dunia

  1. Tuhifadhi sehemu zetu za siri dunia tunayoenda wengi watapotea.

    Miaka ya themanini dunia ilikuwa inaandikwa kwenye kitabu Ni aghalabu sana kwa mali au sehemu ya mawazo ya muandishi kupotea sababu ya upatikanaji wa hizi nakala za waandishi,watu walihifadhi maandishi kama inavyohifadhiwa mali na kwakiasi kikubwa tumeikusanya elimu ya vitabu vichache na...
  2. Je ni evolution au mwisho wa dunia?

    Lastweek nilikua na mgeni wangu kutoka South Africa, tulikua kwenye spot moja maarufu tu hapa dar. Tulipokua pale walikuja vijana watano, wawili wakike na watatu walikua wakiume lkn wanaonekana kabisa ni mashoga. Kwa kuwa tulikua tumerelax tu tunabadili mawazo yule msouth akaniuliza "Does...
  3. Waziri Mkuu Modi awashukuru viongozi wa dunia kwa salamu za pongezi wakati wa sherehe ya kuapishwa kwake

    New Delhi [India], Juni 2024 Waziri Mkuu Narendra Modi amejibu jumbe mbali mbali za pongezi kutoka kwa viongozi wa dunia baada ya kuapishwa kwake kwa muhula wa tatu mfululizo. Narendra Modi aliapishwa kuwa Waziri Mkuu wa India kwa muhula wa tatu mfululizo Jumapili katika sherehe ya kuvutia...
  4. FT: Zambia 0-1 Tanzania | Kufuzu Kombe la Dunia | Levy Mwanawasa Stadium | 11/06/2024

    Leo, Taifa Stars Itakuwa dimba la Levy Mwanawasa ikisaka ushindi mbele ya timu ya Taifa ya Zambia Chipolopolo, mchezo kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026 Mechi hii itapigwa saa 1:00 usiku 00: Mchezo umeanza 06: Tanzania 1-0 Zambia 10: Zambia 0-1 Tanzania 20: Zambia 0-1 Tanzania 30: Zambia...
  5. Dunia huwa haiendeshwi na ukweli

    Maisha ya hapa duniani huwa hayaendeshwi na ukweli uliowekwa na binadamu. MTU anayekupa NO na kukuambia haufai MTU huyo huyo kesho anakupa YES na kukuambia unafaa. Hivyo unapoishi hapa duniani usifatishe kile watu wanachoamini Ila fatisha unachoamini wewe. Hivyo ukiambiwa hauwezi, ukiambiwa...
  6. Mwanamke tajiri kuwahi kutokea dunia, aliyeyesifika kwa ubahili ulio tukuka

    Jinsi Hetty Green Alivyokuwa 'Mwanamke Tajiri Zaidi Nchini Amerika' Wakati wa Enzi ya miaka ya dhababu "GILDED AGE" Akiitwa "Mchawi wa Wall Street," Hetty Green alikuwa mmoja wa watu tajiri zaidi nchini Marekani mwanzoni mwa karne ya 20. Katika karne ya 19 nchini Amerika, ukuaji wa viwanda...
  7. USA hata kama akasimama pekeake dhidi ya dunia nzima kivita, bado tutapigwa tu

    Kuna watu wana uelewa mdogo sana kuhusu uwezo wa USA kiichumi, kivita, silaha, technology. Ukweli unabaki pale pale kwamba hakuna taifa lolote linalomsogelea MAREKANI kwenye: a) Uchumi b) technology c) silaha d) Vita e) Biashara Uwezo wa Marekani ni mkubwa mno kwenye hizo nyanja. Kama...
  8. Benki ya Dunia yaisadia Tanzania dola milioni 300 kuendelea kuimarisha sekta ya nishati nchini

    TANZANIA KINARA AFRIKA KWA USAMBAZAJI WA NISHATI KWA WANANCHI 📌 Tanzania na Benki ya Dunia kushirikiana katika miradi ya nishati 📌Benki ya Dunia yaisadia Tanzania dola milioni 300 kuendelea kuimarisha sekta ya nishati nchini 📌Tanzania yapongezwa kufanya vizuri usambazi wa umeme kwa wananchi...
  9. RPC Ruvuma asema Mtuhumiwa aliyejeruhiwa kwa risasi ya mguu wakati kitoroka amefariki Dunia

    Kamanda wa Polisi Mkoa, SACP Marco Chilya amesema Francis Ngonyani Severianus ambaye ni mtuhumiwa uhalifu wa uvunjaji wa maduka maeneo ya Ruhuwiko Stendi amefariki Dunia baada ya kupoteza damu nyingi kutokana na jeraha lililotokana na risasi aliyopigwa na Askari Polisi wakati anatoroka akiwa...
  10. Netanyahu awatesa wapalestina, aitesa Marekani, Israel na dunia yote. Mwisho wake utakuwa funzo kwa binadamu

    Waziri mkuu wa Israel hapana shaka ataingia kwenye rekodi za dunia kama mtu aliyeleta mateso makubwa si kwa wapalestina peke yao bali kwa dunia yote.Tayari ameshampiku Hitler na wengine waliotajwa kwenye historia ukimuondoa Fir'aun. Wapalestina wameuliwa wengi sana kwa kupigwa kwenye majumba...
  11. Dunia ipo wakati mmbaya ila itaharibika zaidi kama mrengo wa kushoto (Leftists) watakuwa na control kubwa katika jamii.

