Kijana amepata mke mzuri,na shape mashallah,lakini nimwendo wa makofi,mangumi na mateke,faida ni gani?.
Kilele cha udhaifu wa mwanaume yeyote Duniani ni kupiga mke,unabamiza makofi mtoto wa watu na bado anakuzalia na unapewa yote kama dozi ya hypertension,huu ni ujinga.
Nimebahatika kukutana...