inauzwa

  1. Mr.panya

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Fujitsu Desktop inauzwa TZS 280,000/= tu!

    Habari wakuu, Nauza desktop aina ya FUJITSU ipo full set , haina tatizo lolote ila naiuza kwa sabbau nataka ninunue laptop mana nimekua mtu wa safari sana siku hizi: FUJITSU DESKTOP HDD : 300GB RAM : 4GB PROCESSOR : INTEL PENTIUM 3.2GHz OS : WINDOWS 10 PRICE : 280,000 CONTACT : LOCATION ...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Tunauza magari ya aina mbalimbali

    Engine: 1NZ vvti Capacity: 1490cc . Location: Shekilango - Dsm . Call: 0719 143475
  3. crusader_jr

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale SamsungA30 inauzwa

    Wakuu habari poleni na majukumu Moja kwa moja kwenye uzi ama jukumu la hii post Ifuatayo ni samsungA30 inauzwa, iko clean na haina tatizo lolote Specs ni kama ifuatavo: 64 gb storage 4gb Ram Android 10 Os Chaja(fastcharge) pia nakupatia Price=280k Mobile number +255756364489 Location Kawe...
  4. edger jairos

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Raum CCR inauzwa

    Haina tatizo Piga 0748001009 Ununio Dar Ndani Ina good CONDITION Cc 1490 Bei 6.5milion 6.5mil
  5. Lemaitre

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Gari ya kazi inauzwa

    Wakuu Habari za jioni. Nauza gari ya kazi kwa bei ya nafuu kabisa. Make: Eicher Mode: truck Model number: MC2B6 Year of manufacture: 2017 Engine Capacity: 3298 Fuel used: Diesel Seating capacity: 3 Mileage: 15868 Price 32 Millions Gari ipo kwenye hali nzuri kabisa, unaweza kuja kuiona...
  6. Kakondele

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba inauzwa Sumbawanga

    Nyumba inauzwa ipo Sumbawanga Izia mita 80 kutoka soko la sabasaba Ina vyumba vyumba vitatu kimoja ni master,sebule,dining room,jiko,store kwa nje ina chumba na sebule,vyoo vya nje,na vyumba vinne vya frame,maji na umeme vipo Bei ni Tzsh 35,000,000/=Malipo kwa awamu yanapokelewa kwa makubaliano...
  7. MagariTanzania

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota Land Cruiser inauzwa

    Diesel Auto Ipo katika hali nzuri, inatembea. Ipo Dar es Salaam. Bei 17mil. Mawasiliano 0784225000.
  8. MagariTanzania

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba ya Ghorofani Inauzwa Upanga

    Nyumba ina muonekano wa kuvutia, Ina vyumba vitatu vya kulala kimoja kinajitosheleza ( Masta bedroom), subule, jiko la kisasa na mahala pa kula. Ni nyumba imara inayoweza kumudu mazingira kwa muda mrefu pasipo kufanyiwa marekebisho yasiyo na ulazima wowote. Bei TZS -210milioni. Hii ni nyumba...
  9. bonjov

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Bajaj inauzwa

    Bajaj MC 459 CDG Ipo Makumbusho, nilipaki muda mrefu (4 month) Sana sababu ya usumbufu wa hesabu kwa madereva usimamizi ni changamoto kwangu. Haijawahi funguliwa engine hata kidogo. Ina Bima inaisha mwezi wa 5 2021 Matengenezo: Matairi 2 ni vipara kubadilisha Bei Milion 5,000,000 negotiable...
  10. G

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Printer copier HP Laserjet 1132' na Epson l 805 inauzwa

    PRINTER COPIER 'HP LASERJET 1132' INAUZWA DODOMA NA EPSON L 805 HP - 320,000/- EPSON - 450,000/- DODOMA MJINI - 0716 87 04 17
  11. B

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Mitsubishi canter-truck inauzwa

