Albu Huwa (also: Albu Hawa, Qaryat Albu Hawa) is a village in Iraq, which is located in the Al Anbar Governorate south of the city of Fallujah and north of Amiriyah Fallujah, in a loop of the river Euphrates.In 2016, during the Siege of Fallujah, there was intense fighting in the area between the Iraqi army and ISIL militants. There were reports that 2,000 families were trapped in two villages, Albu Huwa and Hasai, and used as human shields.
Hili dude huwa naliona sehemu mbalimbali mitaani.
Watu wanapataje faida na hasara kwa biashara ya hili dude maana sijawahi kulielewa naona watu wanalichezeachezea tu wengine wanatoka wamefurahi wengine wanatoka wamenuna,
Anayefahamu A,B,C kuhusu hili dude aseme uelewa wake anitoe ushamba...
Unakuta thead ina kichwa cha habari kinachokuvutia uisome,ila ukitaka kuifungua unakutana na "You do not have permission to view this page or perform this action",what the hell?.
Wakubwa, kuna kitu kinaninyima raha sana.
Nikiwa faragha na mke wangu, nikimshika uke ili niuchezee huwa anautoa mkono wangu, kwa kweli hii hali inanisononesha sana.
Nifanyaje wakuu, au nimuache tu?
Wakuu sijawahi kula nikasema hiki chakula kitamu na kinazidi na chakula cha nyumbani.
Niseme ukweli chakula cha nyumbani kwetu hata kama kimepikwa na mama yangu mwenye umri wa miaka 74 bado huwa nakiona kitamu na kila ladha asili kuliko chakula chochote cha hotelini.
Nimeenda kwenye hoteli...
ππ π πππππ: Aliyekuwa beki kisiki wa Simba Sc, Henock Inonga Baka amepewa mkono wa kwaheri na klabu ya AS FAR Rabat ya Nchini Morocco aliyokuwa akiitumikia kwa msimu mmoja baada ya kuondoka Simba Sc.
Chanzo Taarifa: maulidkitenge katika ukurasa wake wa Mtandao wa Thread
Haya sasa wale WANAFIKI...
Morning.
Kuna Dada mmoja alimpata kijana mmoja akiwa na only 20 years .
By that time Huyo Dada mchumba wake wote walikuwa wanasoma.
Baadae yule Dada alimaliza masomo yake na kujariwa na Mwananchi na baadae BBC.
Na yule Kijana alimaliza masomo yake akaenda jeshini na Kuwa na cheo kikubwa tu...
Inasemekana ni tajiri
Lakini mbona hajakaa kama tajiri, kuchekacheka hovyo, kushinda na mateja muda wote, nguo habadilishi.
Yani sioni kama kuna tajiri pale, labda mniambie yeye ni msimamizi tu ila mwenye mali yuko pembeni.
Kwenye maisha ya nyakati hizi,makelele hasa ya muziki yamekuwa ni kiashiria cha usasa,na kuonesha shangwe. Watu hawapendi tena unyamavu na kufikiri ,kelele zimekuwa ndio kiburudisho ,Jamii ya namna hii kamwe haiwezi kuwa na mawazo pevu kwa mambo kadhaa ya maisha.Muziki wa kelele unatumika kama...
Watu wenye malalamiko ya ndoa na mapenzi zaidi na ambao wanatembea hadi na mafuta kwa ajili ya wagoni wao ni maskini au wa kipato cha kawaida, watu matajiri wao wakishindwana kwenye ndoa au mahusiano wataachana na wataoa au kuolewa na mtu mwingine na maisha yataeendelea.
Ni nadra kukuta kesi ya...
Inashangaza sana mdada anakuwa na mtu wake kwa muda mrefu lakini hamuoi na wala hana mpango wa kumuoa.
Lakini anakuja kupata mtu wa kumuoa cha ajabu kabla ya harusi anakwenda kumpa penzi na anagongwa kana kwamba sio mchumba wa mtu.
Hii inashangaza sana.
Katika huu mwaka wa uchaguzi Kila kipindi CCM ikiwa inapitia hekaheka nzito vyama kama ACT na CHAUMMA navyo Huwa vinaingiza mkia nyuma lakini huko CCM kukipoa ACT na CHAUMMA utawasikia wanapata makali.
Saiv usikii chaka to chaka usikii watu wakinadi sera zao lakini kipindi CCM wakipata afadhali...
I salute you kinsmen.
Kipindi cha usajili kinapofika tu basi simba ndio huwa wana furaha wao na azam lakini ligi ikianza tu.
Yanga wanabebwa
GSM anaharibu ligi
Udhamini wa team nane
Mangungu atoke
Tshabalala msaliti
Sasa nataka mjue simba imejaa uozo mkubwa sana.
Na inaanzia kwa Mo mwenyewe...
Lema alikuwa hana sababu ya kuongea kuhusu Mbowe .
Ikiwa mtu hayupo upande wenu Ila nyie mnasapotiwa na mamilion ya watu ambao wanawasikiliza , na kutoa sapoti zao sasa Mbowe yeye ni nani ?.
Nafikiri mtaji mkubwa katika siasa ni watu .
Ukizungumzia mapito msijifikirie nyie Ila mjue kuna watu...
Kuna watu sasa hivi wanajadili kama Polepole kutuma barua ya kujiuzulu mtandaoni amefuata protokali! Yani karne hata barua ya kujiuzulu yenye maudhui na sababu kama hii ya Polepole iwe siri ya serikali ?! Siasa za ujaama uchawara zimedumaza sana akili za Watanzania wengi.
Huwa nashangaa sana...
Wabobezi wa miamba,Geologist,Geotechnical na wengine wote mnaohusika kwa namna moja ama nyingine kwenye masuala ya miamba karibuni mtupe majawabu ya kina.
Naomba kuuliza kwa wale ambao mmezaliwa kijijini je mkiwa mnafikiria jambo lolote huwa mnatumia lugha zenu za Asili.?
Maana Mimi binafsi huwa natumia kiswahili., kwakuwa sijakulia kijijini , .