Huduma ni pamoja na kujua kuzichanga karata!
Cha msingi lengo ni huduma bora!
Dakitali mzuri ni yule anaepambana OP room halafu akitoka inje anarudi na jibu la kueleweka kwamba mgonjwa kafa au kapona!
Lakini dakitali anaetoka O.P room kila muda kuongea na ndugu kwamba mgonjwa kapiga chafya, kakonyeza, sijui what what what! HAISAIDII! Bingwa ni yule anaepambana kisayansi na kuja na majibu ya kisansi full stop!
Wakati huu wa mgao siyo muda wa kufurahisha mtu!
TOENI TAARIFA KWA MFUMO WA PRESS CONFERENCE, RADIO, TV Na special page tu kupitia TANESCO YETU!
Vituo vidogo vitarusha taarifa call center kwa taarifa ili sisi wananchi tupate huko!
ACHANENI NA BLAAH BLAAH UPDATES KWENYE MAKUNDI YA WHATSAPP! MTACHAFUKA BURE! Kwanza mnajipa kazi bure kutuelewesha wengine wala hatuhitaji hayo ma mbambamba Mengi ya MEGAWATTS!
TUNACHOTAKA UMEME UPO AU HAUPO!
CHONDECHONDE TANESCO FUTENI MAGROUP YA WHATSAPP YANACHOCHEA HASIRA KWA WANANCHI.
Huduma ikirejea VYEMA NDIPO MTAUNGA UPYA!
Sasa hivi pambaneni kimyakimya!
Cha msingi lengo ni huduma bora!
Dakitali mzuri ni yule anaepambana OP room halafu akitoka inje anarudi na jibu la kueleweka kwamba mgonjwa kafa au kapona!
Lakini dakitali anaetoka O.P room kila muda kuongea na ndugu kwamba mgonjwa kapiga chafya, kakonyeza, sijui what what what! HAISAIDII! Bingwa ni yule anaepambana kisayansi na kuja na majibu ya kisansi full stop!
Wakati huu wa mgao siyo muda wa kufurahisha mtu!
TOENI TAARIFA KWA MFUMO WA PRESS CONFERENCE, RADIO, TV Na special page tu kupitia TANESCO YETU!
Vituo vidogo vitarusha taarifa call center kwa taarifa ili sisi wananchi tupate huko!
ACHANENI NA BLAAH BLAAH UPDATES KWENYE MAKUNDI YA WHATSAPP! MTACHAFUKA BURE! Kwanza mnajipa kazi bure kutuelewesha wengine wala hatuhitaji hayo ma mbambamba Mengi ya MEGAWATTS!
TUNACHOTAKA UMEME UPO AU HAUPO!
CHONDECHONDE TANESCO FUTENI MAGROUP YA WHATSAPP YANACHOCHEA HASIRA KWA WANANCHI.
Huduma ikirejea VYEMA NDIPO MTAUNGA UPYA!
Sasa hivi pambaneni kimyakimya!