gwajima

Dorothy Onesphoro Gwajima also known Gwajima Dorothy is a Tanzanian CCM politician and a nominated cabinet member since 2020. She was appointed by President John Magufuli into the Magufuli cabinet and still presenlty serves as a Minister of Health, Community Development, Gender, Elders and Children under Suluhu Cabinet.

View More On Wikipedia.org
  1. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Mfahamu Askofu Dr. Josephat Gwajima: Ni zaidi ya Mbunge, ni zaidi ya Waziri...! Ni Mtumishi wa Mungu aliye Hai! Si mtu wa mchezo mchezo!

    Wanabodi JF ni ukumbi wa kuhabarishana, kuelimishana, kuburudishana na kusaidiana ikiwemo kuisaidia nchi yetu, taifa letu, viongozi wetu na watu wake. Kuna watu wengi wanadhani wanamfahamu vizuri Askofu Dr. Josephat Gwajima, kama Askofu tuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, lakini kiukweli wengi...
  2. J

    JamiiForums Tanzania Hoja za Askofu Gwajima hazina udini wala ukabila, machawa na wanafiki wanapotosha makusudi

    Baada ya hapo jana Askofu Gwajima kutoa ushauri na maoni juu ya mambo mbali mbali yanayoendelea nchini, wameibuka wanafiki machawa na wasema ovyo humu Jf kutaka kuushawishi umma kuwa katika hoja za Gwajima kuna ukabila na udini. Jambo hili ni hatari na baya mno kwa amani, umoja na Mshikamano...
  3. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 POTOSHI Kwenye hotuba ya Agosti 15, 2025 Askofu Gwajima amewataka watanzania kudumisha amani na umoja kipindi cha uchaguzi

    Wakuu nimekutana na hii Grafiki lakini kwa trending ya huyu bwana sina hakika kama alitamka haya maneno.
  4. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ubora wa hotuba ya Gwajima ya jana ni tofauti yetu Watu weusi na Wazungu katika kuwatumia vizuri watu wenye uwezo mkubwa wa kiakili

    Kwenye hotuba ya jana tarehe 15/08/2025 ya Gwajima, kwenye maneno yote aliyozungumza, neno bora kabisa ni lile kuhusu watu weusi tunavyotofautiana na Wazungu katika kuwatumia watu wenye uwezo mkubwa wa kiakili. Kila siku nikiona namna watu wenye akili na upeo tofauti wa kufikiri na kutenda...
  5. Mganguzi

    JamiiForums Tanzania GE2025 Nitaishangaa CCM ikipuuza ushauri wa comred Josephat Gwajima. Kama wewe sio firauni utasikiliza sauti za maonyo', kutoka kwa Mungu na kwa wanadamu!!

    Udhaifu wa taifa ni pale mnapotawaliwa badala ya kuongozwa. Alieleta karatasi ya kura ndio iamue na itupatie kiongozi hakumaanishi kura iheshimiwe kuliko wapiga kura. Mtawala anaweza kuamua kuunda kakikundi ka watu 20 ndio wakawa wanaamua chochote mtake mstake Firauni alipokaribia kuanguka...
  6. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hata Gwajima na Polepole waongee kiasi gani historia zao zitaendelea kuwasaka tu

    Siasa wafanyie wabongo lala, leo hii jiwe angekuwa kuwa hai tusingemaliza bando zetu kuangalia ma press yao hao, wangekuwa kimya regardless changamoto za hapa na pale. Ndio wana point ila ni za kinafiki.
  7. L

    JamiiForums Tanzania GE2025 Nitaijibu hotuba ya Askofu Gwajima kwa kina muda wowote ule kuanzia sasa

    Ndugu zangu Watanzania, Kuanzia Sasa na muda wowote ule nitaijibu kwa kina na kwa hoja nzito sana Hotuba iliyotolewa na Askofu Gwajima siku ya hapo jana. Nitaeleza kwa kupita neno kwa neno na sentensi kwa sentensi. Nimeona ni kama Askofu Gwajima kavurugwa akili yake au kachanganyikiwa au...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Swalii gumu alilouliza Gwajima: Serikali ya Samia imefungia Imani au imefungia Kanisa la Ufufuo?

    Waumini wa Kanisa la Ufufuo na uzima wamefanya jitihada mbalimbali za kutafuta majengo na mabanda mbadala ili waweze kuendelea kuabudu, lkn kote huko wamefurushwa. Wamefurushwa ktk maeneo 7 tofauti.. Ndipo sasa Gwajima anaulliza serikalini ya Samia imefungia imanii ya waumini hao ama imefungia...
  9. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kwa kukiuka maadili na misingi ya CCM, ni wakati wa Tawi la CCM Kawe kumbandua Josephat Gwajima uanachama

