healthcare

Health care, or healthcare, is the improvement or maintenance of health via the prevention, diagnosis, treatment, amelioration or cure of disease, illness, injury, and other physical and mental impairments in people. Health care is delivered by health professionals and allied health fields. Medicine, dentistry, pharmacy, midwifery, nursing, optometry, audiology, psychology, occupational therapy, physical therapy, athletic training, and other health professions all constitute health care. The term includes work done in providing primary care, secondary care, tertiary care, and public health.
Access to health care may vary across countries, communities, and individuals, influenced by social and economic conditions and health policies. Providing health care services means "the timely use of personal health services to achieve the best possible health outcomes". Factors to consider in terms of health care access include financial limitations (such as insurance coverage), geographical and logistical barriers (such as additional transportation costs and the ability to take paid time off work to use such services), sociocultural expectations, and personal limitations (lack of ability to communicate with health care providers, poor health literacy, low income). Limitations to health care services affect negatively the use of medical services, the efficacy of treatments, and overall outcome (well-being, mortality rates).
Health systems are the organizations established to meet the health needs of targeted populations. According to the World Health Organization (WHO), a well-functioning health care system requires a financing mechanism, a well-trained and adequately paid workforce, reliable information on which to base decisions and policies, and well-maintained health facilities to deliver quality medicines and technologies.
An efficient health care system can contribute to a significant part of a country's economy, development, and industrialization. Health care is an important determinant in promoting the general physical and mental health and well-being of people around the world. An example of this was the worldwide eradication of smallpox in 1980, declared by the WHO, as the first disease in human history to be eliminated by deliberate health care interventions.

View More On Wikipedia.org
  1. GentleGiant

    JamiiForums Tanzania PSSSF moja ya taasisi za Umma zenye Customers care bora kabisa nchini

    Wakati nafikiria kuanza michakato ya kufuatilia michango yangu kwa hawa jamaa nilikuwa nafikiria sana kwa kuwa taasisi nyingi za umma zinasifika kwa kuwa na customer care mbaya sana kwa wateja. Lakini nimefuatilia,nimeingia ofisi tofauti tofauti na itoshe tu kusema jamaa ni wakarimu na...
  2. Noizee maker

    JamiiForums Tanzania Nilipokosa cha kufanya kwa simu yangu nikaamua kutongoza customer care

    Siku moja niko zangu nimetulia tu hata sijui siku inaendaje,basi wakati nachezea simu mara paap nikapata wazo la kutongoza customer care 😂 Chap tu nikapiga 100 kila nikisikia sauti ya kiume nakata mara paap mtoto akapokea, hello naitwa mary unaitwa nani na unapiga simu kutoka wapi? Nikamjibu...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Je, kuna kozi fupi kuhusu Afya ya Ngozi (Skin Care)?

    Mimi ni mwanafunzi ninayesoma Utabibu, je, kuna short course ya Afya ya Ngozi (skin care) au mpaka niwe specialized doctor wa ngozi? Lengo langu kubwa ni kuwa mfanyabiashara mkubwa wa masuala ya vipodozi, sasa ili niwe na utaalamu wa kumshauri mtu kipodozi kipi atumie na kipi asitumie inabidi...
  4. A

    JamiiForums Tanzania SoC02 Kuboresha huduma ya afya ya awali (primary health care)

    UTANGULIZI HUDUMA YA AFYA YA AWALI; Ni mtazamo wa jamii nzima ambao unalenga katika kuhakikisha huduma za afya zilizo bora zinatolewa na kwa jamii nzima kwa usawa na kujali mahitaji ya wanajamii nzima. Hii inajikita katika utoaji wa huduma za kafya za kibinafsi zinazotolewa kwa mara ya kwanza...
  5. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Project Driver Cum Assistant Logistician at CARE

    CARE is a leading humanitarian organization dedicated to fighting poverty and social injustice and places a particular emphasis on women and girls, their dignity and empowerment to lead their communities out of poverty. In 2020, CARE worked in 104 countries, reaching 90 million people through...
  6. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Project Manager for USAID/TANZANIA Youth Empowerment and Skills Program at CARE

    Project Manager for USAID/TANZANIA Youth Empowerment and Skills Program at CARE September, 2022 CARE is a leading humanitarian organization dedicated to fighting poverty and social injustice and places a particular emphasis on women and girls, their dignity and empowerment to lead their...
  7. Mathias66

    JamiiForums Tanzania Dr cold health care

    MULTIMACA ni kirutubisho ambacho kimepewa tuzo kwa afanisi mzuri wa kazi yake mwilini KINATUMIKAJE Hii inaongeza nguvu za kiume kwa asilimia 100% yani kama utaitumia hii bidhaa tatizo lako halitajirudia tena Pia inasafisha mfumo mzima wa chakula hasa kwa watu wenye vidonda sugu vya tumbo, choo...
  8. beatboi

    JamiiForums Tanzania Nataka nimfungulie kesi aliyejitambulisha kama Customer care wa Halotel kwa kunitukana bila sababu

    Habari zenu watoto wa mama (SSH) Nimejikuta wiki nzima imeharibika baada ya kupokea matusi kutoka kwa mtu ambaye amejitambulisha ni mtoa huduma kwa wateja (customer care). Nilikuwa nimepumzika zangu majira ya asubuhi ghafla nikapokea simu kutoka kwa mtu aliyejitambulisha kuwa anatoka kitengo...
  9. Damidizzo

    JamiiForums Tanzania Kuna mtu amewasiliana na Customer Care ya Sensa?

