Hata wangetoa laki 5 kama alivyofanya Chief Godlove,kosa liko palepale
Kosa la yanga au Hersi Said sio amount waliyotoa,bali ni Hersi Saidi kiongozi wa Yanga kutamka kauli inayohusisha club na mambo ya siasa.
Namnukuu,
""Sisi yanga tunachangia ...."'
Hiyo kauli ndio inamfanya aonekane...