Nilichooneshwa: Hatima ya TAL na wasaliti wanaorejea

Nilichooneshwa: Hatima ya TAL na wasaliti wanaorejea

Baba jayaron

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2015
Posts
4,648
Reaction score
6,409
Wasalaam,
I declare interest, haya ni maono, yaan ni ndoto ilinichukua mchana ghafla nikipoteza ufahamu wa kawaida kwa muda nnao kadiria dakika moja na nusu.

Katika hali ya kustaajabisha kabisa nikaoneshwa namna vikao vya siri wakuu wakilaumiana kwanini kila pigo walilopiga Chadema limekua mwiba kwao na kuwagharimu zaidi, kiako cha la wama na hasara ya kula pesa za watu pasipo matokeo waliyohaidiana.

Ndipo anaibuka MWAMBA mmoja anayeaminika kua jabali wa upande alioutelekeza akisema watumie diplomasia sasa ili kuimaliza Chadema yaani uharibifu aunzie ndani maana mapigo ya kutokea nje yameshindwa kukimaliza kabisa.

Nikaona makubaliano ya furaha kabisa. Sasa chama kikapewa air time kikaonekana kupendwa waliosaliti walirudi wazi wazi na kuponda upande hatari kana kwamba wanajuta kweli kumbe wapo kwenye kazi maalum.

Kazi hio maalum inaenda kukamilishwa kwakumpoteza Mwenyekiti halali, mkweli, mzelando na mwenye msimamo kwakua ndio nguzo na Icone ya chama kwa sasa.

Nilipata mshtuko nakutamani kuzuia jambo hilo lisitokee kumbe ilikua too late nikaeudi kwenye ufahamu wangu wa kawaida nikiwa na majonzi mengi saana na huzuni.

My take:
Chadema ingefanya reforms ya katiba ya chama kwenye ibara za sifa za mwanachama na haki ya kuchaguliwa.
Wange weka hivi kwa mwanachama aliyesaliti chama na kurudi baadae atapoteza sifa ya kua kiongozi kwa kipindi cha miaka 10 akiwa chini ya uangalizi.

Ahsanteni kwakunisoma.
 
Kwamba kina Freeman Mbowe na vijana wake wapenda pombe na nyama za bure kina John Mrema, Yericko Nyerere and the likes wamehakikishiwa na CCM kuwa tayari wamemaliza kazi (kumuua Tundu Lissu) na hivyo wanarudi kuja kuchukua chama chao kwa msaada wa Abdul na Samuya mama Abdul..?

Aaah🤔

Bila shaka hayo yalikuwa ni maono na ndoto ya kichawi tu maana imeandikwa👇🏻👇🏻

Maombolezo 3:37 SUV
"....Ni nani asemaye neno nalo likafanyika, Ikiwa Bwana hakuliagiza...?"

Tundu Lissu hafi leo wala kesho. Ataondoka duniani hapo kwa mapenzi ya Mungu Yehova pale atakapokuwa ametimiza kusudi la Mungu la yeye kuja hapa duniani. Tundu Lissu hatakufa kwa matakwa na mapenzi ya wanadamu hawa waovu maana Mungu Yehova anasema hivi kuhusu yeye👇🏻

Isaya 54:17 SUV
".....Kila silaha itakayofanyika juu yako (Tundu Lissu) haitafanikiwa na kila ulimi utakaoinuka juu yako katika hukumu utauhukumu kuwa mkosa. Huu ndio urithi wa watumishi wa BWANA, na haki yao inayotoka kwangu mimi, asema BWANA..."

Jaribuni na sumu. Risasi 16 zilimletea ulemavu tu bila kuondoa uhai wake. Kipi kingine kinaweza? Sumu siyo..?

Mtakufa wenyewe na Tundu Lissu yu hai ktk Kristo Yesu🙏🏻🙏🏻🙏🏻
 
Kwamba kina Freeman Mbowe na vijana wake wapenda pombe na nyama za bure kina John Mrema, Yericko Nyerere and the likes wamehakikishiwa na CCM kuwa tayari wamemaliza kazi (kumuua Tundu Lissu) na hivyo wanarudi kuja kuchukua chama chao kwa msaada wa Abdul na Samuya mama Abdul..?

Aaah🤔

Bila shaka hayo yalikuwa ni maono na ndoto ya kichawi tu maana imeandikwa👇🏻👇🏻

Maombolezo 3:37 SUV
"....Ni nani asemaye neno nalo likafanyika, Ikiwa Bwana hakuliagiza...?"

