inauzwa

  1. AbuuMaryam

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Pikipiki nzuri, ngumu inauzwa kwa bei nafuu!

    HIYO HAPO PIKIPIKI TOYO TOLEO LA KWANZA KABISA... BADO MBICHI KABISA...ILIKUWA YATUMIKA KWA MATUMIZI YA NYUMBANI...YAWEZA PIA KUWA BODABODA... NI NGUMU ASIKWAMBIE MTU...NISHASEMA NI TOLEO YA KWANZA WAKATI ZINAINGIA TU... Documents za msingi na Original zipo kabisa unapewa pikipiki yako...
  2. Mangi wa Rombo

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota IST namba DDE, 2005 Model inauzwa

    Habari wakuu! Nauza gari yangu mwenyewe, Make: TOYOTA, Model: IST, Year: 2005, Transition: Automatic, Engine CC: 1290, Engine type: VVT-i, Milleage: 81,900KM. Sport Rims, New Tires zimefungwa December 2020. Radio, Bluetooth Bei 7,500,000 TZS Bima kubwa hadi October 2021. Gari imetunzwa vizuri...
  3. J

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Chainsaw inauzwa

    Ni mashine ya kuangushia miti au kupasua mbao kwa wale wazoefu wa kuitumia Mashine iko katika hali nzuri Tangu inunuliwe imetumia chain mbili tu, Imebadilisha piston mara moja Sababu ya kuiuza imekosa msimamizi Chain saw inafaida Sana ukiwa katika mazingira ya miti mingi na ukiwa fundi...
  4. Baba Mtoto

    JamiiForums Tanzania Ps4 Fat GB 500

    Iko Poa haina Shida Yoyote Inakuja na Padi Zake 2 Ina CD mbili Pia (FIFA20 na MK XL) Kama uko Serious nicheck 0712094731
  5. Magari ya Biashara

    JamiiForums Tanzania House4Sale Tunauza Nyumba aina mbalimbali kwa bei nafuu

    Nyumba ipo Mbezi beach upande wa chini Ina vyumba vitatu kimoja master Jiko, sebule, dinning na public toilet Ina eneo lenye ukubwa wa sqm 1000 Hati miliki mkononi Wahi sasa BEI ni milioni 200 Tu Mawasiliano 0677 818283 Mawasiliano 0677 818283 Mawasiliano 0677 818283 Mawasiliano 0677 818283...
  6. Jerry santonga

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Friji ya hisense litre 164 inauzwa 520,000/=

    Imetumika miezi 4 tu milango miwili ina friza juu ubaridi mkali na friji kwa chini ina nafasi kubwa na pia 0712046405 lipo Dar es salaam kigamboni pia kuna masofa yanauzwa NAHAMA KIKAZI.
  7. Ginner

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Incubator Mashine ya mayai 5280 inauzwa

    Uwezo: 5280 kwa wakati mmoja. Muda wa matumizi: mwaka mmoja. Condition: mint Bei: 3.7m Location: Dar es Salaam. Sababu za kuuza: Mimiliki amehamishwa kikazi Mawasiliano: 0755815174
  8. Mwita Mtu Mrefu

    JamiiForums Tanzania INAUZWA pikipiki TVS namba C inauzwa: Mbagala Dar es Salaam

    TVS cc 125 Full docs of ownership Haina tatizo lolote la kiufundi, engine haijawahi funguliwa. Bei: 1.5 milion Tshs Mbagala Dar Call 0744033555
  9. F

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba inauzwa Mkuranga Mjini

    Ipo mkuranga mjini km moja toka barabara kuu ina vyumba vitatu kimoja master bedroom ina umeme maji mawasiliano 0655204110 na 0699492380.
  10. Alex Hamadi Hamis

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Apple IMac inauzwa (imetumika mwaka 1)

    Apple IMac 🖥 inakuja na mouse + keyboard Condition: Used (1 year) Screen Display: 24inches Core i5 Processors: 2.9GHZ Storage: 1000GB / 1TB RAM: 8GB Price: 1.5M TZS (negotiable) Location: Mwenge, Dar es Salaam Call/WhatsApp: +255676095799
  11. bezos2019

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota LandCruiser Prado 2017 inauzwa