    Far Left/Progressive/Fanatics ni kundi la watu wabovu sana. Kwa nchi kama Marekani chama cha Democrat ni mfano wa watu wa mrengo wa kushoto. Watu hawa ndio wana harakati wa mambo machache yafuatayo: ■kufanya abortion iwe halali ■Kusambaza vitabu vya ushoga na utupu kwa wanafunzi wa primary...
  12. Video: Sikiliza jinsi Shirika la Afya la Dunia (WHO) linavyojipanga kukabili population Afrika

    Salam wana jukwaa. Kwenye video ni Dr. Wahome kutoka Kenya mbele ya Mhe. Museven, Rais wa Uganda akimwelezea jinsi WHO inavyojipanga kupitisha sheria au protocol ambayo itaipa nguvu katika kufanya maamuzi kuhusu masuala mbalimbali ya afya. Swali la kujiuliza ni je, wataalam wetu wamejipanga vipi...
  13. N

    Pata website bora kutoka kwetu, miliki radio yako dunia kiditali

    https://www.testimonygospelradio.com Karibu kwa mwenye kuhitaji kutengenezewa website yenye viwango, online radio yenye ubora kwa bei nafuu kabisa!!
  14. Tanzania yashiriki katika Mkutano wa Dunia wa Jumuiya ya Habari (WSIS), nchini Uswisi

    Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Moses Nnauye (MB), akiongozana na Naibu Katibu Mkuu, Nicholaus Mkapa ameongoza kikao kazi cha ujumbe wa Tanzania katika ofisi ya balozi na mwakilishi wa wakudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa kabla ya...
  15. Dunia inaendeshwa kwa mtindo wa siri kwa jina la 4D

    Siri ya dunia ni kubwa yenye kikundi kidogo au watawala waliopo duniani na nyuma yao kwa ajili ya kuendesha dunia. Nimeona nilete mada hii ili mjiulize kwa ufupi sana kuhusu maisha yenu na vizazi vyenu kwenye mijadala mingi mnayozuka nayo hapa JF. 4D ni jina lenye maana nyingi ila kwa mada...
  16. J

    SoC04 10% ya fedha inayotolewa na Halmashauri kwaajili yakuwainua vijana kiuchumi zitumike kujenga vyuo vya ufundi kuendana na kasi ya teknolojia ya dunia

    Ili Tanzania kuendana na kasi ta teknolojia duniani ni lazima tuwe na vyuo vingi vya ujuzi angalau kila wilaya, ilikusudi wale wanao onekana wameshindwa mitohani basi baraza liwachague kwenye hivyo vyuo vya ujuzi kuliko kuwaacha wakae mitaani tu. Hali zikisha kuwa ngumu za maisha ndo...
  17. RC Makonda anaishi katika ulimwengu wa pekee katika dunia hii

    Aminini Aminini nawaambieni. Mwenye macho halazimishwi kuona ikiwa atakaza fuvu basi hamtaweza kuona kile mnachoambizana,na kwanini tusisemezane kwa mazuri na tukayasahau mabaya yote? Mbora wenu zaidi ni yule mwenye kusamehe. Mh PAUL MAKONDA ni zao la kikwete limestawi katika bustani ya...
  18. Harmonize avunja record ya dunia ya kuachia Album inayosifia tu Mamlaka

    Ni wazi kwamba hakujawahi kutokea msanii aliyewahi kuachia Albamu yenye nyimbo zinazosifia tu Mamlaka. Wasanii wengi uachia tu Single track za kusifia mamlaka au kiongozi wa juu wa serikali, lakini Mmakonde huyu ameenda mbali zaidi na kuachia Album yenye nyimbo zote zinazosifia Mamlaka na...
  19. SoC04 Serikali iendane na mabadiliko ya dunia kwenye teknolojia

    1. Kwanza kabisa Mbinu au maono ambayo yatatumia zaidi ya miaka mitatu na kuendelea Ni Kuhakikisha SERIKALI inawarahisishia wanainchi Kwenye Upatikanaji wa maji na Ulipaji wake kupitia njia ya kisasa kuendana na kasi ya Dunia, Kulipia Maji kwa mita ambazo utalipia kabra mwananchi hajatumia Maji...
  20. TANZIA Elinaike O. Ulomi amefariki Dunia.

    Ninatoa pole sanaa Kwa familia ya Ndg. PATRICK NGILOI ULOMI Kwa kuondokewa na Mama Yao mpendwa hakika wamekuwa kati majonzi makubwa ya kuondokewa na muhimili na nguzo imara ya familia nawapa pole sana na kuwatakia subra tele kutokana na msiba huu mkubwa uliowapata kipindi bado mna mna muhitaji...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…