dunia

  1. O

    JamiiForums Kenya Kenya Yaibuka Nafasi ya Pili Dunia Katika Mashindano ya U20 Oregon

    Mashindano ya Dunia ya Riadha kwa wanariadha walio chini ya miaka 20 yaliyofanyika Eugene, Oregon, Marekani, ikimaliza nafasi ya pili kwenye jedwali la medali. Timu Kenya ilijikusanyia medali 11—dhahabu 4, fedha 3 na shaba 4—ikifuatiwa na wenyeji Marekani waliotwaa medali 24. Kenya pia ilikuwa...
  2. JamiiForums Tanzania Uislamu unavyozidi kuleta mugawanyiko na viongozi wao wenye imani.Je tunapoelekea ndio wanataka kuonesha dunia au ni imani.

    Matamko ya viongozi ambao wanaonesha wazi wazi sasa yanaonekana ghana na nageria kuwa hawataki imani imani nyingine zaidi ya wanao wasimamia wenye imani zao. Hii imekaaje maana dunia inapoelekea tunaenda sio ukabira ni udini hata hapa tanzania kashaonesha kuwa anafanya.
  3. JamiiForums Tanzania DUNIA ITAZIKA WATU WAPI?

    Waungwana Habarini Za Asubuhi Kwamujibu Wa Takwimu za United Nations kwa Makadilio ya Mwaka Huu 2026 Dunia ina Jumla ya Zaidi ya Watu Billion 8.3 Na Inakadiliwa Itafikia Zaidi ya Watu Billion 10 Kufikia Mwaka 2050, Makadilo Ya Sasa Ya Umri Wa Kuishi/Life Expectancy Kwa Dunia Ni Miaka 73 Na Kwa...
  4. JamiiForums Tanzania Hivi dunia ina historia ya kuwa na Rais kichaa kama Trump? Sasa anajificha na kuzungukwa na silaha akihofia kuuliwa na muajemi halafu domokaya

    Wakati wa kampeni alipanga kupigwa shaba (kukunwa na shaba) akatamba si muoga, sasa anajificha... Ila kwa kweli huyu jamaa kama si mwehu basi uzee unamvamia vibaya mno na hastahili kubaki ofisini. Nilidhani ni sisi tu Afrika tuna maraisi wazee wang'ang'anizi wa madaraka hata akili...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kuna muda unatamani wakoloni weupe wangeendelea kubaki, hebu angalia mpango huu mkubwa wa reli wa kuiunganisha Tanganyika uliovurugwa na vita ya dunia

    Miaka zaidi ya 100 iliyopita, Kabla ya Vita vya Kwanza vya Dunia, Wajerumani walikuwa na mipango mikubwa ya maendeleo ya miundombinu Tanganyika. Baadhi ya mipango ilikuwa tayari imeshakamilika. Kwa mfano, reli inayotumika hadi sasa kutoka Dar es Salaam hadi Kigoma, yenye urefu wa takribani...
  6. JamiiForums Tanzania Uislamu umepungua kwa angalau pointi 5 nchini Tanzania na Oman, lakini unakua kwa kasi maeneo mengine ya dunia

    Utafiti mpya wa kituo cha Utafiti cha Pew umebaini kwamba Afrika ya jangwa la Sahara imelipiku bara Ulaya kama sehemu ilio na Wakristo wengi duniani. Kulingana na ripoti hiyo Pew inasema kwamba hali hiyo imesababishwa na kuzaliwa kwa wingi kwa wafuasi wa dini hiyo Afrika huku wafuasi wanaoishi...
  7. JamiiForums Tanzania Zama za mwisho wa dunia? Mchina aja na teknolojia hii

    Mchina huko anafanya zoezi la kuzi train drone kwa algorithm ya kuua mbu kwa kuzichapa laser beam. Hii kwa jicho la tatu ni message kama tu ameshaweza kuya train ma chip ya AI ndani ya drone kuchapa makombora mbu kama mbu vipi kwa object kubwa kama binadamu na wengine. Message hio kwamba vita...
  8. JamiiForums Tanzania Je, in reality dunia hii ipo? Au ipo kichwani kwangu tu?

    Je wanajukwaa dunia hii ipo au ipo kichwani kwangu tu Ile unatoka asubuhi unaenda mishemishe unarudi jioni home, baada ya kupoa kidogo unaelekea mahali fulani kama kamgahawa unaagiza gahawa, Una watch movies utulivu ukiwa ni mwingi sana, u go somewhere u connect with positive people, u make...
  9. JamiiForums Tanzania Lockheed SR-71 Blackbird jini la angani lililoitesa dunia.

    Lockheed SR-71 Blackbird ni mojawapo ya ndege za ajabu zaidi kuwahi kutengenezwa. Ingawa watu wengi huiita ndege ya kivita, ukweli ni kwamba ilikuwa ndege ya upelelezi (strategic reconnaissance aircraft), si ya kushambulia adui. Haya ndiyo mambo muhimu kuhusu SR-71: 1. Kasi ya ajabu Kasi...
  10. JamiiForums Tanzania Hatimae Dunia imeanza kuamini na kutumia hizi Data za Tume iliyoundwa na Samia, na itaenda hivo vizazi na vizazi.

