Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,722
- 45,126
Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya ligi ya mabingwa pamoja na shirikisho Africa, Simba na Yanga mchana huu watakuwa wakifuatilia droo ambapo makundi yatapangwa.
Droo hii itaanza saa 8:00 kwa masaa ya hapa nyumbani. Hivyo karibu jukwaani ujue nani kapangwa na nani?
Droo itakuwa live kupitia AzamTv chaneli namba 106 na DStv kupitia chaneli namba 229.
Nafikiri na YouTube kwenye account rasmi ya CAF.
===
USMA (ALG)
M. GALLANTS (RSA)
AL AKHDER (LBY)
ST. ELOI LUPOPO (RDC)
GROUP B
ASEC MIMOSAS (CIV)
DIABLES NOIRS (CGO)
RIVERS UTD FC (NGR)
DC M. PEMBE (RDC)
GROUP C
PYRAMIDS FC (EGY)
ASKO DE KARA (TGO)
FUTURE FC (EGY)
ASFAR (MAR)
GROUP D
MAZEMBE (RDC)
US MONASTIR (TUN)
Y. AFRICANS (TAN)
REAL BAMAKO (MLI)
Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) limekamilisha droo ya Hatua ya Makundi ya Kombe la Shirikisho, Yanga ya Tanzania ikiwa Kundi D pamoja na US Monastir ya Tunisia, TP Mazembe ya DRC na Real Bamako ya Mali.
Kuna jumla ya makundi manne yaliyopangwa ambapo michezo ya Hatua ya Makundi inatarajiwa kuanza Februari 2, 2023 na kuendelea hadi Aprili 2, 2022.
W.A.C (MAR)
A. PETROLEOS (ANG)
JS KABYLIE (ALG)
AS VITA CLUB (RDC)
GROUP B
AHLY SC (EGY)
M.SUNDOWNS (RSA)
O EL HILAL (SUD)
COTON SPORT (CMR)
GROUP C
RAJA C.A (MAR)
HOROYA A.C (GUI)
SIMBA SC (TAN)
VIPERS SC (UGA)
GROUP D
E.S.T (TUN)
ZAMALEK SC (EGY)
CR BELOUIZDAD (ALGI
AL MERRIKH (SUD)
Droo hii itaanza saa 8:00 kwa masaa ya hapa nyumbani. Hivyo karibu jukwaani ujue nani kapangwa na nani?
Droo itakuwa live kupitia AzamTv chaneli namba 106 na DStv kupitia chaneli namba 229.
Nafikiri na YouTube kwenye account rasmi ya CAF.
===
KOMBE LA SHIRIKISHO
GROUP AUSMA (ALG)
M. GALLANTS (RSA)
AL AKHDER (LBY)
ST. ELOI LUPOPO (RDC)
GROUP B
ASEC MIMOSAS (CIV)
DIABLES NOIRS (CGO)
RIVERS UTD FC (NGR)
DC M. PEMBE (RDC)
GROUP C
PYRAMIDS FC (EGY)
ASKO DE KARA (TGO)
FUTURE FC (EGY)
ASFAR (MAR)
GROUP D
MAZEMBE (RDC)
US MONASTIR (TUN)
Y. AFRICANS (TAN)
REAL BAMAKO (MLI)
Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) limekamilisha droo ya Hatua ya Makundi ya Kombe la Shirikisho, Yanga ya Tanzania ikiwa Kundi D pamoja na US Monastir ya Tunisia, TP Mazembe ya DRC na Real Bamako ya Mali.
Kuna jumla ya makundi manne yaliyopangwa ambapo michezo ya Hatua ya Makundi inatarajiwa kuanza Februari 2, 2023 na kuendelea hadi Aprili 2, 2022.
LIGI YA MABINGWA
GROUP AW.A.C (MAR)
A. PETROLEOS (ANG)
JS KABYLIE (ALG)
AS VITA CLUB (RDC)
GROUP B
AHLY SC (EGY)
M.SUNDOWNS (RSA)
O EL HILAL (SUD)
COTON SPORT (CMR)
GROUP C
RAJA C.A (MAR)
HOROYA A.C (GUI)
SIMBA SC (TAN)
VIPERS SC (UGA)
GROUP D
E.S.T (TUN)
ZAMALEK SC (EGY)
CR BELOUIZDAD (ALGI
AL MERRIKH (SUD)