia kuuawa kwa Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, kwa mujibu wa Shirika la Habari la Iraq (INA). “Kwa huzuni na masikitiko makubwa, tunatoa pole zetu kwa watu wa Iran na kwa umma mzima wa Kiislamu kufuatia kuuawa kwa mwanazuoni...
  14. Chanzo cha Mgogoro wa Marekani, Israel na Iran uliopelekea kuuawa kwa Kiongozi wa Iran Ayatollah Ali Khamenei

    Mvutano kati ya Marekani na Iran una mizizi ya kina katika historia, itikadi na mapambano ya madaraka, na kupanda kwa nguvu kwa Maimamu Wakuu (Ayatollah) kulibadilisha kabisa uhusiano huo. Ili kuelewa kama Ayatollah alikuwa “tatizo” kwa Marekani na Iran, ni lazima tuanze kabla ya Mapinduzi ya...
  15. Hivi kwanini Putin kashindwa kufanya kwa Zelenskyalichofanyiwa Ayatollah wa Iran na Marekani?

  16. Mpaka sasa Iran na makombora yao wamefaulu kuua mama mmoja Israel

    Iran wamerusha makombora kwa nguvu zao zote na kuelekeza kwenye makazi ya raia wa Israel, ila mpaka sasa wamefaulu kuua mama mmoja tu, hata hivyo upande wa Iran hakuna kiongozi aliyesazwa hadi hata yule mzee na lile livazi lake. Inasemakana hata rais wao hayupo, maana kuna maandalizi ya...
  17. Kobazi Wanashangiliaga Ujinga, Palestina alipoteza Iran nae Kapoteza

    Moja ya vitu vinavyoniuzi ni kuona wavaa Kobazi wakiwa wanashangilia pale vita vinapoanza. Mfano Palestina alipoanza kufanya mashambulizi pale Israel. Wavaa kobazi walianza vifijo na ndelemo, wakisema Israel lazima apotee. Mambo yakageuka Israel ikaanza kugawa dozi haswa. Wavaa kobazi wakaanza...
  18. Q

    Natumai Tanzania imejifunza kwa Iran, hakuna serikali iliyo na haki ya kuua wananchi wake

    Hata kama ni Sovereignty state. Ayatollah Khamenei na serikali yake ya Islamic Republic of Iran walionywa kwa muda mrefu kama tunavyoonya sisi, he ordered 'shoot to kill' thousands of Iranian people, leo wamekula kichwa ndani ya masaa 2 tu baada ya vita kuanza. Serikali ya Tanzania imeonywa...
  19. Video: Wananchi wa Iran wakisherehekea kifo cha Khamenei

    Hapa ni Tehran, Iran . . Hapa ni London Kaskazini
  20. Wananchi wa Iran waanza kuingia barabarani kusheherekea ukombozi baada ya kifo cha Ayatollah

    Hiyo dini ilikua imewatesa sana, Israel imewakomboa. End of an era as Iran confirms Khamenei is dead; Trump: Justice for Iranians and beyond Iranians brave the streets to celebrate; US president urges regime’s security personnel to surrender as PM Netanyahu calls on Iran’s public to rise up and...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…