Al Ahly walikua na hofu, waliona Ingekua Ni fedheha Sana kwao kufungwa Mara ya pili na Simba,
Ingekua Ni fedheha Sana kufungwa nyumbani mechi ya marudiano baada ya kufungwwechi ya Kwanza,
Inajiona Ni timu Bora kuliko Simba,kufungwa Mara mbili na Simba Ni fedheha Sana,
Simba ilikua inacheza...