    Jamani kama kuna ambae amefanikiwa kuwasiliana na customer care wa sensa wanasemaje kuhusu ambao hawajapata meseji ya nywila au namna ya kupata namba ya siri kwa ujumla?
  10. mtoto mdg

    JamiiForums Tanzania CARE intl

    Habar, Kuna ambae ashaitwa interview na hawa CARE. Kwenye nafasi yao ya project coordinator. Shukran
  11. Lavan Island

    JamiiForums Tanzania Msaada nataka kufungua day care je nianzie wapi?

    Habari wana Jf nimeamua kufungua daycare baada ya kuhitimu diploma ya childhood education nimeamua nijiajiri,hivyo ninaomba mwenye uelewa wa taratibu za kufuata anielekeze tafadhali.Ushauri
  12. E

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Day Care na shule za chekechea Arusha zimeshamiri kulikoni?

    Ggg
  13. T

    JamiiForums Tanzania The regime that does not care of its citizens

    BBC has just notified the World that unknown number of Tanzanian are stranded in Ukraine as the result of on going with Russian unfortunately no any statement made by the Government on how to evacuate and bring them back . As far as i know life a single person matters a lot .
  14. Nyuki Mdogo

    JamiiForums Tanzania Kuna vitu si vya kukabidhi Mwanamke

    Hello wanaume wenzangu kokote mliko. Nawaasa sana kokote mliko Kama una familia ama hauna unaweza kuwa nayo after some time Kuna vitu katika haya maisha si vya kuweka katika miliki ya mwanamke. Utakuja kulia vibaya sana ama kujiua kama mstaafu wa Polisi kule Moshi Naorodhesha vichache! Hati...
  15. T

    JamiiForums Tanzania Mwalimu/Mlezi wa Day Care center anahitajika

    Habari! Mwalimu /mlezi anahitajika Shule: Tiger Day Care Wapi: Dar- kinondoni-kawe Sifa: Awe amesomea uwalimu/ au malezi , awe anajua kingereza vizuri na nyimbo nyingi za watoto, upendo kwa watoto. Jinsia: Awe wa kiume au kike ,umri awe kijana Sharti: Awe anaongea kingereza muda wote...
  16. Bratherkaka

    JamiiForums Tanzania Mtei bus - bad customer care (T305 DTS)

    Habari, Jana nimepata bad exeprience na basi la MTEI (T305 DTS) kutoka tanga to Arusha, ni mara ya kwanza kwenye historia ya maisha yangu yakusafiri na mabasi. Wakati wakushuka konda anaomba hela ya kulipisha mzigo. Sijui jinsi ya kuweza kutatua hili tatizo, nimejaribu kuwapigia simu yao...
  17. Doctor Mama Amon

    JamiiForums Tanzania Kwa Mkurugenzi wa BRELA: Naomba kujua namba za simu za customer care staff wako zinazofanya kazi

    Mheshimiwa Mkurugenzi wa BRELA, Hizi ni zama za kidijitali, na tuko fourth industrial revolution. Lakini hapo kwako BRELA kuna tatizo. NImeingia mfumo wa ORS nimekwama, na hakuna namna ya kupata msaada wa haraka kutoka customer care office ya BRELA. Nimechukua namba za customer care staff...
  18. Planett

    JamiiForums Tanzania Huyu customer care wa benki hii hana kazi ya kufanya?

    Straight to the topic, Juzi kati kuna hela nilikua natarajia iingie kwenye acount yangu sasa nikawa nimeangalia sana salio ile siku kama mara 8 hivi ila hela ikawa haijaingia, nikaona isiwe kesi nikatulia zangu. Sasa mida ya jioni nikaona simu inaita nikapoke, aliyepiga akajitambulisha kua ni...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya ukutubi (librarian),data entry,record management,customer care, receptionist and personal assistant.

    Habari wana JF. Mimi ni kijana umri miaka 27 ninaishi Ubungo,Dar es salaam Tanzania Nina degree ya library and information studies natafuta kazi ya ukutubi katika shule au vyuoni pia ninauzoefu wa kazi hii. pia ninatafuta kazi ya kutunza kumbukumbu (record management) katika ofisi yeyote au...
  20. Ngaliba Dume

    JamiiForums Tanzania NSSF mnawatesa Wajawazito wa Fao la Uzazi; Customer Care mbovu ofisi za Ubungo

    Ni week ya sasa Wajawazito katika ofisi mbalimbali za jiji la Dar es Salaam hawapati huduma,iwe Ubungo au Ilala kwa wakazi wa Dar es Salaam. Inaenda karibu week ya pili sasa kwa wajawazito ukienda kwenye ofisi za NSSF kwa ajili ya Fao la Ujauzito ni kero tupu,sababu mara mtandao unasumbua mara...
Back
Top Bottom