Wakubwa shikamooni, wadogo zangu mambo vipi?
Ndugu zangu nimekuja tena baada ya kuingia mtaani kupambania kombe
Nakumbuka mara ya mwisho nilipitia msoto mkali sana nikaja humu kwa ushauri na msaada wowote nilimwagiwa matusi hadi nikajichukia ilibaki kidogo nijiondoe kwasababu sikuona thamani ya kuishi ukizingatia sina wazazi na kuzaliwa kwenye umaskini anyway Mungu ni mwema nipo hai
Leo nimekuja hapa kuomba msaada wenu kutokana na mishe niliyobahatisha imesimama na hatujalipwa bado tunapigwa kalenda huku unadaiwa kodi na bill zingine napata depression kubwa kwasababu hata kula changamoto ni mateso ngumu mtu kuelewa ila ndio uhalisia wangu
Hivyo ninaomba ndugu zangu mnipe mchongo
Mimi ni kijana muaminifu na mpambanaji pia nilipata bahati kufika chuo kikuu mlimani ila course niliyosomea ( psychology) sijapata ajira, kwa mwenye kuwa na msaada wa kazi iwe kuuza duka, part time jobs, biashara na zingine nipo tayari.
Nipo Kilakala Dar es Salaam
Ndugu zangu nimekuja tena baada ya kuingia mtaani kupambania kombe
Nakumbuka mara ya mwisho nilipitia msoto mkali sana nikaja humu kwa ushauri na msaada wowote nilimwagiwa matusi hadi nikajichukia ilibaki kidogo nijiondoe kwasababu sikuona thamani ya kuishi ukizingatia sina wazazi na kuzaliwa kwenye umaskini anyway Mungu ni mwema nipo hai
Leo nimekuja hapa kuomba msaada wenu kutokana na mishe niliyobahatisha imesimama na hatujalipwa bado tunapigwa kalenda huku unadaiwa kodi na bill zingine napata depression kubwa kwasababu hata kula changamoto ni mateso ngumu mtu kuelewa ila ndio uhalisia wangu
Hivyo ninaomba ndugu zangu mnipe mchongo
Mimi ni kijana muaminifu na mpambanaji pia nilipata bahati kufika chuo kikuu mlimani ila course niliyosomea ( psychology) sijapata ajira, kwa mwenye kuwa na msaada wa kazi iwe kuuza duka, part time jobs, biashara na zingine nipo tayari.
Nipo Kilakala Dar es Salaam