iphone

  1. 6WaS9

    Uzi maalumu kwa Watumiaji wa vifaa vya APPLE | MacBook | iMac | iPhone | iWatch | Airpods | ipads | na vifaa vinginevyo vinavyotumia iOs

    Huu ni uzi maalumu kwa watumiaji vifaa vya APPLE | MacBook | iMac | iPhone | iWatch | Airpods | ipads | na vifaa vinginevyo vinavyotumia iOs Ku share experience zao katika utumiaji..! Taarifa zote mpya za bidhaa za Apple Changamoto na suluhisho za kifaa husika.. Na mengine Mengi zaidi
  2. biznes_dealz

    Phone4Sale Tunauza iPhone 6, GB 64

    Hii simu nitaiuza hapa kwa bei ya kutupa ya Tshs 200,000 tu. Mikoa yote ya Tanzania tunatuma. Piga 0742786967
  3. Sun Wukong

    Iphone 7 plain i cloud lock

    Wadau nilinunua hii simu kwa mtu ambaye aliuziwa na mtu na yeye alisema usiirestore itajifunga Mimi mbishi nikatumia itunes nika iupdate kisha nikairestore hapo ndo kasheshe simu ikajifunga Nikafanikiwa kuibypass ila shida network haisomi na pia ukiizima ikiwaka inalock tena Wadau mwenye...
  4. 6WaS9

    Uzi maalumu kwa: Watumiaji wa vifaa vya APPLE | MacBook | iMac | iPhone | iWatch | Airpods | ipads | na vifaa vinginevyo vinavyotumia iOs

    Huu ni uzi maalumu kwa watumiaji vifaa vya APPLE | MacBook | iMac | iPhone | iWatch | Airpods | ipads | na vifaa vinginevyo vinavyotumia iOs Ku share experience zao katika utumiaji..! Taarifa zote mpya za bidhaa za Apple Changamoto na suluhisho za kifaa husika.. Na mengine Mengi zaidi
  5. Replica

    Mauzo ya simu za iphone yashuka duniani

    Mauzo ya simu za iPhone zinazotengenezwa na kampuni ya Apple yameshuka duniani kote kwa asilimia 10 katika miezi mitatu ya mwanzo ya mwaka 2024. Hayo yamebainishwa na utafiti uliofanywa na kampuni hiyo ya mawasiliano, ambao umebaini mahitaji ya wanunuaji yameshuka katika sehemu zote duniani...
  6. municaster

    KU BYPASS IPHONE 13

    Wakuu uwezekano wa ku bypass iphone 13 upo? Inawezekana na kama inawezekana ni kama vile tunavyofanya zile nyingine?
  7. BARD AI

    Hivi TBS inafanya kazi gani kama Wafanyabiashara wanaingiza 'Bidhaa Fake' na kutangaza waziwazi, iPhone 15 Tsh. 380,000?

    Hii nchi ina mambo ya ajabu sana mpaka mtu unashindwa kuelewa hizi taasisi zinafanyje kazi. Mfano mzuri Shirika la Viwango pamoja na Tume ya Kuwalinda Walaji ziko wapi wakati watu wanaingiza Bidhaa Feki kila mahali na wanauza kwa uhuru kabisa. Imagine mtu anatangaza kabisa iPhone 15 Pro ni Tsh...
  8. BENEDICT ISEME

    INAUZWA IPhone Original Chargers

    IPhone Original Chargers 25W Adapter USB C lighting cable 35,000/= Rejareja 16,000/= Jumla Free delivery ndani ya Dar es Salaam Tabata Aroma Mawasiliano 0653776099 0789344956 0767810030 0620249911
  9. BENEDICT ISEME

    INAUZWA iPhone Complete Fast Charger

    Fursa ya ajira Hata kama huna mtaji leta mteja kwa bei yako, cha juu ni cha kwako iPhone Original Chargers 25W Adapter USB C lighting cable Zipo pis 100 tu 16,000/= Rejareja 14,000/= Jumla (Kuanzia pis 10) Tabata Aroma 0653776099
  10. M

    Watumiaji wa iPhone acheni ushamba na ulimbukeni

    Habari za jioni Wana JF, Nimegundua watumiaji wa iPhone asilimia kubwa Wana ushamba na ulimbukeni. Yani akiwa nayo atataka watu waione wajue kama ana iPhone, ulimbukeni wenyewe ni huu huwa wanaona iPhone ndo simu Bora kuliko simu zingine na kuzidharau hizi brand nyingine za simu. Mimi si...
  11. Planet Data bundles

