Huyu mzee sijui anakitafuta kitu gani. Kitu kimoja ninachokiamini ni kuwa ukweli halisi wa kinachoendelea huko ni wao tu wakubwa ndiyo wanaufahamu. Inawezekana kabisa sijui kujiunga Nato, kuuondoa Unazi n.k ikawa ni picha ya nje lakini picha ya ndani wanafahamu ni wao tu!!!
Unatakiwa kufahamu...