    Mwaka wa kutengenezwa 2001 Aina ya Injini 4D33 Uwezo wa Injini 4,210cc Uwezo wa gari Tani 2 Manual transmission Nyeupe Accessories AC Power Window Power Steering Mahali ilipo MWANZA Bei Tshs. 27,000,000. Mawasiliano 0752 484 225
  12. sungura23

    JamiiForums Tanzania INAUZWA HP Multifunction Printer inauzwa

    USED HP Deskjet 4515 -Print, scan na copy -Inaprint black na rangi -Inaprint two sided -Ina wireless print access - 6.73 cm touch screen -Ipo kwenye hali nzuri sana haina tatizo lolote -Bei laki mbili na elfu hamsini (250,000/=) -Mawasiliano: 0658322565
  13. sanga kariakoo

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Apple imac all in one nch 24 wide inauzwa 380000

    Habari waheshimiwa Nauza apple imac core 2 duo mtumba kutoka nje(ziko nyingi) sifa zake Hdd 500gb ram 2gb (inaongezwa) nch 24 wide processor 2.8ghz core 2 duo graphics ATI radeon HD 2600 PRO 256 MB zinasoma DvD NA CD za aina zote Napatikana KARIAKOO mt uhuru na MACHINGA COMPLEX floor 4...
  14. Popacomputers

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Dell laptop inauzwa

    Dell latitude 2110 mini laptop Hard disk: 160GB Ram: 2GB core2duo Good Condition betri inakaa 3hrs Price 180000 tsh Location machinga complex Karume contac 0757870230
  15. N

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Samsung Galaxy A10s inauzwa

    Habari zenu wadau, nauza simu yangu ya samsung A10s kwa bei ya 210k napatikana Mbagala Dar es Salaam iko poa kwa kila kipengele
  16. AbuuMaryam

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Pikipiki nzuri, ngumu inauzwa kwa bei nafuu!

    HIYO HAPO PIKIPIKI TOYO TOLEO LA KWANZA KABISA... BADO MBICHI KABISA...ILIKUWA YATUMIKA KWA MATUMIZI YA NYUMBANI...YAWEZA PIA KUWA BODABODA... NI NGUMU ASIKWAMBIE MTU...NISHASEMA NI TOLEO YA KWANZA WAKATI ZINAINGIA TU... Documents za msingi na Original zipo kabisa unapewa pikipiki yako...
  17. Mangi wa Rombo

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota IST namba DDE, 2005 Model inauzwa

    Habari wakuu! Nauza gari yangu mwenyewe, Make: TOYOTA, Model: IST, Year: 2005, Transition: Automatic, Engine CC: 1290, Engine type: VVT-i, Milleage: 81,900KM. Sport Rims, New Tires zimefungwa December 2020. Radio, Bluetooth Bei 7,500,000 TZS Bima kubwa hadi October 2021. Gari imetunzwa vizuri...
  18. J

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Chainsaw inauzwa

    Ni mashine ya kuangushia miti au kupasua mbao kwa wale wazoefu wa kuitumia Mashine iko katika hali nzuri Tangu inunuliwe imetumia chain mbili tu, Imebadilisha piston mara moja Sababu ya kuiuza imekosa msimamizi Chain saw inafaida Sana ukiwa katika mazingira ya miti mingi na ukiwa fundi...
  19. Baba Mtoto

    JamiiForums Tanzania Ps4 Fat GB 500

    Iko Poa haina Shida Yoyote Inakuja na Padi Zake 2 Ina CD mbili Pia (FIFA20 na MK XL) Kama uko Serious nicheck 0712094731
  20. Magari ya Biashara

    JamiiForums Tanzania House4Sale Tunauza Nyumba aina mbalimbali kwa bei nafuu

    Nyumba ipo Mbezi beach upande wa chini Ina vyumba vitatu kimoja master Jiko, sebule, dinning na public toilet Ina eneo lenye ukubwa wa sqm 1000 Hati miliki mkononi Wahi sasa BEI ni milioni 200 Tu Mawasiliano 0677 818283 Mawasiliano 0677 818283 Mawasiliano 0677 818283 Mawasiliano 0677 818283...
Back
Top Bottom