inauzwa

  1. M

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Mashine ya kufumia masweta kofia nk. Inauzwa

    Haina shida yoyote inapiga kazi vizuri kabisa. Bei Tsh 500,000 (maelewano yapo) 0755868463 location: Kahama
  2. crusader_jr

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Samsung A50 inauzwa

    Wakuu nauza simu Aina ya samsung a50 kwa bei rafiki kabisa ya 550k Karibu PM au piga simu namba 0692377018 kwa biashara. Simu bado ni mpya imetumika ndani ya mwezi tu mmoja iko na kila kitu chake kama earphone,charger na risiti yake au kwa mwenye samsung s8 edge karibu kwa mabadilishano...
  3. Aerma

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Iphone 6 inauzwa 320000

    Habari! Simu aina ya Iphone 6 inauzwa sh 320,000/=.Simu ina crak kwenye kioo.Simu iko kwenye hali nzuri.Interest buyers nicheki Dm
  4. blakafro

    JamiiForums Tanzania Nissan Patrol Nyeupe ya Mwaka 2008 inauzwa, Ina Engine ya TD42

    TD42 ENGINE | MANUAL | 4WHEEL DRIVE | DIESEL WHITE COLOUR | AFTER MARKET RIMS |BRAND NEW TYRES. FULL AC | 93,000KM VERY CLEAN INTERIOR. UN-REGISTERED. Price : 50Million Negotible. 📞 0744183343
  5. Gabbimakini

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Gari aina ya Harrier linauzwa

    Toyota harrier (tako la nyani) Gari imetunzwa Haijarudiwa rangi Full ac Full documents Bei ni 19M Tunakusaidia kuissue transfer of ownership Piga simu 0688351006
  6. R

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Harrier (Lexus) Yenye miezi 8 Tanzania Inauzwa

    Gari hii ni ya mwaka 2004, ina miezi 8 hapa Tanzania. Kila kitu kiko vizuri. Ina Kilomita 76,000 Gari inapatikana Mbeya na niko tayari kuisafirisha kwenda popote Tanzania. Bei yake ni 23,500,000 Kwa wenye uhitaji wasiliana nami kwa sim 0746 267 740
  7. F

    JamiiForums Tanzania Car4Sale RAV 4 milango 5, Inauzwa 6.5 Milioni

    Toyota RAV 4 ya mwaka 1995 inauzwa, milango mitano Engine capacity ni 1998, imetembea KM 160926. Bei ni Shilingi Milioni sita na laki tano tu (6,500,000/=) . Ipo Dar-es-Salaam. Kwa maelezo zaidi piga simu namba 0713 629 999
  8. Rion Jr

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Samsung 6s edge inauzwa

    Bei ya Tsh 260000/= Location buguruni shell Call 0746696878 No crack Ipo katika good condition
  9. J

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba inauzwa Mapinga Kerege

    Hii ni nyumba ya kuishi na familia, inauzwa ipo Mapinga-Bagamoyo Road kwa bei ya Tsh. 18,000,000 (Milioni 18) lakini majadiliano yanaruhusiwa. Nyumba ina vyumba vitatu vya kulala ikiwemo Masta, jiko, bafu, seble kubwa kwa ajili ya kulia na kupumzika, pia ina uwanja mkubwa kwa mbele. Masiliano...
  10. don g dou

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Pikipiki Sanlg Inauzwa

    Inauzwa PIKiPIKI Aina Ya Sanlg Sl125-5 Haimjui Fundi Bei Ni 1.8m Ipo Kahama Piga 0622556749 Karibuni
  11. TULIMAJE

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba inauzwa mil90 ipo Mbezi ya Kimara jirani na Stand Kuu Mpya

    Nyumba yenye vyumba 5 ikiwa kwenye hali nzuri. Ina uwanja mbele na nyuma Mita za mraba 1500 Inauzwa mil 90 maongezi yapo Karibuni simu 0768412181 Mbezi Kimara
  12. Ally_34

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Laptop Dell inauzwa

    Bei Tsh 530,000 Inapatikana Morogoro Ina 500 gb Mawasiliano piga 0746897449
  13. G

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale HP Laptop inauzwa laki moja na nusu

    HP Laptop min 1104 inauzwa dual core hardisk 160 inch 10 RAM 2GB ipo na charger yake ni laki 150 tu mtu anashida tatizo la pc ni keyboard tu na keyboard ni elfu 30 wanauza karibuni sana nipo Dar Mbezi ya Kimara 0656804462
  14. F

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Tshirt printer inauzwa - Heat press machine heavy duty

    Heshima kwenu wadau.. Nauza T-Shirt heat press, heavy duty, nzuri kabisa for transfers image and logo on T-Shirts, namba na majina kwenye jezi za michezo.. kuprint leso, vitambaa etc Mpya kabisa haijawai tumika Bei ni laki 9 ,,manufacture anaitwa Adkins, size ni kubwa kabisa A-3 Manufacture...
  15. MrsPablo1

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Bajaji mpya iliyosajiliwa inauzwa million 6

    Ilianza kazi tarehe moja mwezi wa tatu, ikafanya kazi miezi 2 dereva akazingua, so imepaki toka mwezi wa 5 , mwenyewe hataki tena biashara ya bajaji 📞 0758851175, 0713220021
  16. J Mbungi

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba mpya ya kisasa inauzwa DSM Madale Mwisho 21,000 (48,000,000)

    NYUMBA MPYA YA KISASA INAUZWA DSM-MADALE MWISHO $21,000 (48,000,000) Karibu wadau "Hii ni nyumba mpya kama inavyoonekana kwenye picha Ipo Dar es salaam - Madale mwisho..barabara ya kuelekea MBOPO (Njia panda ya Msumi-Mbezi). Bei ni dola $21,000 au Milioni 48 za kitanzania )..(Maongezi kidogo...
  17. kilimomaarifa.tajiri

    JamiiForums Tanzania Nyumba (Boma) inauzwa Ituha-Mbeya Mjini kwa Shilingi 10.5 Milioni

    -Nauza nyumba yangu, ambayo bado sijaezeka (boma limeshafika kwenye lenta), ina vyumba viwili (kimoja ni master), pamoja na sebule, -Nyumba (Boma) Ipo barabarani kabisa, ni umbali wa kilomita 1 kutoka Ituha mwisho wa lami. -Saizi ya kiwanja ni 20m kwa 20m, nyumba iko ituha-mbeya, karibu kabisa...
  18. N

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Bajaji inauzwa Tsh 3,500,000

    Bajaji inauzwa Tsh 3,500,000 TVS Location: ARUSHA Contact: 0745483004 Maelewano yapo
  19. Kim12

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Stabilizer inauzwa 25,000/=

    Inauwezo wa kutumika kwenye friji ya hadi lita 300 Ipo Mbezi Mwisho. Haina tatizo lolote Bei ni Tsh: 25,000/=
  20. Stephen Ngalya Chelu

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota Rumion Inauzwa

    Price: 16.5 Ml. Engine Code :ZN Mileage 100,265km Engine Size 1,500cc Registration Year * 2009 Manufacture Year ** 2009/ 10 Ext. Color Black Wheel Drive :2wheel drive Transmission: Automatic Location: kinondoni,mwanamboka Steering :Right Fuel: Petrol Seats :5 Doors :5 Dimension: 4.21x1.76x1.63m...
Back
Top Bottom