fifa

  1. loose Nut

    Kwanini FIFA inawanyima uwana chama Zanzibar na Catalonia

    Licha ya Zanzibar (Tanzania) na Catalonia (Uhispania) kuomba sana uwana chama FIFA zimekataliwa kabisa. Cha kushangaza FIFA imewapa membership Nothern Ireland, Wales, Scotland (UK), Greenland na Faroe Islands (Denmark), Taiwan na Macau (China), New Caledonian, Tahiti (France), Guam, American...
  2. Dalton elijah

    SI KWELI Raisi wa FIFA Ametoa Masaa 72 Uongozi wa CAF kujiuzulu

    kumekuwepo na chapisho linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii ya facebook likiwa na nukuu ya kuwa rasis wa fifa gian infantinho ameta masa 72 kwa uongozi wa caf kujiuzulu Katika chapisho hilo ambalo limesambazwa kwenye mtandao huwa facebook lia nukuu ya ujumbe kama ufuatavyo” BREAKING NEWS...
  3. Lycaon pictus

    FIFA wataifungia USA kwa kuivamia Iran kama walivyoifungia Russia kwa kuivamia Ukraine?

    Tutarajie lolote kutoka FIFA? Kwanza kwa nini waliiban Russia na wanadai hawajihusishi na siasa?
  4. Da Dona

    Uganda Eyes FIFA World Cup Bid - What does it cost to host the tournament?

    Kampala, Friday,27.February- appearing before Parliament’s Public Accounts Committee while discussing the December 2025 Auditor General’s report, Kedrace Turyagenda, Permanent Secretary at the Ministry of Education and Sports, revealed that Uganda is already thinking ahead. " we are already...
  5. Waufukweni

    Eng. Hersi ateuliwa na FIFA kufundisha mfumo wa mabadiliko ya klabu Doha, Qatar

    Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani [FIFA], Limemchagua Rais wa Klabu ya Yanga SC na Mwenyekiti wa Umoja wa vilabu Afrika [ACA], Eng. Hersi Said kuwa miongoni mwa Wataalam watakaofundisha kwenye Kongamano kubwa la Mpira litakalofanyika Doha, Qatar, siku ya kesho, Desemba 14,2025. Eng. Hersi...
  6. stakehigh

    Rais wa FIFA anashambuliwa sana mda huu, mashabiki wa timu za Afrika wamepigwa komeo kuingia Marekani

    Mwaka ujao kutakua na kombe la dunia na watu wengi mtandaoni wapo kwenye sintofaham ya kuingia marekan, mpaka sasa raisi hajatoa kauli yoyote lakini hali sio nzuri
  7. B

    Kenya, Tanzania kufuzu kwa raundi inayofuata ya mchujo wa kufuzu kwa Kombe la Dunia la FIFA la Wanawake U-20

    Luanda, Angola Septemba 28, 2025 Tanzania imesonga mbele kwa jumla ya mabao 7-0 dhidi ya Angola. Baada ya kushinda 4-0 katika mechi ya kwanza, Tanzania ilipata ushindi wa 3-0 katika mechi iliyochezwa Jumamosi mjini Luanda. Winfrida Hurbert Gerald, Asha Omary Ramadhani na Neema Paul Kinega...
  8. tonicimmobility

    FIFA kufuta magoli yanayofungwa kupitia mpira unaotemwa na kipa

    Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) linatafakari kufanya mabadiliko makubwa katika sheria ya upigaji penalti kwa kuondoa mabao yanayofungwa kupitia mpira unaotemwa na kipa. Katika mapendekezo hayo, mchezaji atakuwa na nafasi moja pekee ya kufunga; endapo atakosa, mchezo utaendelea kwa kipa...
  9. DuaZaMama

    TFF yatoa orodha ya mawakala wa Tanzania wanaotambulika na FIFA

    Shirikisho la soka nchini Tanzania (TFF) leo limetoa orodha ya mawakala 12 wa wachezaji waliofaulu na kupata leseni ya kufanya shughuli za uwakala wa wachezaji ya Shirikisho la soka duniani (FIFA). Mapema mwaka huu, Amos Mlandali maarufu kama Sizo alikuwa mmoja kati ya walifaulu mtihani wa...
  10. Waufukweni

    Tetesi: FIFA yadaiwa kuitaka Yanga kujieleza kwa tuhuma za kuichangia pesa za Uchaguzi CCM

    Kwa mujibu wa chanzo, Shirikisho la soka duniani FIFA limeitaka klabu ya Yanga inayoshiriki ligi kuu soka Tanzania bara kujieleza juu ya tuhuma za kushiriki Siasa kwa kukichangia pesa za uchaguzi chama cha mapinduzi CCM mwaka huu 2025. Tamko hili la FIFA kwenda kwa Yanga ni matokeo ya...
  11. DELETED ACCOUNT