Tundu Lissu hafi leo wala kesho. Ataondoka duniani hapo kwa mapenzi ya Mungu Yehova pale atakapokuwa ametimiza kusudi la Mungu la yeye kuja hapa duniani. Tundu Lissu hatakufa kwa matakwa na mapenzi ya wanadamu hawa waovu maana Mungu Yehova anasema hivi kuhusu yeye👇🏻

Isaya 54:17 SUV
".....Kila silaha itakayofanyika juu yako (Tundu Lissu) haitafanikiwa na kila ulimi utakaoinuka juu yako katika hukumu utauhukumu kuwa mkosa. Huu ndio urithi wa watumishi wa BWANA, na haki yao inayotoka kwangu mimi, asema BWANA..."

Jaribuni na sumu. Risasi 16 zilimletea ulemavu tu bila kuondoa uhai wake. Kipi kingine kinaweza? Sumu siyo..?

Mtakufa wenyewe na Tundu Lissu yu hai ktk Kristo Yesu🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Mtumishi mimi sipo upande wa watesi nimejaribu ku share nilichokiona kwenye ulimwengu wa maono.
 
Wasalaam,
I declare interest, haya ni maono, yaan ni ndoto ilinichukua mchana ghafla nikipoteza ufahamu wa kawaida kwa muda nnao kadiria dakika moja na nusu.

Katika hali ya kustaajabisha kabisa nikaoneshwa namna vikao vya siri wakuu wakilaumiana kwanini kila pigo walilopiga Chadema limekua mwiba kwao na kuwagharimu zaidi, kiako cha la wama na hasara ya kula pesa za watu pasipo matokeo waliyohaidiana.

Ndipo anaibuka MWAMBA mmoja anayeaminika kua jabali wa upande alioutelekeza akisema watumie diplomasia sasa ili kuimaliza Chadema yaani uharibifu aunzie ndani maana mapigo ya kutokea nje yameshindwa kukimaliza kabisa.

Nikaona makubaliano ya furaha kabisa. Sasa chama kikapewa air time kikaonekana kupendwa waliosaliti walirudi wazi wazi na kuponda upande hatari kana kwamba wanajuta kweli kumbe wapo kwenye kazi maalum.

Kazi hio maalum inaenda kukamilishwa kwakumpoteza Mwenyekiti halali, mkweli, mzelando na mwenye msimamo kwakua ndio nguzo na Icone ya chama kwa sasa.

Nilipata mshtuko nakutamani kuzuia jambo hilo lisitokee kumbe ilikua too late nikaeudi kwenye ufahamu wangu wa kawaida nikiwa na majonzi mengi saana na huzuni.

My take:
Chadema ingefanya reforms ya katiba ya chama kwenye ibara za sifa za mwanachama na haki ya kuchaguliwa.
Wange weka hivi kwa mwanachama aliyesaliti chama na kurudi baadae atapoteza sifa ya kua kiongozi kwa kipindi cha miaka 10 akiwa chini ya uangalizi.

Ahsanteni kwakunisoma.
Naunga mkono hoja, hata kama ni zuio kwa miaka 5 linafaa sana.
 
Mleta mada umekula nini mchana?

Naona tuanzie hapo.
 
Ni hatari zaidi kwa chama kuamini kuwa kila mtu ni kibaraka kuliko kuamini kuwa mfumo wake ni imara kiasi cha kumfanya mtu yeyote ashindwe kuuhujumu.
 
Mtumishi mimi sipo upande wa watesi nimejaribu ku share nilichokiona kwenye ulimwengu wa maono.
Hukuona sawasawa..

Kanuni ya Mungu Yehova, ni kuwa, akikupa ujumbe fulani kupitia aidha ndoto au maono ya namna yoyote, basi straight mpelekee muhusika as quick as you can within the time frame aliyokupa Mungu...

Wewe umetenda kinyume chake. Kwamba, umepewa ujumbe personal kwa ajili Tundu Lissu, lakini wewe unapita barabarani kumtangazia kila mtu (kuandika humu JF ni sawa na kuropoka hovyo huko barabarani)...

Na kwa sbb hii, ndoto na maono yako haya yanakosa sifa kuwa yametoka kwa Mungu Yehova bali ni hisia zako tu au unatumiwa na adui (ibilisi) kuleta confusions kwa kujua au bila wewe kujua...

However, hii haina maana kuwa Tundu Lissu hayuko ktk tishio la hawa hayawani wanaoiwinda yoho yake. Bado anaishi ktk tishio hili. Kila Mtanganyika anatambua hilo (wala hatuhitaji ndoto wala maono ya mtu yeyote)....

Aidha Tundu Lissu mwenyewe anajua na kutambua matishio hayo yote toka kwa watesi wake. Na kwa kuwa wote tunajua, usifikiri kuwa ulimwengu wa Roho umetulia. Watu kila kona ya nchi hii na duniani kote, wanapigana vita hii ya kiroho kumuombea Mtumishi wa Mungu huyu Ili Mungu amkumbatie na kumponya na kila hila na mikakati ya uovu ya hayawani hawa wa CCM na serikali yao haramu na dhalimu...