    Naombeni Msaada kutumia Siri(AI) wa iphone

    Aisee mi siwezi kutumia hiki kidude wanachokiita SIRI (AI)…
  12. L

    Iphone X kwa bei ya 485,000 used from dubai

    Karibuni boss zangu. Iphone X zipo za kutosha tupo kariakoo .storage 64gb,256gb . Kwa mawasiliano piga 0695022051 Whatsapp 0734123440
  13. BARD AI

    Tetesi: iPhone 16 itafanana mwonekano wa Camera za Samsung S24

    Apple has just launched the iPhone 15, but the rumour mill is already churning for the iPhone 16. The series is expected to bring significant upgrades and improvements compared to its predecessors. Speculation suggests that there will be enhancements in camera performance, display, a more...
  14. chadog

    Phone4Sale Inauzwa iphone 14 PRO MAX copy,na AQUOS 701 SH USED

    IPO IPHONE 14 PRO MAX COPY KWA 170,000 TU,RISITI YAKE IPO NA INA CRACK KWA NYUMA VINGINE VIPO FRESH SANA,INATUMIA ANDROID ,STORAGE 512GB IPO USED AQUAS 701SH KWA 50,000 TU,RISITI YAKE IPO HAINA TATIZO LOLOTE ,ANDROID 10,STORAGE 32 GB,RAM 3GB SERIOUS BUYERS CONTACT ME: 0768115667
  15. JanguKamaJangu

    China: Soko la iPhone lashuka kwa 24%

    Mauzo ya bidhaa za Kampuni ya Apple (iPhone) yameshukwa kwa kiwango cha Asilimia 24 ndani ya wiki sita za kwanza tofauti na ilivyokuwa Mwaka 2023, hiyo ni kwa mujibu wa Utafiti uliofanywa na Taasisi ya Counterpoint. Imeelezwa ushindani mkubwa wanaupata kutoka kwenye kampuni za wazawa wa China...
  16. AY 5225

    Budget ni 650,000/= ninahitaji iPhone yoyote yenye macho matatu

    Heshima yenu wakuu. Nina shida na second hand iPhone asap na budget yangu ni 650k so probably naweza kupata japo 11 pro max, and if I am fortunate enough basi brother au sister mmoja anaweza kunitunuku hata ka 12 kwa bei hiyo hiyo kama offer. Be it as it may, nipo Unguja rn ila nitakuwa Dar...
  17. kali linux

    MAONI: Kwenye battle ya flagships, hakuna brand inayoizidi Samsung, hata iPhone haishiki moto wa Samsung

    DISCLAIMER: This content is solely based on my personal opinion. Moja kwa moja kwenye mada. Hizi flagships babalao ni Samsung pekee. Achana na series za Google pixel, iPhone, Redmi, etc... Samsung yuko vzr kotekote, hardware na software. Iphone kwa ile classy feeling na touch wako vzr, ila...
  18. kali linux

    SOLD: Nauza iPhone XS Max Gold, bei ya kutupa

    Hello bosses and roses... Nauza Apple iPhone XS Max Gold kwa 500k tu. Nimeitumia kwa miezi miwili tu, battery health ni 87%. Bado ni mpya kimwonekano hata kimatumizi. UPDATE. ======== SOLD
  19. Chance ndoto

    Phone4Sale Nauza iPhone 13 na 15

    Nauza iphone 13 plain Used 2 months UK GB 128 Bh 100 Inakuja na boksi yake na original usb charge wire haijawhi tumika. 1,800,000ml Tsh Dsm location 0783985530
  20. Gol D Roger

    Kumbe baadhi ya viduka vya iPhone vilivojaa mjini ni center za ku-push madawa na bangi

    Heri ya mwaka mpya. Hii kitu nilishawahi kuambiwa na mtu flani nikapinga, nikasema maybe huyu jamaa ana chuki na wivu na jitihada za vijana wajasirimali. But baada ya kufikiria zaidi, it made so much sense, but sikuwa na uhakika 100% Sasa kuna siku nilikuwa nimekaa na washkaji tunapiga story...
Back
Top Bottom