Kama isingekuwa Mungu. Mimi na wengine wengi tusingekuwa na uwezo wa kuishi
Hebu angalia tu jinsi mambo yalivyo. Nini kinaendelea?
Niambie inakuaje hapa Tanzania bado watu wengi wanapinga upinzani. Niambie inakuaje kwenye mshahara kodi wanakatwa walalahoi wabunge hawakatwi
Niambie inakuaje...