Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 879
- 4,125
Mradi wa DART umepewa mkurugenzi mpya ambaye ni Kindammba. Kwa utendaji wa Kindammba kama mkuu wa mkoa sidhani kama huyu ni kiongozi wa nafasi za kitaalamu kama makampuni.
Najiuliza baraza la mawaziri lililokaa wiki hii na kumpitisha lilijishauri vyema au lilitumia influence ya kiongozi mkuu kumpitisha?
Kwanini Tanzania tunaogopa kuzishindanisha hizi nafasi watu waombe? Nakumbuka Nehemia Mchechu aliwahi kushauri nafasi za wakuu wa mashirika ziwe zinaombwa badala ya kuwa na nafasi za uteuzi ila mfumo ulimpinga vikali.
Huyu Kindammba siyo mtu wakupewa shirika lililokufa kwasababu yeye mwenyewe ni tegemezi wa fikra na hajawahi kuwa mtu wakuchukua hatua pale anapoona ubadhirifu.
Najiuliza baraza la mawaziri lililokaa wiki hii na kumpitisha lilijishauri vyema au lilitumia influence ya kiongozi mkuu kumpitisha?
Kwanini Tanzania tunaogopa kuzishindanisha hizi nafasi watu waombe? Nakumbuka Nehemia Mchechu aliwahi kushauri nafasi za wakuu wa mashirika ziwe zinaombwa badala ya kuwa na nafasi za uteuzi ila mfumo ulimpinga vikali.
Huyu Kindammba siyo mtu wakupewa shirika lililokufa kwasababu yeye mwenyewe ni tegemezi wa fikra na hajawahi kuwa mtu wakuchukua hatua pale anapoona ubadhirifu.