gachagua

Gachagua is a surname. Notable people with the surname include:

Clifton Gachagua (born 1987), Kenyan poet and writer
Nderitu Gachagua (1952–2017), Kenyan politician
Rigathi Gachagua (born 1965), Kenyan politician

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    Gachagua atishia kuwataja wanaofanya utekaji

    Aliyekuwa Naibu Rais wa Jamhuri ya Kenya Rigathi Gachagua, amesema kuwa kuna kitengo cha siri ambacho kinapanga utekaji nyara wa vijana ambao umekua ukiripotiwa nchini humo, ambapo watu 7 wakiwa wameripotiwa kutekwa na watu wanaoaminika kuwa maafisa wa Usalama siku za hivi huko nchini Kenya.
  2. Suley2019

    Gachagua alilazimika kukimbia baada ya kundi la wahuni kuvuruga mazishi ya Limuru, watu kadhaa wajeruhiwa

    Matukio yaliyofuata mazishi ya mpendwa Erastus Nduati huko Limuru, Kaunti ya Kiambu mnamo Novemba 28, 2024, yaligeuka kuwa machafuko baada ya wahuni kuvuruga tukio hilo. Makamu wa Rais wa zamani, Rigathi Gachagua, alilazimika kukimbia baada ya wahuni kuvuruga huduma ya mazishi ya Nduati huko...
  3. Mtoa Taarifa

    Gachagua adaiwa kuanza mazungumzo ya kuungana na Upinzani ili kupambana na Ruto mwaka 2027, asema Gen Z ndio silaha yao

    Kalonzo and Gachagua’s camps are reportedly meeting in secret to devise a formula to defeat Ruto in 2027. For Gachagua, winning a duel with Ruto would be sweet revenge against the President. Wiper Leader Kalonzo Musyoka and Deputy President Rigathi Gachagua. FILE A political marriage between...
  4. Crocodiletooth

    Politics is not a war, Gachagua at home village!

    Home Sweet Home! Thanking God for the gift of my family. The smell of fresh grass, sounds of chirping birds is what a happy family needs. I will remain forever grateful to God, for giving me a loving and supportive family. We are happy to be home, where I was born and brought up! I can’t wait...
  5. and 300

    Tetesi: Gachagua kupeleka Kesi ICC The Hague

    Duru zinaeleza kuwa aliyekua Naibu Rais wa Kenya amewaelekeza wanasheria wake kufungua kesi Mahakama ya ICC The Hague ili apate haki yake ambavyo ameikosa kwenye Mahakama za Kenya.
  6. Valencia_UPV

    Gachagua akimbilia mahakama ya Rufaa

    Naibu wa Rais aliyeondolewa Madarakani amekimbilia Mahakama ya Rufaa kupinga Naibu Jaji Mkuu kuteua Majaji watatu wa kusikiliza kesi yake Mahakama kuu...
  7. and 300

    Gachagua hatapokea mshahara mwezi Oktoba

    Aliyekua Naibu Rais Gachagua Mwezi huu hatapokea mshahara, kama ilivyo kawaida Bali nae inabid ajiajiri kama vijana wengi wanavyohusiwa na wanasiasa.
  8. A

    Tetesi: Kuna kila dalili Gachagua kushinda kesi na ku-renew Madarakani

    Kesi ya kupinga Kuondolewa Madarakani kwa aliyekua Naibu Rais Gachagua inaelekea pazuri na punde mahakama inamrejesha kwenye mamlaka yake ya awali. Asante Katiba.
  9. blessings

    Gachagua hataki kuwa jobless/unemployed!

    Huku wanasiasa wakisisitiza vijana wajiajiri. Gachagua yupo mahakamani kutetea arudishwe kazini. Maana Mshahara mwezi hapati baada ya kutumiliwa na Seneti
  10. A

    Gen Z wamepotezwa kama Gachagua

    Inasemekana Mfadhili wa Gen Z alikua Gachagua sasa kapoteza Mamlaka/Cheo. Usitarajie kuwaona Gen Z tena barabarani.
  11. A

    Tetesi: Wanasheria wa Gachagua wawashukia majaji

    Mawakili wa Gachagua wawashukia majaji wakitaka kesi isikilizwe kwa kuwa muda watakaoamua bila kaangalia muda ili nchi ya Kenya ipone. https://nation.africa/kenya/videos/court-delivers-ruling-on-legality-of-ruto-s-housing-levy-4799932
  12. Mtoa Taarifa

