USIACHE UMRI UAMUE HATMA YAKO...
Unaweza kuanza kwa bidii, ukiwa na miaka 29 tu—
Ukajipanga, ukajiamini, ukajenga ndoto zako kimyakimya, baada ya kupoteza kwenye 18-25s
Miaka 31, ukaoa au kuolewa, maisha yakawa tulivu alafu poa tu yani.
Sio mchongo, bali upendo wa kweli, msingi wa kesho yako...