Watu 507 waliopoteza viungo, vikiwemo mikono na miguu wamefaidika na uwepo wa kambi maalum ya kutoa viungo bandia bure iliyoandaliwa na Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI), Taasisi ya Jaipur (India) na Ubalozi wa India nchini.
Mratibu wa Kambi hiyo kutoka Taasisi ya MOI Bi...
Madomo zege hawawezagi kutongoza wao hutumia kumwaga pesa na kuonesha mikogo ya kila aina.. Ufahari usio kipimo chap
Domo zege yuko tayari kunuka madeni ili aoneshe uwezo na ukwasi.. Bingwa wa kukopa mgumu kulipa
Ukitaka kuona hasira take muite domo zege kibamia
Kitandani hamna kitu pia.. Vile...
Mfanyabiashara Yona Sonelo kutoka Jijini Dar es salaam amesema alikuwa miongoni mwa watu wa karibu waliokuwa wakifahamiana vyema na marehemu Jenista Mhagama, na kueleza kuwa alimpa moyo baada ya kutoteuliwa katika Baraza jipya la Mawaziri hivi karibuni, akimsihi asijiumize moyo bali amshukuru...
Duru zinasema Kuna mpasuko ndani ya chama cha maamuma, bakwata na maaskofu njaa.
Mmoja wao katangazwa kutema bungo Leo na bado Kuna wengine wa ngazi za juu wako vizuizini.
Raha ilioje jamani kuona wanavyo papasana matako wao kwa wao baada ya kujivika upofu kwa muda mrefu.
Na bado pumbavu...
Ukiangalia anavyofisadi mali za Watanganyika utaelewa tu huyu hajali chochote kuhusu Watanganyika. Yupo kujitajilisha yeye, familia yake na genge lake kwa mgongo wa fedha na rasilimali za Tanganyika.
Ukiangalia namna alivyoteua Wazanzibari kushika sehemu nyeti za Tanganyika ikiwemo Wizara...
Huu ndio ukweli na hata wao wanaujia, ila tu wameshindwa kupambana na roho za ubinafsi na tamaa ya madaraka.
Yaani kwa sasa hata kumita mtu sijui Mheshimiwa Raisi, Makamu wa Raisi, Waziri Mkuu au sijui waziri fulani, mbunge au diwani fulani, unaona kabisa unakosea na hustahili kumuita...
Mayi! Mimi mwenyewe au nanyi mwaona? Yaani Emmanuel bhana anafuraha muda wote kuliko kiongozi yeyote hapa nchni. Anayefuata ni Baba Levo.
Nyie embu nijuzeni kunani? Maana sio bure. Jamaa yenyu stress Hana. Amzidi furaha Mama Samuya, samuya body language yake tuu yaonyesha ako na stress full...
Poleni sana ndugu zangu nimepata maono jinsi mioyo yenu ilivyo shuka mood kwa sasa kazeni roho ndugu zangu
1.jipende nunua nguo nzuri
2.kula vizuri
3.acha kabisa kuyatazama content za ngono ambazo kwa sasa ndo zimezidi katika mitandao ya kijamii
4.fanya mazoezi kila siku kama kukimbia jioni...
Raha ya ushindi ni kufurahi pamoja na waliokuunga mkono katika kuupata ushindi.
Kunakuwa na vibe au hype fulani hivi ya kipekee pale unapokula kiapo , nyomi la raia wakishangilia kwa furaha na bashasha. Inapendeza sana .tena ukute wewe ni wa kipekee kulingana na jinsia yako...
Inapendeza...
Tanzania tumekuwa kituko kwakweli, huu ni zaidi ya udikteta. Samia anafanya Mataifa kuishangaa hii nchi, tuweke masuala ya Jinsia pembeni tujadili kwa fikra na matendo ya binadamu anayesimama kwenye majukwaa na kuongelea utu kisha kuua watu kiunyama
Ameshinda uchaguzi kwa asilimia 98, hakuna...
Nani kama Samia? Mtachonga sana.
Tunazidi kusonga mbele katika kazi na utu. Maelfu ya watanganyika wanafurahia ushindi wa maajabu wa Samia. Ushindi wa kihistoria.
Nimepigiwa simu na ndugu yangu wa Kishimundu anatokwa machozi ananiambia ana siku ya tatu hajala anajigaragaza kwenye michanga kwa...
Wagombea ubunge walioshinda 2025, kwenye uchaguzi mkuu Tanzania nilitegemea Washangilie.
Wapo kimya. Walioshinda na walioshindwa nyuso zinafanana.
Au nafsi zinawasuta?
Naoomba mle chakula kwa mikono. Sababu mikono yenu imejaa damu za binadamu. Si ndicho mlitaka?
Uzzuri hakuna Mbunge wa...
Wameenda kwenye majeshi, idara za usalama kwa uzalendo lakini sasa wakubwa wao wamekuwa mafisadi wakubwa na kuunga mkono unyanyasaji!
Sasa kuna tatizo jipya kubwa Tanzania la wanajeshi kuamini nao viongozi wao ni mafisadi
Tunaweza kujifunza sasa tukiamua kabla hazijaja nyakati ngumu.. Nguvu ya uma ni nguvu ya ajabu mno
Imewachukua vijana wa Nepal masaa 36, kupata uhuru wao kuondoa serikali isiyowajibika madarakani.
Mwanzo polisi walitumia amri, mabomu, risasi na kuzima mitandao.
Sasahivi waziri mkuu yuko...
Kuna kitu kilichokuwa kimekosekana nchini..
Furaha ya kweli, Furaha ya asili
Furaha halisi
Furaha at free will..! Furaha ya hiari
Watu Leo wamerindima na kufefea vibe kama lote toka moyoni
Makusanyiko ya hivi karibuni pamoja na kuwa na rangi yenye kumaanisha uhai.. Lakini yalikuwa...
Njoo tushare yale ambayo tumeamka tunajivunia na yanatupa furaha kwa siku ya leo.
Binafsi, leo kwenye safari yangu ya kupunguza uzito, rasmi nimeshuka chini ya 70kg, najivunia na nimefurahi sana.
Nikifika lengo langu la uzito ninaoutaka nitarudi kuwasimulia mapito na hekaheka za safari hii...
Kila mwaka, watu wanafuatilia World Happiness Report ili kujua ni nchi gani zipo kwenye "top ten" ya nchi zenye viwango vikubwa vya amani na furaha. Kinachoshangaza ni kwamba nchi tano za Skandinavia: Finland, Denmark, Iceland, Sweden na Norway, zimekuwa zikishika nafasi za juu mwaka baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.