Kuna mtu hawazi Wala kufikiria watu watasema nini mtoto na mwanawe kupita bila kupingwa katikati ya watanzania 65,000,000.
Hata kama unasema hujui lakini hii inaweza kukulazimisha kujua.
Baada ya baba wa taifa kufa, nani amebakia kutuambia acheni kufanya hivi?