godbless lema

Godbless Jonathan Lema (born 26 October 1976) is a Tanzanian Chadema politician and Member of Parliament for Arusha City constituency from 2010 to 2015. He was also a candidate for the same constituency in the 2015 general election which was conducted on 25 October 2015. However, the parliamentary election for Arusha Constituency had to be postponed following the death of Estomoh Malya who was the parliamentary candidate for the Alliance for Change and Transparency, a newly established opposition political party in Tanzania.
The by-election was scheduled for 13 December 2015 and Lema was expected to win since Arusha is one of the Chadema strongholds. In the October 2015 general election, his party won 23 out of 24 members of the Arusha City Council. Lema has been vocal and well known following his activists politics against the ruling Chama cha Mapinduzi. He led a number of political rallies and protests against the government and CCM, some of which resulted in serious injuries and deaths after fierce police confrontation. However, his leadership increased Chadema popularity in the Northern City of Arusha and for the first time, its council is led by the opposition.In 2020 he moved to Canada as a refugee, after being arrested without cause in a government crackdown on the opposition Chadema party following the 2020 Tanzanian general election.

View More On Wikipedia.org
  1. sinza pazuri

    PreGE2025 Godbless Lema acha mara moja kuingilia uhuru wa Vyombo vya Habari, huo udikteta uchwara uishie CHADEMA

    Watanzania wote tumepigwa na butwaa hii tabia mbaya ya kidikteta inayoota mizizi kwenye chama cha Chadema. Baada ya kuwafunga midomo wanachama wa Chadema wasitoe maoni wala mawazo mbadala kwa kutishia kuwafukuza, kuwapa majina mabaya na kuwanyamazisha. Sasa tunaona kiongozi wa Chadema mpya...
  2. Waufukweni

    PreGE2025 Lema kuanika hadharani majina ya vigogo waliopo nyuma ya pazia sakata la G-55

    Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Godbless Lema, amesema anapanga kuweka hadharani majina ya vigogo wanaodaiwa kuwa nyuma ya pazia la sakata la G-55, akibainisha kuwa baadhi yao wamekuwa wakinufaika kifedha kupitia mradi huo huku wengine wakitumika kama...
  3. Waufukweni

    PreGE2025 Godbless Lema: Polisi mna hali mbaya, mshahara wa Polisi wa miaka 50, sawa na posho na mshahara wa Mbunge miezi 6

    Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Godbless Lema amewataka polisi kushiriki harakati za kudai haki na kukataa kutekeleza amri au maagizo yasiyo ya haki wanayopewa na viongozi wao. Kwa upande wa John Heche: Posho siku moja tu Bungeni tulikuwa tunalipwa laki nne...
  4. Waufukweni

    PreGE2025 Godbless Lema: Lindi mna Waziri Mkuu Mweupe, Maisha yenu magumu

    Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Godbless Lema akiwa Lindi jana Aprili 3, amesema watu wa Lindi wana Waziri Mkuu mzuri, mweupe lakini watu wake wana maisha magumu sana, na kutaka wajue kwanini CHADEMA wanasema kama hakuna mabadiliko ya Sheria za Uchaguzi watazuia Uchaguzi usifanyike. Kupata...
  5. Pfizer

    PreGE2025 Godbless Lema: CHADEMA hatutasusa Uchaguzi bali tutahamasisha maandamano ya Amani ya kuzuia Uchaguzi

    Godbless Lema: Kama hakuna Mabadiliko ya Sheria za Uchaguzi, Sio tutasusa Uchaguzi bali tutaongoza watu Nchi nzina kuingia barabarani kufanya maandamano ya amani. Hao watu watakaoingia barabarani wataweza kuzuia Uchaguzi usifanyike. Hatuwezi tena kuvumilia Uchaguzi wa kipumbavu na kihuni...
  6. Nipe Maji

    SI KWELI PreGE2025 Lema ajitosa kugombea Ubunge, apinga ajenda ya 'No Reform, No Election'