    LandCruiser Prado- TX TRJ150 Year: 2017 Cc: 2693 Eng: 2TR Fuel: Petrol Transmission: automatic Keyless/ push to start Sunroof Tires: Michelin Insurance comprehensive valid to OCT 2021 Total fuel card worth 100k Location: Dar es Salaam, Mikocheni Price: 110M
  12. MALISA92

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Universal 4G MiFi router inauzwa

    Jipatie Huawei MiFi router original ya 4G inayotumia line za mitandao yote Tanzania kwa bei nafuu kabisa ya Tsh 120,000/= Tuwasiliane kwa number 0753 12 14 04 au 0658 02 03 61 kwa maongezi zaidi. Picha zake hizi hapa.
  13. Keco Group ltd

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba ipo Mbagala- Chamanzi inauzwa Million Tisini (90 )

    NYUMBA INAUZWA MILLION TISINI (90) NYUMBA IPO MBAGALA_CHAMANZI. KWA MAELEZO ZAIDI PIGA NAMBA HII: 0769160000 Nyumba ina vyumba vinne chumba kimoja master ina sittingroom diningroom jiko store na choo cha publick ina tiles nyumba nzima ina fence nyumba nzima ina parking kubwa yakukaa gari...
  14. IamMrLiverpool

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Desktop Inauzwa.

    Desktop inauzwa Moshi mjini. Imetumika mwaka mmoja tu Cpu yake (Type) ni Packard Bell Ram 4GB HDD Ni 500 GB Processor Type ni AMD 1.4GHZ Bei 300K Full set. Haina tatizo haijawahi kufunguliwa naiuza kwa sababu ninataka kununua laptop. Karibu inbox for more information. Namba yangu 0779756097
  15. Mwita Mtu Mrefu

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba inauzwa Kigamboni

    Nyumba inauzwa Ipo kibada kigamboni 135 milion.. Negotiable to serious buyers Call 0744033555 Nyumba ina vyumba vitatu Master bedroom Choo public Maji + umeme guaranteed miaka mia Full fence ulinzi uhakika hakuna uswahili Parking space ya kutosha range rover 3 zina fit Hati za umiliki...
  16. schizoid-man

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Ps4 inauzwa

    SOLD
  17. Alex Hamadi Hamis

    JamiiForums Tanzania INAUZWA 5D Mark III (full package) inauzwa

    Imetumika miezi miwili tu, na iko complete (body, lens ya 24-105mm, speedlight, slots cards 4, charger pamoja na battery kama inavyoonekana kwenye picha Bei 3.7m (lakini kuna mazungumzo) Kama uko interesting, nicheki fasta kwa +255676095799
  18. Mwita Mtu Mrefu

    JamiiForums Tanzania Car4Sale BMW 1 Series namba D inauzwa

    BMW 1 Series, inauzwa, Tsh 15 milion. Namba T.... DTM Ina miezi saba tu toka inunuliwe Kilometre 95,856 Engine capacity: 1590 CC Engine type: Petrol Colour: black Seat capacity: 5 people, Milango mitano. Kadi ya gari ipo Bima ipo Location: Temeke Mikoroshini Tuwasiliane kwa 0744033555...
  19. KGARE

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Gari Toyota Raum inauzwa- Mwanza

    Gari Toyota RAUM , ya 1999 inauzwa. Rangi: Zambarau, Milango: 5, Mileage: Km 128,000, Engine size : 1490cc, Airbag: 2 , Automatic transmission, Fuel: Petrol, BEI: 6,000,000- Milioni 6 tu Imetunzwa na iko vizuri sana. PIGA: 0713962628/ 0718481042 MAHALI: MWANZA
  20. AbuuMaryam

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa Tegeta wazo hill eneo la uwanja wa panga (ulipo mnada mpya wa Tegeta Nyuki)

    NYUMBA NA ENEO LAKE LAUZWA... TSh25,000,000 Dar es Salaam Nyumba inapatikana TEGETA WAZO ENEO LA UWANJA WA PANGA... Zipo nyumba mbili katika eneo moja... Kubwa ni ya familia vyumba 3 na sebule, Ndogo ni vyumba viwili. Eneo ni takriban 20 kwa 20. Eneo kama linavyoonekana kwenye picha halipo...
Back
Top Bottom