    Kitu pekee Samia anapambana na ccm kwa ujumla ni kutaka uongo uwe officialized na uwe documented. Na unajua madhara ya kua documented? Madhara yake ni kua hizo taarfa ndio zitakua Rasmi kwa vizazi na vizazi na zitakutumika kama reference. leo hii Dunian taratibu inaanza kutumia Data za watu...
  11. JamiiForums Tanzania Wajue Mapogos kundi la simba madume sita lililoishangaza dunia

    Mapogo ni mojawapo ya hadithi maarufu na za kusisimua zaidi kuwahi kutokea katika ulimwengu wa simba. Walitawala kwa nguvu, ujanja na ushirikiano wa kipekee, lakini mwisho wao ulionyesha kuwa hata watawala wakubwa hawaishi milele. Mwanzo wa Mapogo (2006) Mapogo walitokea katika eneo la Sabi...
  12. JamiiForums Tanzania Dunia hii siwezi danganywa jambo nimeyapata maarifa sana kwa njia nyingi sana

    Wanaume Wengi ni wazembe wa kujitaftia maarifa ila ukitaka kuweka confidence na kuweka ego au aura ! 1. Soma sana makala , vitabu na majarida ya topic kadhaa hii ni tabia yangu toka shule Mpaka nikaitwa encyclopedia ya shule (Britanicca) dawati langu lilijulikana hata kwenye hoja za kikanda na...
  13. JamiiForums Tanzania Unafikiri kwa nini CCM haina ushawishi kwa members wengi humu JF?

    Hamjambo! Kwa mtu mgeni akiingia humu JF anaweza kufikiri Mtandao au forums hii niya wapinzani. Itisha polls zozote zile. Polls itakayohusisha CCM humu JF lazima ishindwe kwenye kura kwa kiwango cha kutosha. Juzi niliitisha Polls fulani hivi ya kishikaji. Kuona watu wanamaoni gani kuhusu...
  14. JamiiForums Tanzania Dunia sasa imebakisha aslimia fulani kuingia kwenye Apocalypse

    Apocalypse ni neno la asili ya Kigiriki (apokalypsis) lenye maana ya ufunuo, kufunuliwa au kuwekwa wazi kwa jambo lililofichika. Mfano leo uwezi kufanya uwovu alafu ukasema ule sio uwovu na wala sikufanya ukaona hakuna mwenye kumbukumbu. Mifumo yote ambayo dunia imeifanya na kuifanya dunia...
  15. JamiiForums Tanzania Dunia imetufikisha hapa

    Siku hizi mwanamke akienda sokoni akiwa ananunua matango akiyashika na kuchagua kubwa soko Zima macho kwake! 👀 👁️ Mtu ukienda kununua mafuta ya nazi unaenda kununua kwa kificho wakati unaenda kupaka tuu kwa matumizi ya ngozi Yako. Ukinunua zako Nazi na mihogo ule vitu asili watu wote macho...
  16. JamiiForums Tanzania Swali: Dunia bila Mwanaume je nani angemlinda Mwanamke?

    Hili swali nimelikuta sehemu nikavutiwa na mjadala wake, Hivi kabisa mwanaume amlinde mwanamke dhidi ya nani? Mjusi? Mende? Panya? Buibui? au Mdoli? Lol, Ni lini Mwanamke akahitaji ulinzi wa mwanaume? Mwanamke siku zote hujilinda dhidi ya mwanaume na sio otherwise, Hivi mnajua dunia ingekua...
  17. JamiiForums Tanzania Kwa sasa dunia ilipofikia marehemu ni dili kwa viungo vyake

    Nikikumbuka uswahilini kuku anachaondolewa ni manyoya na kinyesi vengine vinabaki. Kwa dunia ya sasa ijaweka wazi ila wanadai mwanadamu ambaye kashafariki anaweza kuondolewa viungo ndani ya mda maalumu hata vyote na vikafanya kazi kwa mwanadamu. Tungepata Jokeri.
  18. JamiiForums Tanzania Baba mzazi wa tunu shekhome amefariki dunia usiku huu hospital ya kairuki

    Pole sana tunu wewe na dada mwajabu shekhome poleni sana . Mungu ni mja wa.wote I niliahidi... Nipo pamoja nanyi
  19. K

    JamiiForums Tanzania Bora aendelee kuwa bubu hivyo hivyo kuliko kuitangazia Dunia kwamba kuna ugaidi

    Kwa hili niwape kongole wazee wa geti jeusi wale wazee wa kitengo, huo ushauri mlioupa imekaa vizuri sana, maana Dunia haituelewi hadi muda huu, hata wafanyabiashara wa sekta ya utalii hawaelewi Nini kimetokea. Embassies na High Commission zote nchini, tayari wameshatuma salamu kwenye nchi zao...
  20. JamiiForums Tanzania Dunia haijaumbwa kuwaheshimu watu dhaifu, yakupasa ujipambanie

    Ushawai kujiuliza kwanini baadhi ya watu wana nguvu, heshima, ushawishi na nafasi ya kubwa katika jamii. Basi ipo hivi Dunia haijaumbwa kuwaheshimu watu dhaifu, kwa hiyo pambana ili uheshimike. Ndiyo maana wenye sauti kubwa mara nyingi ni wale wenye nguvu ya fedha, maarifa, ujasiri au ushawishi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…