Huu utaratibu wa kupeleka vijana Israel;
1. Nani anaratibu?
2. Sifa za kujiunga Ni zipi? Maana naona wanufaika wanatokea Kanda ya Kaskazini zaidi, Kuna nn hapo? Ukute Coordinator Mangi anapata Dola zake kimyaa huku vijana wanafuata kifo.
3. Usalama wao upoje? Shambani/vitani.
4. Je, ipo MoU...
Hello Wanajf nimeitwa internship WVT kupitia Taesa ila ni mkoa tofauti na nilipo, kwa mwenye experience anijuze kama WVT wanalipa interns pia au inakaaje?
Position: Internship-Economic / Social Researcher
Location: Dar Es Salaam, Tanzania
Team: Economic Research and Development
Line Manager: Head of Economic Research and Development
Salary: Depending on experience
Main Purpose
This is a key role in ensuring that Learning and Work has the...
Natafuta kazi au internship
Education: Bachelor degree of science in production and operations management.
Expirience;
I have worked in quality control and production supervising job, i can handle injection moulding and blow moulding production very well, i have experience with both of the...
WANAFUNZI WA KICHAWI WANAPOKUWA INTERNSHIP "FIELD" AU KWENYE MAFUNZO KWA VITENDO.
Anaandika, Robert Heriel
Baada ya kupokea kozi fupifupi au ndefu katika taaluma ya Uchawi na ulozi ni muhimu kwenda Internship au field au Kwa Kiswahili fasaha tunasema kwenda kwenye mafunzo Kwa vitendo for...
Habari ndungu zangu
Nimehitimu shahada ya Mechanical Engineering. Naombeni msaada kupata kazi au internship maana nimeshazunguuka sana maofisini kuomba kazi bila mafanikio.
My name is Patrick, and I am a holder of a bachelor's degree in Taxation since November 2022. I would like to ask for an opportunity to intern with any company that has titles related to tax auditing, logistics and clearing, or accounting.
I am willing to work hard and learn quickly, and I am...
Hello,
Find bellow employment Opportunity at Callab Tanzania
Biomedical technician
Logistic and Admin Assistant
=========
Position title
Intern- Admin and Logistics Assistant
Description
Callab Tanzania Company Limited is company established with the purpose of providing laboratory...
Habarini!!
Nimesoma bachelor degree in Electrical Engineering pia nina diploma,pia nina leseni class C Electrical installation natafuta kampuni ya kufanya nae kazi ninaomba msaada wa internship au kazi
Namba:0762136488 au
missnzowatwb@gmail.com
Habari! Nimemaliza bachelor ya Account lakini piah nina diploma ya Account Msaada kwa yoyote mwenye ufahamu wa kampuni au ofisi inayohitaji mhasibu iwe nafasi ya kazi au volunteer kwa level ya diploma au degree nipo tayari kufanya mawasiliano yangu 0655731336
Kampuni ya SMAI Group Limited ambayo ni wamilikiwa SMAI Express na SMAI Delivery, wanahitaji vijana wasiopungua kumi kwa ajiri ya internship kwa kipindi hiki cha miezi mitatu ambayo wamezindua huduma mpya ya usafirishaji wa mizigo kutoka Dar kwenda nchi nzima na nchi jirani, pia Wamefungua...
Kumekuwa na unyanyasaji sana kwa watoto wetu wanaochukuliwa kwenye Ofisi za Serikali kwa ajili ya mafunzo ya kazi (internship programs).
Ukienda sekata binafsi kuna nafuu kubwa sana sana hasa kwa waajiri wale wa uhakika. Vijana wanaochukuliwa Serikalini hata wanaotokea Taesa hawana chochote cha...
Wana jamvi, aliye somea COMMUNITY DEVELOPMENT (Maendeleo ya Jamii), HUMAN RESOURCES MANAGEMENT, mnakaribishwa kuomba Internship kwa wale mnaotaka kujifunza kazi hapa ndio pahala penu. Internship haina incentives au malipo yoyote ni kazi ya kujitolea kwa wanaotaka kujifunza kazi.
tumeni c.v...
Intern- Operations Assistant
Description
Callab Tanzania Company Limited is company established with the purpose of providing laboratory equipment testing and calibration services in Tanzania.The Company is the first private company to offer such services in Tanzania.
The Company provides world...
Position: Internship
Dar es Salaam
Tanzania Investment and Consultant Group Ltd
Specializing in all aspects of Project Development ,Investment and Business consulting.
EXCITING EMPLOYMENT OPPORTUNITY
Tanzania Investment and Consultant Group Ltd is a consulting firm focused on serving the...
Habari za saizi jamani samahanini mimi ni mwanamke miaka 24, nimemaliza chuo Bachelor of Business Adminstration mwaka huu.
Natafuta internship au kujitoleapopote kampuni au kiwandani nipo tayari kuanza muda wowote ata sasa napatikana Dar es Salaam
Mimi kijana wa miaka 23 Nina Diploma ya Land and Mine surveying natafuta nafasi ya Internship kwa kampuni yoyote inayojihusisha na masuala ya land surveying nipo Dodoma namba yangu 0699239068.
Wakuu habari.
Mimi ni kijana wa kitanzania, jinsia ME nimekuja hapa kwa nia ya kuomba nafasi kwa Internship kwenye NGO, Kampuni au sehemu yoyote watakao ona nafaa.
Elimu : Nina Degree ya Sheria LLB
Makazi Dar es salaam
Umri :20's
Mawasiliano: 0787460347
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.