hot

  1. 2 of Amerikaz most wanted

    JamiiForums Tanzania Long hot showers may reduce

    According to Harvard health publishing, when the temperature in the area increased by even two to four degrees, which can be due to hot shower 🚿 or other reasons both the production of sperms and testosterone are impacted. Sperm cells also get overheated which can affect Sperm function and...
  2. L

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Infinix hot 11 play gb 64 clean kabisa bei 170k

  3. Tea Party

    JamiiForums Tanzania Kwanini Tanzania Hatuna Music Charts Zinazoeleweka Kama Billboard Hot 100? Tunakwama Wapi

    Kama unafuatilia muziki kwa umakini utabaini kwamba Bongo hamna music chart ya kueleweka, the likes of Billboard. Hapa Bongo kila kituo kina charts zake. Clouds ina Clouds FM top 30, EA Radio ina za kwake na vituo vingine vingi. Ubaya wa charts hizi ni kwamba hazina uhalisia. Zina upendeleo na...
  4. N

    JamiiForums Tanzania JOB ADVERT: I am looking for Hot kitchen and Pastry Chefs

    Qualifications: 1.Culinary Education: A formal culinary arts degree or diploma. 2.Cooking Skills: Proficiency in various cooking techniques. 3.Food Safety: Knowledge of regulations and safe handling practices. 4.Time Management: Ability to work efficiently during peak hours...
  5. H

    JamiiForums Tanzania Msaada: Namba ya huduma kwa wateja NHIF

    Kuna rafiki amepata tatizo la kadi ya mtoto anaambiwa haijalipiwa wakati yeye (mlipaji) anatumia ya kwake bila shida. Nimempa namba za hotline nilizokuwa nafahamu, zote hazipatikani? 0800110063 0800111163 Naomba mwenye namba mbadala please.
  6. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini wanawake wengi wakiwa kwenye umri mzuri (prime age) lazima wachague wanaume wasio sahihi?

    Umri wa kuanzia miaka 15-27 yaani hapo wanawake wengi huchagua kuzaa na waume za watu, vijana wa hovyo, deadbeat dads (wanaume wasiotaka kulea watoto wao na familia). Pia nimechunguza sio kwamba kwenye umri huo wanakuwa hawafatwi na wanaume sahihi, wanafuatwa na wanaume wengi sahihi, ila...
  7. K

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nauza nyumba maeneo mbalimbali Dar

    Chanika Magenge, mtaa Toroka Uje. Bei 16milioni. Serious buy nipigie tufanye biashara 0712347749, 0746474849. Nyumba ina vyumba 3. Master 1, viwili vya kawaida Choo cha public kipo ndani kingine nje. Sittingroom, deningroom Flem za biashara 2. Kozi 2 ya uzio Eneo la kujenga mabanda ya uani...
  8. JITU LA MIRABA MINNE

    JamiiForums Tanzania Nataka ninunue Infinix hot 12i au 10i wazee vipi ubora wake kwa wale walioinunua

    ufanisi wake ukoje?
  9. JITU LA MIRABA MINNE

    JamiiForums Tanzania Nataka ninunue Infinix hot 12i au 10i wazee vipi ubora wake kwa wale walioinunua

    Habari zenu ndugu zangu wa damu,pongezi nyingi kwa kuamka salama Nimepata hela kidogo nataka ninunue Infinix hot 12i au 10i ipi nzuri zaidi na kama au bora zaidi ? Karibuni sana
  10. mbinda_smartphones

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Tunauza simu aina mbalimbali

    Sony Xperia XZ1 || 4GB RAM || 64GB Storage || Free Cover & USB || Used From Dubai || Price 220,000/= Call: 0765 683 574 Instagram mbinda_smartphones
  11. Farsan

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Infinix Hot 10 PLay - 64GB, 4GB, 6000mAh

    Bei: 220000/= piga Simu, 0653499987 Hali: haijawahi kufunguliwa na mafundi,full boxed, Location: Dar es salaam
  12. Dansel

    JamiiForums Tanzania Kioo Cha kamera ya nyuma Infinix Hot 11

    Wakuu kwa bahati mbaya kioo cha kamera ya simu yangu aina ya Infinix Hot 11 (kamera tatu Kwa nyuma). Kimecrack hivyo kufanya camera kutokupiga picha angavu. Msaada Kwa wapi naweza pata replacement na itakuwa bei gani. Kwa Sasa nipo Mwanza.
  13. Suzy Elias

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: Rais Mwinyi ameongeza mshahara kwa Watumishi kwa 15%

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Mwinyi ametangaza ongezeko la mshahara kwa 15% Kutokana na utaratibu huo kima cha chini cha mshahara kitapanda kutoka Tsh. 300,000 hadi Tsh. 347,000 sawa na asilimia 15.6 Ongezeko hilo linatarajiwa kutolewa kutumia mfumo wa...
  14. CEYLON

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Infinix Hot11 inauzwa

    Inauzwa 290000, Ina ram gb4 Rom gb128 Battery 6000mah Ant-theft alert Android 11 Finger print Simu ipo katika hali nzuri Simu ipo dar
  15. Frankdaniel711

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Infinix Hot 9 play

    Habari wana if Nauza simu yangu infinixy hot 9 PLAY aina tatizo lolote Ni: 2ram 32Gb 4g Line 2 Camera ni 8 mbele nyuma 13 Uwezo wa better ni 6000MAH Simu ni yangu mwenyewe naiuza 195,000 maongezi tunaongea nipo dar es salaam Chanika Namba zangu za WhatsApp au kupiga 0756774813 Asante
  16. bafetimbi

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Nauza infinix HOT 10i 215,000

    Simu hiyo wazee haina kasoro wala mkwaruzo Ina GB 64 3--6GB RAM 720×1600 pixels 13 MP (1440p) Betri 6000mAh, inakaa na chaji muda mrefu mno 6.52
  17. NYUNDO YA MOTO

    JamiiForums Tanzania HOT THREAD: (wamaliza visaani)tutume picha au video fupi zinazoonyesha umefikisha speed ya gari mpaka mwisho

  18. dvj nasmiletz

    JamiiForums Tanzania Punguzo maalum infinix hot 10 kwa laki na nusu tu, karibu

    Memory gb32 Ram 4 Condition NEW kwenye box lake Zipo nyingi Karibuni Mikoan tunatuma kwa gharama zako Namba zipo hapo
  19. F

    JamiiForums Tanzania Kumbumbuku - Je kipande hili ulikiimbaje wakati huo kipo hot miaka ya 78?

    Sikiliza Video clip hii - hawa ni Orchestre Kiam wimbo unaitwa Moni. Sikiliza kutoka 6:40 hadi 7:50
  20. Ramon Abbas

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Infinix hot 8 kwa 160,000 only

    ram 2gb rom 32gb simu haina changamoto yoyote napatikana kariakoo Dsm sms 0625750755
Back
Top Bottom