Sifa
1. Rangi ni gold
2. Namba za usajili ni T244 DPS
3. Ukubwa wa injini ni 1490cc
4. Idadi ya km ilizotembea ni 77,000 kms mpaka Sasa
5. Inamwaka mmoja tokea imenunuliwa
6. Inabima kubwa iliyokatiwa mwaka huu
7. Hutumika kwenda kazini na kurudi tokea imenunuliwa
8. Haijafunguliwa popote tokea...
Imetumika miezi 5
Lumens 1800
Contrast 2000
Native resolution 480 p
Display screen inch 40" Hadi inchi 170"
Ina zaidi yA masaa 20,000 ( Kama utaitumia masaa 10 kila cku utakaa nayo miaka 12 Bila kubadili bulbu) nzuri Sana kwa movie
Habari wana JF
Ninauza Gari langu aina ya Suzuki Carry/ kirikuu , Gari ni nzuri sana haina shida yoyote , inaendeshwa na kufika mkoa wowote , haijawai kufunguliwa engine wala gear box.
Ina mwonekano mzuri sana (mint condition), ina AC na tyre zote ni mpya zina miezi 2 tangu ziwekwe.
Kwa...
Habari wadau, nauza laptop Aina ya HP
Specifications
Hard disc 1TB
Ram 8gb
Processor 2.0ghz
Core i 3
DVD /CD rwr
BEI Tsh 350000/=
Mawasiliano 0783696253
Haina tatizo lolote
Habari za majukumu.
Nauza AC ni nzima kabisa unakuja kukagua ikiwa haijafunguliwa ukiridhika unalipia unafungua unabeba
Nauza sababu nahama napoishi na baadhi ya vitu sitakuwa na uhitaji navyo tena,
Pia nauza na Mziki Kwa ajili ya matumizi ya sherehe mbali mbali na matamasha
Napatikana...
Habari wadau,,,,ninauza canter ya tani nne kwa bei nafuu, imetembea km 48500 tu, na bodi lake Lina urefu wa mita 4,,,,,,kwa maelezo zaidi piga namba 0783696253,,,ninapatikana dar es salaam
Habari za mida,
Nyumba kubwa inauzwa ipo Buguruni - Rozana, Ni nyumba ya vyumba vitano ndani na nje kuna vyumba vinne ambavyo vitatu ni single na kimoja ni double room na kwa nje nyuma ya nyumba pia kuna eneo la kuweza kutoa vyumba vitatu single.
Nyumba ipo Buguruni mtaa wa Azimio karibu...
Machine ya kukoroga sabuni za Maji inauzwa. Ina uwezo wa kukoroha Lita 200 kila dk,15 bei ni sh million 5 tu. Sema nami namba hizo: 0784692584: 0715888376 welcome.
Nyumba ipo Mbezi Mwisho mtaa wa Msakuzi ipo karibu na barabara/Kituo cha Daladala. Nyumba hiyo ina vyumba vitatu.
Price: TZS 26,000,000 (mwenye nyumba ana shida ya haraka kwahiyo kashusha bei)
.Documents serikali ya mtaa lakini wapo kwenye hatua za upimaji
• kiwanja kina ukubwa wa eneo 35...
Nyumba ipo mbezi mwisho mtaa wa msakuzi ipo karibu na barabara/kituo cha daladala
Price: TZS 26,000,000 ( mwenye nyumba ana shida ya haraka kwa iyo kashusha bei)
.Documents serikali ya mtaa lakini wapo kwenye hatua za upimaji
• kiwanja kina ukubwa wa eneo 35 kwa 20 • maji na umeme vipo
...
Imetumika wiki Mbili tu.
Core i5 3rd Generation
500GB HDD
4GB RAM
3.3GHZ Peocessor
Gaharma 380000
Location Ubungo Riverside.
Mawasiliano 0757497175
Iko na Monitor 22 inch kubwa na nzuri kabisa kwa matumizi yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.