    Gachagua aitwa kwa mahojiano kwa DCI, Ulinzi waimarishwa

    Usalama katika makao makuu ya DCI katika Barabara ya Kiambu umeimarishwa huku Naibu Rais aliyetimuliwa Rigathi Gachagua akitarajiwa kujitokeza kuhusiana na madai ya majaribio kadhaa ya kumuua. Malori ya polisi yenye vifaa vya kudhibiti umati ya watu yamewekwa nje ya boma. Security has been...
  13. W

    Ruto awasilisha pingamizi dhidi ya Mahakama Kuu kusitisha Gachagua kuvuliwa Madaraka

    Kupitia wakili Adrian Kamotho, Rais William Ruto amewasilisha pingamizi la awali dhidi ya ombi la kusitisha kumwondoa Naibu Rais, Rigathi Gachagua madarakani, akidai kuwa mahakama haina mamlaka ya kusikiliza na kuamua kesi hiyo, na akieleza kuwa ni matumizi mabaya ya taratibu za kisheria. Soma...
  14. B

    Rigathi Gachagua atakiwa kuripoti ofisi ya DCI kuandikisha maelezo ya madai ya majaribio ya kuuawa'

    Idara ya uchunguzi wa makosa ya jinai DCI nchini Kenya imemwagiza naibu Rais Rigathi Gachagua kujiwasilisha katika makao makuu ya idara hiyo jijini Nairobi kuandikisha taarifa kuhusu madai ya jaribio la kumuua mara mbili na watu anaosema ni maafisa wa idara ya ujasusi NIS. Soma Pia: Gachagua...
  15. and 300

    Tetesi: Gachagua akita Kambi nje ya Mahakama, Nairobi

    Aliyekua Naibu Rais wa Kenya, ameweka Kambi nje ya Mahakama Kuu Kenya ili kupambania kurudishiwa Cheo chake. Mawakili 20 bado hawaamini?
  16. JanguKamaJangu

    Gachagua: Nimekutana na majaribio mawili ya kuuawa wa sumu

    Aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua amedai alikutana na majaribio mawili ya kuuawa kwa njia ya sumu kabla ya kuondolewa katika nafasi ya Naibu Rais na kusema kuwa Rais #WilliamRuto amemsaliti Akizungumza baada ya kutoka Hospitali ya Karen alipokuwa amelazwa amesema “Sihisi kama nipo salama...
  17. and 300

    Gachagua amepoteza stahiki za N/Rais Mstaafu (kwa kufukuzwa kazi na Senate)

    Baada ya kufukuzwa kazi Naibu Rais Mstaafu wa Kenya Rigathi Gachagua anapoteza stahiki zifuatazo ambazo alizistahili endapo angejiuzulu. 1. Pensheni ya kila mwezi Ksh. 720,000. 2. Malipo ya mkupuo Ksh 8.2m. 3. Posho ya mafuta Ksh. 108,0000(?). 4. Gari 2 (saloon cars). 5. Gari 4WD (1). 6...
  18. and 300

    Mawakili 20 bado Gachagua kaangukia pua

    Mawakili 20 bado Naibu wa Rais (Mstaafu) Gachagua kafukuzwa kazi. Mawakili mnaokota dhambi Kwa tamaa ya pesa.
  19. Erythrocyte

    Ushahidi wa Jinsi Mihimili ya Kenya ilivyo huru kulinganisha na ile ya Tanzania huu hapa

    Pamoja na kwamba Bunge la Kenya limemuondoa Madarakani Naibu wa Rais aitwaye Gachagua, Na kufikia hata kumpitisha Naibu Mpya aliyeteuliwa na Rais William Ruto, Lakini shughuli yote hiyo imezimwa na Mahakama ya Nchi hiyo. Hii ni Baada ya Bwana Gachagua kuwasilisha pingamizi Mahakamani, Akipinga...
  20. W

    Gachagua kupinga Uteuzi wa Kilindi kuwa Naibu Rais

    Aliyekuwa Naibu Rais, Rigathi Gachagua, amewasilisha ombi la kuzuia Rais William Ruto kuteua mtu atakayejaza nafasi ya Naibu Rais baada ya kuvuliwa madaraka na Bunge la Seneti. Kupitia wanasheria wake, Kamotho Njomo & Company, Gachagua alitaka kuzuia Bunge la Taifa kujadili, kumchambua, kupigia...
Back
Top Bottom