Shunroku Hata (畑俊六, Hata Shunroku, July 26, 1879 – May 10, 1962) was a Field Marshal (Gensui) in the Imperial Japanese Army during World War II. He was the last surviving Japanese military officer with a marshal's rank. Hata was convicted of war crimes and sentenced to life imprisonment in 1948, but was paroled in 1954.
Njama za kumuua hayati JPM
Makada wa CCM kuhusika na ufisadi. Mfano Angela Kiziga.
Kuporomoka kwa maadili
Wizi wa kura kupitia Inec na Nida
Ukweli ni kuwa CCM imechafuka amidst election campaign
Hakuna usawa watu wanaingiziana mabilioni kwenye account zao,wanaendesha magari ya billion 20 lakini Mimi hata hela ya kula sina,nimekopa kausha damu hivi sasa nimepata presha hela ya kulipa Sina,nawasihi Angela Kizinga,Elvis na Abdul mnionee huruma mniletee hata kabilioni na Mimi nipate raha...
Makabila 12 ya Wana Israel
1. Ruben – mzaliwa wa kwanza wa Lea.
2. Simeon – mwana wa Lea.
3.Lawi/Levi – mwana wa Lea → kutoka hapa ndio anatoka Nabii Musa na Harun.
4. Yuda (Judah) – mwana wa Lea → kutoka kabila hili walitokea manabii wengi na mfalme Daudi na Suleiman.
5. Isakari (Issachar)...
Haya yamesha kula nyama za watu, ukiisha anza kula nyama za mtu huwezi kuacha.
Yameshakuwa manyangau , hayakamatiki.
Tunatokaje hapa tulipofikia? Tumpuuze Polepole au tumuunge mkono for a second Indepencence/liberation strugle!?
Watu kwenda Benki Kuu kuchota hela kama Iddi Amin, hii haikubaliki.
Ndio maana Kanisa Katoliki limeuliza kama hao viongozi wa Serikali wana haki ya kuingia Kanisani na kuongea.
Hakuna uwiano katika ya sifa wanazorundikiwa watu na mambo ya aibu wanayofanya.
Sasa watu wengi wanasemwa vibaya...
Miaka ya utotoni na ujanani imejaa options kibao za marafiki lakini ukubwani marafiki wanazidi kupungua au kupotea kabisa.
option ambayo huwa inabaki kwa wengi ni ndugu na familia zao.
wajomba zangu walikuwa na kabeef flani ka muda mrefu sana tangu wakiwa wadogo hadi ujanani lakini ukubwani...
Kilichotarajiwa kuwa tukio kubwa la ufunguzi wa kampeni za CCM.. Kiligeuka karaha kwa wakazi wa Dar hasa wa maeneo yote kuelekea njia za Kawe, Bagamoyo, Bahari beach nknk.
Tukio lililopaswa kuwa na shamrashamra na amsha amsha za kila aina liligeuzwa kuwa taharuki ya kiusalama.
Nikiwa zangu...
Richmond, Dowans na Symbion ni mali ya mtu mmoja yule yule The King Maker KM- RA.
Tozo ya Simbion ilikuwa dola milioni 350 wakakubali kulipwa nusu dola milioni 175 .
Blaza alipochomoka jamaa akamvaa Mama na kumuimbisha, Mama akaingizwa kingi, zikalipwa US 385 million!.
Jamaa akainunua Petra...
Ama kwa hakika hakuna kulipo salama!
Kasikika Mwabukusi:
1. Kudogosha taarifa ya Polepole kuwa mifumo INEC na NIDA kusomana ni jambo la kawaida. Sina hakika alisahau kuwa kwa mujibu wa Polepole kulikuwa na mfumo wa tatu uliotajwa pale. Haikuwa siri, kulikuwa na mfumo wa CCM uliotajwa pamoja na...
Kumuua binadamu mwenzio asiye na hatia Kisha kumtia kwenye kiroba na kumtupa Ili umma ujue ,inalenga kuwatisha wananchi waone kwamba ninyi ni wa kuogopeka.
Ninasema waliouwawa ni wasio na hatia sababu kuu ni kuwa, Mahakama ndio sehemu pekee ambayo nchi na katiba yetu imeelekeza kutoa hukumu...
Hili ni swali kwa wajuvi wa sheria je takwa hili la wagombea kuhakikisha kwamba wana wazunguka na kupata wadhamini kwa nafasi za urais kutoka mikoa yote ya Tanzania bara na visiwani halipo tena?
Au wadhamini wanaweza kupigiwa simu na kusaini kwa mfumo wa kidijitali?
Akizungumza na waandishi wa habari leo Jjijini Dar es Saam rais wa TLS Chama cha Wanasheria (Tanganyika Law Society ) Wakili Mwabukusi amesema kuwa kuna maeneo 7 critical na 6 niya muhimu sana hata kesho yakifanyiwa marekebisho uchaguzi unakuwa wa uhuru na haki tukikaa mezani tuone tatizo liko...
Huwa nikiwaangalia Watanzania unabaki kucheka , kwakuwa wanaamini Tanzania kuna wanasiasa wa kuwapambania dhidi ya umasikini wao jibu ni hapana.
Vyama vyote vinafanya Kazi chini ya watu wale wale wa Ccm.
Ndo maana mwaka 2015-2020 Magufuli alivyo noticed huo ujinga alipanic na akatamani...
CCM imeamua kuwaacha wagombea wenye ushawishi kwa wananchi kwa kuwakomoa kwa kuamini yeyote ikimuweka anapata ubunge. Hata walioachwa hawana pa kwenda kwani wakifanya hivyo visasi vitawafuata. Kukosekana kwa mfumo huru wa uchaguzi na CCm kumiliki vyombo vyote vya dola ( mahalama na bunge) na...
Nashangaa viongozi wa chadema wamekunja ndita wanaamini ni Polepole kumbe ni akili mnemba (AI)🤣 eti wanasema "Tumekusamehe" be serious, tulitegemea kauli ya katazo ya kutofungamana na upotoshaji wa AI Kama ambavyo vyama vingine vya Upinzani makini vimefanya.
Inakuwaje chadema inakuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.