ethiopia

  1. Mag3

    JamiiForums Tanzania Pompeo to make 1st trip to Africa in a bid to reassert US as a leading partner The secretary of state will visit Senegal, Angola and Ethiopia

    After nearly 22 months in office, the US Secretary of State Mike Pompeo will make his first trip to sub-Saharan Africa on Saturday, in a bid to reassert the U.S. as the leading partner to the world's youngest and likely to be most populous continent amid strong Chinese influence and a growing...
  2. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Ethiopia yahitaji msaada wa chakula

    Ukame mkali wa mara kwa mara unaoikumba nchi ya Ethiopia umepelekea watu takribani milioni 7 kuhitaji msaada wa chakula. Baraza la uratibu wa majanga nchini Ethiopia limearifu kwamba watu milioni 7 katika nchi hiyo wanahitaji msaada utakaogharimu dola bilioni 1. Katika taarifa hiyo iliarifiwa...
  3. Kingsmann

    JamiiForums Tanzania FAO: Tusipowadhibiti nzige wanaoikabili Ethiopia, Kenya na Somalia watasambaa

    Shirika la Umoja wa Mataifa la chakula na kilimo FAO limeonya kwamba nzige walioivamia Ethiopia, Kenya na Somalia sasa ni wimbi kubwa kuwahi kushuhudiwa hivi karibuni na lisipodhibitiwa kuna uwezekano wa kusambaa katika nchi nyingine za Afrika Mashariki. Wimbi kubwa la nzige walionekana...
  4. beth

    JamiiForums Tanzania Misri, Ethiopia, Sudan zakubaliana matumizi ya Mto Nile

    Misri, Ethiopia na Sudan wamefikia makubaliano ya awali ya kujaza maji na shughuli nyingine kwenye bwawa kubwa linalojengwa Mto Nile. Taarifa ya pamoja iliyotolewa na nchi tatu, pamoja na Marekani na Benki ya Dunia, imesema kwamba washiriki wanaojadiliana wamekubaliana kujaza bwawa la Grand...
  5. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Mhitimu wa Chuo Kikuu anayejikimu kimaisha kwa kusafisha viatu Ethiopia

    Chekole Menberu, mwenye umri wa miaka 27,alikuwa na matumaini makubwa ya kupata ajira mara baada ya kumaliza shahada yake ya uhandisi wa kemikali(chemical engineering) miaka miwili iliyopita nchini Ethiopia. Ulikuwa ni wakati wa ukombozi, akiangalia miaka aliyoteseka kufikia kiwango hicho cha...
  6. Neter

    JamiiForums Tanzania Ethiopia has just launched its first satellite into space

    Ethiopia has Just Launched its First Satellite into Space Ethiopia has just launched its first observatory satellite into space. The rocket launched was aired live on Ethiopian Broadcasting Corporation Though it was launched from China its command and control center is based at the Entoto...
  7. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Abiy Ahmed wa Ethiopia akabidhiwa tuzo ya amani ya Nobel

    Waziri mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed ametunukiwa tuzo ya amani ya Nobel mjini Oslo akitoa wito wa kuwepo umoja huku machafuko ya kikabila yakiitikisa nchi yake na juhudi za suluhu pamoja na Eritrea zikionyesha kukwama. Abiy Ahmed mwenye umri wa miaka 43 ameshinda tuzo ya amani ya Nobel...
  8. Superbug

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu wa Ethiopia apokea tuzo ya Nobel

    Ni jambo jema na kubwa sana Mwafrika mwingine anaongezwa kwenye tuzo yenye heshima sana duniani ya Alfred Nobel. Mpaka aasa Waafrika ninaowakumbuka ambao wamepata hii tuzo ni: - Nelson Mandela - Desmond Tutu - Mathai Wangari Waziri Mkuu huyu wa Ethiopia sasa anaingia katika orodha ya watu...
  9. Mekatilili

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania LAPSSET: Lamu Port and South Sudan Ethiopia Transport: News & Photos

    Summary: The project will involve the following components:[2] A port at Manda Bay, Lamu Standard gauge (1,435 mm (4 ft 8 1⁄2 in)) railway line to Juba and Addis Ababa, the South Sudanese and Ethiopian capitals respectively. Road network Oil pipelines (South Sudan and Ethiopia) Oil refinery at...
  10. Kingsmann

    JamiiForums Tanzania Misri na Ethiopia walumbana kuhusu Mto Nile

    Ethiopia inajenga bwawa kubwa linalojulikana kama Renaissance, ujenzi huo unatarajiwa kumalizika mwakani Bwawa kubwa la 'Renaissance' ni kivutio kikubwa nchini Ethiopia Bwawa hilo linalojengwa Ethiopia linatarajiwa kuwa kituo kikubwa zaidi cha kuzalisha umeme barani Afrika. Ujenzi huo...
  11. Ack

    JamiiForums Tanzania Jinsi ndege ya Ethiopia ilivyoanguka B737 max 8

    Hii video inaonyesha namna ndege ya Ethiopia ilivyoanguka, It is Just Simulation not Exactly
  12. Habibu B. Anga

    JamiiForums Tanzania Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

    Historia ya Kweli ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda KILIO CHA MIFEREJI YA DAMU IENDAYO ETHIOPIA Sasa, unaweza kupata nakala za Kitabu changu cha "NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI NA UJASUSI". kitabu kina kurasa 442 na ndani yake kuna makala 17. Bei ya kitabu hiki ni Tsh 50,000/- Pia waweza kupata...
Back
Top Bottom