Hello wanajamii.
Kunususru janga la ajira kwa vijana.
Ni kuwa na vyuo kila mkoa/mji.
Vyuo hivi vijengwe kutoa elimu ambayo sio general, bali specific kutokana na rasilimali zilizopo/zinazopatikana kwa wingi kwa sehemu husika.
Kwa mfano, labda Mwanza kunapatikana samaki,vyuo vya uvuvi na...