Masikio Masikio
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 1,840
- 3,378
Bado kuna watu wanaamini ili uwe na exposure lazima uende abroad kwa dunia ya science na technologia unahitaji tu simu yako ya smartphone na bando utajifunza jambo ambalo unalitaka
Sikatazi watu kwenda abroad kama umepata nafasi ni vizuri ila kama hujapata wekeza mda wako kwenye kuperuzi mambo ya msingi utajifunza mambo mengi sana
Kuna watu kupitia tutorial wamejifunza mambo mengi sana
Kama unakiu ya kujifunza jambo flani hutatafuta visingizio kwamba hulijui kwa sababu hujaenda nje kwenye dunia ya science na technologia, ni mambo machache sana ambayo yanakulazimu uende abroad kuyasoma
Sikatazi watu kwenda abroad kama umepata nafasi ni vizuri ila kama hujapata wekeza mda wako kwenye kuperuzi mambo ya msingi utajifunza mambo mengi sana
Kuna watu kupitia tutorial wamejifunza mambo mengi sana
Kama unakiu ya kujifunza jambo flani hutatafuta visingizio kwamba hulijui kwa sababu hujaenda nje kwenye dunia ya science na technologia, ni mambo machache sana ambayo yanakulazimu uende abroad kuyasoma