Tunaomba na tunaomba kwelikweli juu ya Tundu Lissu. Hatukuhitaji kusubiri hisia za watu wanazoziita ndoto au maono Ili kujua kuwa ndugu yetu yuko ktk hatari. Inajulikana miaka mingi iliyopita ndio maana hata zile risasi 16 za mwaka 2017 toka kwa hayawani hawahawa hazikutoa uhai wake. Ni kwa sbb, Munyu Yehova yu pamoja naye daima.. Amina🙏🙏🙏.

Imeandikwa👇

Ayubu 5:12-15 SUV
".....Yeye huyatangua mashauri ya wadanganyifu, Mikono yao isipate kuyatimiza makusudi yao. Yeye huwanasa wenye hekima katika hila yao wenyewe; Na mashauri ya washupavu yaharibika kwa haraka. Wao hupatwa na giza wakati wa mchana, Hupapasa mchana vilevile kama usiku. Lakini yeye huokoa na upanga wa kinywa chao, Hata kumwokoa mhitaji na mkono wake aliye hodari...."

Kupitia Neno hilo👆, Bwana Mungu Yehova asema hivi;

1. Mashauri (mashitaka yao ya uongo na udanganyifu sambamba na mikakati (strategies) za utekelezaji, yote yametanguliwa au yamebatilishwa!

2. Mikono yao na akili zao zimeshikwa na kufungwa ktk ulimwengu wa Roho na milele hawataweza kamwe kutimiza makusudi yao maovu!!

3. Kupitia hekima yao wenyewe ya kijinga na kipumbavu, wamenaswa ktk hila zao...!

4. Mashauri yao wanayoona ni ya kishupavu na kishujaa wakati ni uasi na uovu mtu mbele ya YESU KRISTO, yameshaharibika na kusambaratika haraka na muda mrefu!

5. Na kwa sababu hii, watapigwa upofu. Wakati wa mchana jua likiwa na nuru yake, wao wataona Giza na watatembea kwa kupapasa papasa..

6. Sisi na Tundu Lissu, Mungu Yehova keshatuokoa tayari toka katika makali ya panga zao (i.e bunduki, risasi, sumu zao na mbinu zao zote za uharibufu..)

👉Amka, tubu na Bwana Mungu ktk Yesu KRISTO atakurehemu

👉Mbingu na nchi na zishangilie na kuimba kwa furaha maana Bwana wa utukufu, Mungu wa miungu yote, Bwana wa mabwana wote, Mungu wa Majeshi yote amejitukuza na kujiinua ktk nchi na taifa tukufu la Tanganyika..!
 
Maono ya miaka kumi nimeyaota sana tena wasiwe vimbelembele sana sababu umaharufu wao ulikuzwa na chadema waliondoka wakijua chadema itayumba
 
Maono ya miaka kumi nimeyaota sana tena wasiwe vimbelembele sana sababu umaharufu wao ulikuzwa na chadema waliondoka wakijua chadema itayumba
Kabisa ni kuwababna ili nyakati zingine wasirudie
 
Hki
Kwamba kina Freeman Mbowe na vijana wake wapenda pombe na nyama za bure kina John Mrema, Yericko Nyerere and the likes wamehakikishiwa na CCM kuwa tayari wamemaliza kazi (kumuua Tundu Lissu) na hivyo wanarudi kuja kuchukua chama chao kwa msaada wa Abdul na Samuya mama Abdul..?

Aaah🤔

Bila shaka hayo yalikuwa ni maono na ndoto ya kichawi tu maana imeandikwa👇🏻👇🏻

Maombolezo 3:37 SUV
"....Ni nani asemaye neno nalo likafanyika, Ikiwa Bwana hakuliagiza...?"

Tundu Lissu hafi leo wala kesho. Ataondoka duniani hapo kwa mapenzi ya Mungu Yehova pale atakapokuwa ametimiza kusudi la Mungu la yeye kuja hapa duniani. Tundu Lissu hatakufa kwa matakwa na mapenzi ya wanadamu hawa waovu maana Mungu Yehova anasema hivi kuhusu yeye👇🏻

Isaya 54:17 SUV
".....Kila silaha itakayofanyika juu yako (Tundu Lissu) haitafanikiwa na kila ulimi utakaoinuka juu yako katika hukumu utauhukumu kuwa mkosa. Huu ndio urithi wa watumishi wa BWANA, na haki yao inayotoka kwangu mimi, asema BWANA..."

Jaribuni na sumu. Risasi 16 zilimletea ulemavu tu bila kuondoa uhai wake. Kipi kingine kinaweza? Sumu siyo..?

Mtakufa wenyewe na Tundu Lissu yu hai ktk Kristo Yesu🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Ka
 
Back
Top Bottom