inauzwa

  1. Stephen Ngalya Chelu

    Car4Sale Toyota Rumion Inauzwa

    Price: 16.5 Ml. Engine Code :ZN Mileage 100,265km Engine Size 1,500cc Registration Year * 2009 Manufacture Year ** 2009/ 10 Ext. Color Black Wheel Drive :2wheel drive Transmission: Automatic Location: kinondoni,mwanamboka Steering :Right Fuel: Petrol Seats :5 Doors :5 Dimension: 4.21x1.76x1.63m...
  2. Mr Q

    Nyumba inauzwa Picha zake tangu ujenzi hadi kukamilika Bei chee!

    Folks hapa bei utajipangia mwenyewe karibu sana
  3. M

    Car4Sale Toyota Raum New Model inauzwa, Mabibo- Dar es Salaam

    Sifa 1. Rangi ni gold 2. Namba za usajili ni T244 DPS 3. Ukubwa wa injini ni 1490cc 4. Idadi ya km ilizotembea ni 77,000 kms mpaka Sasa 5. Inamwaka mmoja tokea imenunuliwa 6. Inabima kubwa iliyokatiwa mwaka huu 7. Hutumika kwenda kazini na kurudi tokea imenunuliwa 8. Haijafunguliwa popote tokea...
  4. H

    INAUZWA Visiontek projector VS314 inauzwa tsh 220,000 ipo Dar

    Imetumika miezi 5 Lumens 1800 Contrast 2000 Native resolution 480 p Display screen inch 40" Hadi inchi 170" Ina zaidi yA masaa 20,000 ( Kama utaitumia masaa 10 kila cku utakaa nayo miaka 12 Bila kubadili bulbu) nzuri Sana kwa movie
  5. K

    Car4Sale Kirikuu (Suzuki carry) DLK inauzwa Tsh 3,900,000/=

    Habari wana JF Ninauza Gari langu aina ya Suzuki Carry/ kirikuu , Gari ni nzuri sana haina shida yoyote , inaendeshwa na kufika mkoa wowote , haijawai kufunguliwa engine wala gear box. Ina mwonekano mzuri sana (mint condition), ina AC na tyre zote ni mpya zina miezi 2 tangu ziwekwe. Kwa...
  6. Alex Hamadi Hamis

    INAUZWA Canon 5D Mark II Body Only Inauzwa

    Condition: Used for about 4 months Price:400k TZS (price is negotiable) Problem: Focus Screen (costs 150 - 200k TZS to fix) Pick Up: Sinza A Currently market price: $1000 USD - $1500 USD Any serious buyer, contact me: +255676095799 (WhatsApp) +255683018095 (Calls/SMS)
  7. L

    HP Laptop 1Tb inauzwa 350000/=

    Habari wadau, nauza laptop Aina ya HP Specifications Hard disc 1TB Ram 8gb Processor 2.0ghz Core i 3 DVD /CD rwr BEI Tsh 350000/= Mawasiliano 0783696253 Haina tatizo lolote
  8. Fadhil Ramadhan

    Nauza simu

    I phone 5s inauzwa...bei ni 170 ipo in a good condition GB 32 haina shida yoyote ilee LOCATION ni GOBA CENTER cont 0786774828
  9. ndogondogo

    website inauzwa

    #
  10. ndogondogo

    INAUZWA Website inauzwa

    #
  11. D

    INAUZWA Nauza AC, ni nzima kabisa unakuja kukagua ikiwa haijafunguliwa ukiridhika unalipia

    Habari za majukumu. Nauza AC ni nzima kabisa unakuja kukagua ikiwa haijafunguliwa ukiridhika unalipia unafungua unabeba Nauza sababu nahama napoishi na baadhi ya vitu sitakuwa na uhitaji navyo tena, Pia nauza na Mziki Kwa ajili ya matumizi ya sherehe mbali mbali na matamasha Napatikana...
  12. L

    Canter inauzwa kwa bei nafuu

    Habari wadau,,,,ninauza canter ya tani nne kwa bei nafuu, imetembea km 48500 tu, na bodi lake Lina urefu wa mita 4,,,,,,kwa maelezo zaidi piga namba 0783696253,,,ninapatikana dar es salaam
  13. Rockefeller

    House4Sale Numba inauzwa Buguruni

    Habari za mida, Nyumba kubwa inauzwa ipo Buguruni - Rozana, Ni nyumba ya vyumba vitano ndani na nje kuna vyumba vinne ambavyo vitatu ni single na kimoja ni double room na kwa nje nyuma ya nyumba pia kuna eneo la kuweza kutoa vyumba vitatu single. Nyumba ipo Buguruni mtaa wa Azimio karibu...
  14. Ngwango

    INAUZWA Machine ya kukoroga sabuni za maji inauzwa

    Machine ya kukoroga sabuni za Maji inauzwa. Ina uwezo wa kukoroha Lita 200 kila dk,15 bei ni sh million 5 tu. Sema nami namba hizo: 0784692584: 0715888376 welcome.
  15. Aizi Azma

    Infinix Hot 8 Lite - Inauzwa (Dar)

    SOLD!
  16. MrsPablo1

    House4Sale Nyumba inauzwa Milioni 26. Ipo Mbezi Mwisho, eneo la Msakuzi

    Nyumba ipo Mbezi Mwisho mtaa wa Msakuzi ipo karibu na barabara/Kituo cha Daladala. Nyumba hiyo ina vyumba vitatu. Price: TZS 26,000,000 (mwenye nyumba ana shida ya haraka kwahiyo kashusha bei) .Documents serikali ya mtaa lakini wapo kwenye hatua za upimaji • kiwanja kina ukubwa wa eneo 35...
  17. MrsPablo1

    House4Sale Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbezi Msakuzi 30mil

    Nyumba ipo mbezi mwisho mtaa wa msakuzi ipo karibu na barabara/kituo cha daladala Price: TZS 26,000,000 ( mwenye nyumba ana shida ya haraka kwa iyo kashusha bei) .Documents serikali ya mtaa lakini wapo kwenye hatua za upimaji • kiwanja kina ukubwa wa eneo 35 kwa 20 • maji na umeme vipo ...
  18. Muislaam

    House4Sale Nyumba inauzwa Mbagala

    Ipo Mbagala Zakhem, nyuma ya gholofa la Amana Bank. Hati milki ipo. Bei ni milioni 55, maelewano yapo. Kwa mawasiliano piga: 0714167626 au 0688882973
  19. C

    HP Desktop inauzwa

    Imetumika wiki Mbili tu. Core i5 3rd Generation 500GB HDD 4GB RAM 3.3GHZ Peocessor Gaharma 380000 Location Ubungo Riverside. Mawasiliano 0757497175 Iko na Monitor 22 inch kubwa na nzuri kabisa kwa matumizi yako.
  20. BASIASI

    Nyumba inauzwa iko Mbweni Masite haijamalizika 40*23

    BEI 43" 000" 000 43MIL HAIN DALALI UKUBWA 40*23 DK TANO TOKA MASITE MBWENI BARABARAN UKIWA BARABARANI UNAIONA AIJAMALIZIKA KUBADILISHA DOCS INAKUHUSU.MNUNUAJI HATI.IPOOOO CONT +255713458722 HAINA MAONGEZI WALA PUNGUZO
Back
Top Bottom