Naibu Rais wa zamani Rigathi Gachagua ameibua madai kuhusu kuwepo kwa kituo cha polisi kisichotangazwa rasmi katika eneo la Hurlingham, Nairobi, alichokiita “Black Site.”
Gachagua anadai kituo hicho kilitumika katika operesheni dhidi ya wafanyabiashara wa gesi ya LPG, ambapo mitungi mingi...
The graphic claiming that former Deputy President Rigathi Gachagua promised to arrest Northern Kenya leaders when elected president is a fabricated digital edit.
Mbunge wa Kiharu Ndindi Nyoro amesema hatakuwa tayari kushirikiana na viongozi waliomtukana au kumdhalilisha aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua, hata kama wataamua kuondoka UDA na kujiunga na upinzani.
Nyoro alisema viongozi wa UDA waliomkosea Gachagua na sasa wanataka kujiunga na People’s...
Aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua ameweka dau la Sh1 milioni, akisema yuko tayari kutoa fedha hizo iwapo Rais William Ruto atafanikiwa kupata angalau asilimia 30 ya kura za Luo Nyanza katika Uchaguzi Mkuu wa 2027.
Akizungumza na ujumbe kutoka Laikipia uliomtembelea nyumbani kwake Wamunyoro...
Aliyekuwa Naibu wa Rais Rigathi Gachagua ameanza rasmi safari yake ya kukata rufaa dhidi ya uamuzi wa Mahakama Kuu uliodumisha kuondolewa kwake madarakani kupitia mchakato wa impeachment. Katika rufaa hiyo, Gachagua anapinga hoja kwamba uamuzi wa Seneti hauwezi kuchunguzwa au kubatilishwa na...
Picha na video zinazosambaa mitandaoni zimezua gumzo baada ya mwanaume anayefanana sana na aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua kuonekana katika hafla moja huko Seattle, Marekani.
Mwanaume huyo alionekana akiwa amevalia kofia ya cowboy na shati la checkered, huku watu waliokuwa kwenye hafla...
Seneti ya Kenya pamoja na Spika wa Seneti wamekata rufaa dhidi ya uamuzi wa Mahakama Kuu uliobaini kuwa haki ya aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua ya kusikilizwa kwa haki ilikiukwa wakati wa mchakato wa kumng’atua mamlakani.
Uamuzi huo ulitolewa Juni 8, 2026, na majaji E.O. Ogola, Dkt. F...
A purported press release claiming that former President Uhuru Kenyatta rejected repeated requests to meet former Deputy President Rigathi Gachagua has been dismissed as fake by Uhuru’s spokesperson, Kanze Dena Mararo.
The statement goes further, portraying Gachagua as having a pattern of...
Seneta wa Makueni, Daniel Maanzo, amedai kuwa baadhi ya maseneta walipewa hongo ili kuunga mkono hoja ya kumwondoa aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua madarakani.
Akizungumza katika mkutano wa hadhara, Maanzo alisema alifikiwa na watu waliodai kumtaka akubali kiasi cha KSh10 milioni kwa...
Kwa wasiojua Rigathi Gachagua alikuwa makamu wa Rais wa Kenya chini ya Rais William Ruto lakini alipoanza kwenda kinyume na matakwa ya Rais Ruto aliondolewa madarakani kwa aibu kubwa licha ya jitihada zake za kuzuia hilo kutokea.
Yaleyale yaliyotokea nchini Kenya kuna kila dalili yakatokea...
Kiongozi wa chama cha Democracy for Citizens Party (DCP), Rigathi Gachagua, amedai kuwa Rais William Ruto anaendesha mkakati wa kumtenga kisiasa Naibu Rais Kithure Kindiki ndani ya serikali ya Kenya Kwanza.
Akizungumza wakati wa mazungumzo na vyombo vya habari, Gachagua alisema Kindiki...
Aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua, amesema eneo la Mlima Kenya litakuwa na mgombea wa urais katika uchaguzi mkuu wa 2027, hata kama yeye mwenyewe atazuiwa kuwania nafasi hiyo.
Akizungumza katika mahojiano Jumatano usiku, Julai 22, Gachagua alisema amekuwa akiwalea na kuwaandaa...
Former Deputy President Rigathi Gachagua has alleged that there is a planned scheme to trigger violence in Ol Kalou Constituency with the aim of forcing the postponement of the parliamentary by-election scheduled for July 16.
In a statement issued on Thursday, Gachagua claimed that groups of...
Former Deputy President Rigathi Gachagua has accused Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen of facilitating and financing groups of hired goons, allegedly intended to infiltrate and disrupt planned June 25 memorial protests. The claims come amid heightened political tensions as Kenyans...
You have to deal with the real issue within the stomach, not kushona makalio.
Huwezi kutuzuia kwenda Kakamega kufanya mkutano kwa kuweka GSU, you have deal with the real issue in the stomach, not stitching the anus! Stool Itapenya tu!
The High Court of Kenya delivered its judgment today in petitions challenging the October 2024 impeachment of former Deputy President Rigathi Gachagua.
A three-judge bench - Justices Eric Ogola, Anthony Mrima, and Freda Mugambi - presided over the ruling at Milimani Law Courts, Nairobi.
The...
The High Court has upheld the impeachment of former Deputy President Rigathi Gachagua, delivering a landmark ruling that validates the Senate's decision to remove him from office. The judgment, delivered by a three-judge bench comprising Justices Eric Ogola, Anthony Mrima, and Freda Mugambi...
Former Deputy President Rigathi has accused the government of mismanagement, corruption, conflict of interest and state capture, claiming Kenyans would resist attempts to expose the country to health risks.
Gachagua, who welcomed the High Court decision suspending the establishment of any...
The Kenyan political landscape is currently witnessing a tectonic shift as we approach the 2027 elections. The once "impenetrable" alliances of the 2022 polls have dissolved, replaced by a high-stakes battle for regional supremacy and ideological dominance.
Ruto Vs Gachagua
Before their...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.