    𝐋𝐄𝐌𝐀 𝐀𝐉𝐈𝐓𝐎𝐒𝐀 𝐊𝐔𝐆𝐎𝐌𝐁𝐄𝐀 𝐔𝐁𝐔𝐍𝐆𝐄 , 𝐀𝐏𝐈𝐍𝐆𝐀 𝐀𝐉𝐄𝐍𝐃𝐀 𝐘𝐀 "𝐍𝐎 𝐑𝐄𝐅𝐎𝐑𝐌𝐒, 𝐍𝐎 𝐄𝐋𝐄𝐂𝐓𝐈𝐎𝐍" Kupitia ukurasa wake wa Twitter (X), Godbless Lema ametangaza kuwa ameungana na wanachama wengi wa CHADEMA wanaopinga ajenda ya No Reforms, No Election. Lema ameweka wazi msimamo wake wa kushiriki kwenye uchaguzi...
  7. M

    PreGE2025 Godbless Lema, tafuta shughuli nyingine ya kufanya Bro, Makonda ameharibu kabisa CV yako

    Nimekusikiliza kwenye mkutano wako wa kumshambulia RC Makonda pale Arusha, Bro, Makonda humuwezi, mitaani hata watoto wa shule waliweza kufanya uchambuzi kuhusu mkutano wako. Umepoteza kabisa mwelekeo, unaponda Makonda kufunga barabara kulisha watu nyama, wewe kipi ulichokifanya ukiwa mbunge...
  8. W

    PreGE2025 POTOSHI Godbless Lema amechapisha picha inayoonesha wananchi waliojitokeza mkutano wa Lissu, Machi 27, 2025 Tunduma

    Wakuu salama? Nmekutana nahii picha na nmeona watu wanasema kuwa si ya mwaka huu 2025. Uhalisia ukoje JamiiCheck?
  9. ChoiceVariable

    PreGE2025 Lema: RC wa Arusha anatakiwa kuwa Mwenyekiti wa kamati za harusi. Anahangaika na matamasha badala ya kushughulika na maendeleo

    Ukisikiliza hii video ya Lema akimchana RC wa Chuga utacheka Hadi upasuke lakini ndio ukweli wenyewe. Maana Jamaa Yuko busy na makongamano kuliko kushughulikia Maendeleo. On top of that mda wote anagombana na Mbunge Kwa kugombania nafasi za Ubunge huku akiwaacha watu wa Arusha Wakiwa...
  10. Lord Denning

    Godbless Lema, The New Kinana in Tanzania Politics!! Salute kwake!!

    A man to watch, Godbless Lema!! Kwa muda mrefu sana siasa za mikakati nchini Tanzania zimekuwa zikiratibiwa na kuongozwa na Abdulrhman Kinana. Askari huyu kwa miaka mingi sana ndiye amekuwa nguzo kuu ya siasa za mikakati zilizofanikiwa kukiweka Chama cha Mapinduzi katika anga ya siasa nchini...
  11. W

    PreGE2025 Godbless Lema aachia kionjo cha wimbo wake mpya wa 'No reforms No Election' atakaouachia kesho March 25, 2025

    Mjumbewa kamati kuu Chadema Godbless Lema kupitia Ukurasa wake wa X ame sahre kionjo cha wimbo wa No reforms no election ambao ameshirikia na Hellen pamoja na Happyness. Rasmi utatoka March 25, 20225 (Jumanne)
  12. Mindyou

    Godbless Lema: Sijui kama TISS mnaona. Kunaweza kufumuka mgogoro mkubwa kati ya wafanyabiashara wazawa na wachina siku sio nyingi

    Wakuu, Tunaposema kuwa Wachina ni existential threat tunamaanisha mambo kama haya. I'm very glad hii discussion ya Wachina inaendelea na hata wanasiasa wameanza kugusia. ========================== "Sijui kama TISS mnaona , nina wasiwasi sana na kufumuka mgogoro mkubwa sana kati ya Wachina na...
  13. Mindyou

    Picha: Tundu Lissu na Godbless Lema wakutana na Zitto Kabwe na Abdulrahman Kinana kwenye msiba wa Profesa Sarungi

    Wakuu, Naona huu msiba wa Profesa Sarungi unaendelea kukutanisha magwiji mbalimbali wa siasa hapa nchini. Soma pia: Tundu Lissu afika nyumbani kwa Sarungi kuhani Msiba, wakutana na Mzee Kikwete, wasalimiana Baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa, akiwemo Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu...
  14. Mindyou

    PreGE2025 Mwanasiasa pekee anayeweza kupambana na Rais Samia 2025 ni Godbless Lema. CHADEMA take note!