    Yanga yapeleka utetezi FIFA katika skendo ya kujiingiza katika siasa

    Baada ya FIFA kuilima barua Yanga kuhusiana na kitendo chake cha kuichangia na kutoa sapoti ya wazi kwa chama cha siasa, inasemekana utetezi wao umejikita katika kukosekana kwa ushahidi wa kikao kilichofanya maamuzi hayo na pia kukosekana kwa stakabadhi za malipo hayo. Binafsi najiuliza, hivi...
  12. Official jr

    GAMING PC FOR SALE

    GAMING PC MOTHERBOARD: CVN B460 GAMING FROZEN CORE i5 -10500 12 CPUs (10th GENERATION ) RTX 2060 6GB 16GB RAM (DDR4) 4 Slots 120GB SSD 500GB HDD 520Watt Antec PSU NZXT CASE ORIGINAL LENOVO CONTROLLER GAMES: FC 25 COD MODERN WARFARE II UNCHARTED COLLECTION GTA COLLECTION PRICE: 1.3m...
  13. kavulata

    Je, FIFA inakataza chama cha siasa kuwa na timu ya mpira wa miguu?

    Hebu wananzengo tuongezeane uelewa kwenye nyanja ya football: Je, kuna kifungu kwenye katiba ya FIFA, CAF, CECAFA au TFF kinachokataza chama cha siasa kumiliki timu ya mpira wa miguu? Je, FIFA inakataza chama cha siasa kusaidia kifedha au usajili timu ya mpira wa miguu? je, FIFA na TFF katiba...
  14. cerengeti

    Jinsi ya kuwasilisha malalamiko FIFA

    Jinsi ya kuwasilisha malalamiko kwa FIFA --- 📝 Jinsi ya Kuwasilisha Malalamiko kwa FIFA 1. Tambua Aina ya Malalamiko Yako FIFA inashughulikia malalamiko ya aina mbalimbali, kama vile: Rushwa au upangaji wa matokeo Migogoro ya mkataba au uhamisho wa wachezaji Utovu wa nidhamu wa mawakala...
  15. Abdul Said Naumanga

    CHADEMA yaishitaki YANGA kwa barua kwenda FIFA

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimewasilisha malalamiko rasmi kwa FIFA Ethics Committee dhidi ya Klabu ya Young Africans SC (Yanga). Malalamiko hayo yanahusu mchango wa TZS milioni 100 uliotolewa na Yanga kwa chama cha siasa (CCM) katika hafla ya Gala Dinner iliyofanyika Mlimani...
  16. Manyanza

    Barua ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwenda FIFA

    15 Agosti 2025 Kamati ya Maadili ya FIFA Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) FIFA-Strasse 20 S.L.P. 8044 Zurich, Uswisi KUMBUKUMBU YA MALALAMIKO RASMI DHIDI YA KLABU YA YOUNG AFRICAN SPORTS CLUB KWA KUJIHUSISHA NA SIASA ZA VYAMA – TANZANIA Waheshimiwa Wajumbe wa Kamati ya Maadili ya FIFA...
  17. B

    Complaint Regarding Breach of FIFA Code of Ethics by Young African Sports Club

    Dear FIFA Ethics Committee, I am writing to report a potential breach of the FIFA Code of Ethics by Young African Sports Club, the current premium football champion in Tanzania. On Monday, 11 August, at Mlimani City Hall in Dar es Salaam City , the club's president contributed 39,000 to the...
  18. Ileje

    TFF iadhibiwe na FIFA endapo haitaiadhibu Yanga kwa kushiriki kampeni za CCM!

    Ni wazi Yanga imekiuka kanuni za FIFA kwa kushiriki kampeni za CCM katika uchaguzi mkuu wa kisiasa kupata viongozi wa serikali. Kwa hiyo ili kuepuka rungu la FIFA na kulinda heshima ya nchi kimichezo lazima TFF ichukue hatua za kuiadhibu Yanga ikiwa na pamoja na kuifungia kushiriki mashindano yo...
  19. KING MIDAS

    Yanga kushitakiwa FIFA na wanaharakati kwa kuvunja Sheria za FIFA zinazikataza vilabu kushiriki siasa za vyama vya siasa

    Hiki ndio kinachoendelea hiko kwenye kurasa za wanaharakati Jamani tuwaandikie FIFA kuhusu ukiukwaji wa kanuni za maadili ya Yanga! Kanuni za FIFA na hata CAF zinakataza kabisa kujihusisha na siasa za vyama! Itume kwa barua pepe ethics@fifa.org Anwani andika: FIFA Ethics Committee...
  20. N

    Barua Kwa FIFA

    Ngurumbizi Dudumizi P.O. Box 1920 Iringa, Tanzania 13 August 2025 Head of Integrity & Compliance Fédération Internationale de Football Association (FIFA) FIFA-Strasse 20 8044 Zürich, Switzerland Subject: Grievance regarding Young Africans SC pledge of TZS 100 million to a political party...
Back
Top Bottom