    Na misingi ya kumbandua Gwajima uanachama wa CCM iko wazi kabisa kwamba kwa makusudi amekiuka ahadi zote za mwanachama, mila, destruri na utamaduni wa chama cha mapinduzi, mambo ambayo ni kinyume kabisa na ethics za chama. Mathalani, Josephat Gwajima amekosa adabu na nidhamu kwa chama na...
  10. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Nilivyomwelewa Askofu Gwajima hotuba yake ya jana Agosti 15, 2025

    1. Nimezunguka majimbo karibu yote Tanganyika naangalia umati uliokuwa nyuma yangu. Watawapigia kura CCM? / watakwenda kupiga kura 2. Wafuasi wa madhehebu mbali mbali watawapigia kura CCM? watakwenda kupiga kura? 3. Wapenda haki watawapigia kura CCM?/ watakwenda kupiga kura? 4. Mwachieni Lisu 5...
  11. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Sijaona tapeli kama Gwajima

    Baada ya domo lake kumponza, sasa Gwajima anatapatapa na kutafutwa kuonewa huruma. Anabwabwaja akidhani watu wote ni mazwazwa kama yeye. Anasema hili leo na kesho lile. Anajipiga mitama mwenyewe. Sasa acha akione cha moto na asionewe huruma wala kuaminiwa. Alidhani angewatapeli CCM asijue ni...
  12. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania SI KWELI PreGE2025 Gwajima amkosoa Polepole vikali, amuita mnafiki

  13. KING MIDAS

    JamiiForums Tanzania Mamlaka haya makubwa Gwajima kayapata wapi?

    Gwajima katandika sana leo. Hoja zake kubwa ni: 1. Serikali ijitafakari na usiingie uchaguzini bila kuweka mambo sawa sawa. 2. Serikali ifungue makanisa in 10 days. 3. Serikali imuachie Lissu bila masharti..Amesema hata yeye Lissu anamuhusu,sio kwa wanachadema tu na akaenda mbali akasema...
  14. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania GE2025 Askofu Gwajima sisi Wakatoliki wala hatujakutuma Utuongelee na Utujumuishe katika Matatizo yako ya Serikali, Rais Samia na CCM

    Kwa kifupi tu ni kwamba ulichokifanya Jana ni Akili ya Kitoto na Kipuuzi ya kutaka sasa Kuliingiza Kanisa Katoliki katika Sakata lako na Utawala wa sasa nchini. Baada ya kuona huungwi mkono na Makanisa kwa kujifanya una Akili (wakati huna) ukatafuta Kanisa lililo na Ushawishi na Kubwa la...
  15. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Gwajima anaongea Kiswahili cha wapi?

    Anavyoongea kiswahili chake utadhani si msomi? Neno kura yeye hutamka kula. Angalia spech yake ya jana. https://youtu.be/ApwVq9JJww4?si=bE11Rfya8oU5QgJx
  16. kavulata

    JamiiForums Tanzania GE2025 Gwajima amekata pumzi, anatafuta pa kushika

    Gwajima, Mpina na Polepole wote wanazo sifa zinazorandana. Wote ni wasukuma/wanyamwezi, ni waskristo na walipewa vyeo vikubwa na JPM (msukuma). Wanachosahau ni kitu kimoja kuwa ndani ya CCM na serikali wapo wasukuma na waskristo wengine wengi sana bado. Hivyo, kama ukimkata Mpina kugombea...
  17. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Askofu Gwajima: Mwenyekiti wa Tume angekuwa anateuliwa na Lissu, CCM ingeshiriki uchaguzi?

    Salaam! Soma pia PreGE2025 - Askofu Gwajima: Utekaji si utamaduni wetu na halitakiwi kuchekewa! Hili ni swali lingine gumu ameliuliza kwa chama chake CCM Yeye akiwa mnec, Ameuliza kuwa ikiwa Tundu Lissu ndiye angekuwa Rais na Mwenyekiti wa CHADEMA mwenye mamlaka ya kumteua Mwenyekiti wa...
  18. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Stress zimemzeesha Gwajima ndani ya kipindi kifupi sana

    Kapoteza kabisa nuru, kasinyaa na kukunjamana sura kwa uzee wa msongo wa mawazo, ubishi na chuki dhidi ya viongozi wasio wakristu hususani waisilamu. Analazimisha ujasiri ambao kimsingi hana hata kwa kutazama tu body language na tone yake, badala yake kajawa chuki, hasira na kiburi kupindukia...
  19. J

    JamiiForums Tanzania GE2025 Gwajima anaweka chumvi za Udini kwenye hotuba zake

    Jamani, huu mchezo wa kutupatia "breaking news" kila mara kana kwamba tomorrow morning nchi inawaka umegeuka kuwa kama Bollywood movie, dakika tano full action kisha dakika ishirini ni love songs na watu kukimbizana kwenye bustani. Leo unamsikiliza Mpina, maneno yake yanakupa picha ya fire in...
  20. Mindyou

    JamiiForums Tanzania Askofu Gwajima: Wakatoliki kupitia TEC wametoa nyaraka mbalimbali lakini hazifanyiwi kazi. Je watapiga kura?

    Wakuu,
Back
Top Bottom