    Wakuu, CHADEMA msijichanganye kumuweka mtu mwingine kugombea nafasi ya Urais CHADEMA zaidi ya Godbless Lema. Tundu Lissu ni maarufu ndio lakini linapokuja suala la kuwa Rais, Godbless Lema ni presidential material kabisa. CHADEMA kwa sasa inahitaji mtu mwenye siasa za U-populist (Kama Trump)...
  15. W

    PreGE2025 Lema awataka watu kuendelea kuchangia tone tone hata kama wanakutana na changamoto, asema mwisho wa uhuni umekaribia

    "Msikate TAMAA kabisa , endeleeni kutuma pesa hata kama mnakutana na changamoto kama hizi. Mwisho wa uhuni umekaribia sana." - Godbless Lema Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
  16. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Godbless Lema: Mkakati wa Tone Tone ni mpango wa kuchangia fedha kwa chama kwa kutumia mifumo ya kidigitali

    Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA na Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Fedha ya chama hicho Godbless Lema ameeleza kuwa mkakati wa Tone Tone ni mpango wa kuchangia fedha kwa chama kwa kutumia mifumo ya kidigitali ambayo utamuwezesha mtu yeyuote kuchangia kwa kutumia...
  17. Waufukweni

    PreGE2025 CHADEMA wazindua mkakati maalum wa kidigitali wa tone tone, Februari 27, 2025

    Wakuu Baada ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Godbless Lema, kudai kuwa chama hicho kimezuiwa kufanya mkutano wake uliopangwa kufanyika jioni ya leo, Februari 27, 2025, katika hoteli ya Sea Cliff, sasa maandalizi ya Mkutano huo Mkubwa wa chama hicho yanaendelea Makao Makuu, Mikocheni...
  18. Roving Journalist

    PreGE2025 Godbless Lema watangaza kufanya tukio kubwa Tarehe 27 Februari, 2025 ikiwemo kuzindua kampeni ya kidigitiali

    https://www.youtube.com/watch?v=wOKzLLdnpDQ Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA, Godbless Lema ametangaza ujio wa uzinduzi wa kampeni ya kidigitali ya Chama hicho utakaofanyika February 27,2025. Akiongea Jijini Dar es salaam leo February 25,2025, Lema amesema “Tarehe 27 tuna tukio muhimu Chama...
  19. mwanamwana

    PreGE2025 Mrisho Gambo: Godbless Lema aliniambia mzigo anaoupiga Rais Samia umenifanya hata hamu ya kugombea iniishe

    "Nilikutana siku moja na mjomba wangu, Lema, akaniambia: 'Bwana, ni hivi tu, mimi ni mpinzani, siwezi kusema hadharani, lakini nataka niwaambie—mzigo anaoupiga Dkt. Samia umenifanya hata hamu ya kugombea iniishe.'" "Sasa, kama mtu kama Lema ameanza kuwa na hekima, basi ujue tuko karibu kuiona...
  20. M

    PreGE2025 Team Mbowe wajidhatiti kumkwamisha LISSU, wapinga uteuzi wa Wajumbe watano wa kamati kuu aloufanya Lissu, waandika Barua kwa msajili wa Vyama

    Katika kile kinachoonekana kuendelea kwa mivutano ya makundi ndani ya Chadema, kada mmoja wa chama hicho, amepinga uteuzi wa viongozi watendaji wa juu wa sekretarieti na wajumbe wa kamati kuu ya chama hicho uliofanywa na Mwenyekiti Tundu Lissu Januari 22, 2025, akidai umekiuka katiba ya chama...
Back
Top Bottom