dudu baya

  1. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Dudu baya: Amvaa vikali Profesa J kupewa Milioni 30 na Rais Samia. Unatumia ugonjwa kupata fedha, wakati waTanzania wanamaisha magumu

    Dudu Baya amkalia koo Profesa J baada ya kupatiwa milioni 30 na Rais Samia Suluhu Profesa J hongera kwa kugewa milioni 30 na mama Samia yani wewe huna utofauti na Wastara mnatumia ugonjwa kupata fedha wakati Watanzania wanamaisha magumu na Watanzania wanamachungu na damu za ndugu zao walipotea...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Balozi Mpoki Ulisubisya: Dudubaya anachosema ni Mapambio na Anapaswa kuwa Mzalendo

    Nipo kwenye ziara ya Waziri wa AFYA - Mh. Mohammed Mchengerwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Mwananyamala muda huu saa 7 Mchana. Katika ziara hii, Katibu Mkuu - Wizara ya Afya kamkaribisha Mkurugenzi Mkuu wa MOI Balozi Dr. Mpoki Ulisubya aweze kutoa ufafanuzi kuhusiana na vifaa vya MRI na...
  3. Pakome

    JamiiForums Tanzania Dudu Baya hapati utamu kwenye kauli zake pasipokutamka neno shoga

    Dudu Baya huwa hapati kabisa utamu pasipokutamka neno shoga kwenye kauli zake Nikama akili ya Dudu Baya imejaa ushoga Hakuwahi kuzungumzia swala lolote pasipokutamka shoga Hapatagi utamu anapokuwa na wanaume pasipokuwatukana mashoga Sijafahamu kiwango cha ushoga katika akili yake ni cha...
  4. Fbn

    JamiiForums Tanzania Hivi Mwijaku unataka kusema wewe unaifahamu game na majiji hapa Tz mpaka Dudu baya

    Mtu umetoka zako kijijini ukafika chuo juzi leo unataka kujiona kama umezaliwa DSM. wanaomsikiliza Mwijaku naona akili zenu zipo sawa naye.
  5. ngara23

    JamiiForums Tanzania Dudu baya amjibu mkewe mkubwa Fela aliyelalamika kuwa mmewe ametengwa na wasanii baada ya kuwa mgonjwa mahututi

    Mapema wiki hii mke wa mkubwa Fela amelalamika kuwa wasanii ambao mkubwa Fela aliwasaidia Sasa hawapokei simu wala kutoa msaada, mkubwa Fela amekosa pesa za matibabu yupo hoi nyumbani kwake hana huduma wala msaada wowote Dudu baya amebainisha kuwa 1. Mkubwa Fela alifanya dhulumu nyingi na...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Dudu Baya: Majizzo kalewa mabilioni ya CCM, Diamond na wenzake wamelewa sifa za kijinga

    Godfrey Tumaini, a.k.a. Dudu Baya amefunguka kwa kina akielezea jinsi Majizzo anavyonufaika na Kampeni za CCM huku akiongelea dharau za Diamond na wenzake kwa watanzania tokana na kujaa sifa za kijinga. Msikilize vema
  7. R

    JamiiForums Tanzania Dudu Baya: Kuna wasanii wa kiume wameolewa na wanaume wenzao, nao wanasema fanyeni kazi

    Msikilize msanii Dudu baya kuhusu kauli alizozitoa msanii Diamond kuhusu watu kufanya kazi waache kulalamika
  8. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Ukiukataa huu Ukweli Mchungu wa Dudu Baya ni lazima tu utakuwa una matatizo makubwa ya Akili

    Dudu Baya umemaliza kila Kitu. Tuliobahatika kutembea kidogo hapa na pale nchi kadhaa (Team Passport kujaa Mihuri ya Uhamiaji) tunakuunga mkono kwa 99.9%. Nilikuwa najiuliza sana tu kwanini ukienda Uingereza, Marekani, Ufaransa na Ubelgiji unawakuta mno Raia wa Nigeria (Wapopo), Congo DR...
  9. Travis Kitengo

    JamiiForums Tanzania Dudu baya aka konky master

    Dudu baya au KONKY master siku hizi kaacha muziki na kuwa mchambuzi much know katika online Tv hapa bongo 1.Anajua chanzo cha diamond kugombana na wasanii wenzake kina harmonize,alikiba 2.Anajua chanzo cha vita ya Ukraine na Russia 3.Anajua sababu za Aziz-ki kutemwa Wydad 4.Anajua sababu ya jux...
  10. Fbn

    JamiiForums Tanzania Hivi Dudu baya ndio nani kila jambo kuhusu dunia hii yeye kawa mchambuzi na kuna watu wanamsikiliza kweli

    Kuna wakati kunatakiwa kuzuia hawa wanahabari kujua mahojiano na wanataka kuwahoji. Yani huyu Dudu baya kila jambo yeye kawa mchambuzi mpaka maisha ambayo hakisikia Lucas Mwashambwa kachanganyikiwa kesho dudu kahojiwa. Wanaompa Airtime ni kwamba hawana content za kutengeneza.
  11. The Mongolian Savage

    JamiiForums Tanzania Dudu Baya ajuta kuzaliwa mtu mweusi

    Akihojiwa na MaxMedia aliyekuwa msanii maarufu wa bongo flavour Dudu Baya anajutia kuzaliwa mtu mweusi. Kauli Yake. I hate blacks. Mimi najuta kuzaliwa jitu jeusi. Nachukia sana majitu meusi. Yani jitu jeusi kugewa hela kamuue max ni jambo la kawaida halafu wazungu wamekaa wanachekelea. We are...
  12. Huihui2

    JamiiForums Tanzania Dudubaya: Lissu hawezi kuwa Mwenyekiti CHADEMA

    Msikie kwenye hii video:-
  13. U

    JamiiForums Tanzania Huenda bwana Dudu Baya akawa ndio akawa ndio Mshauri mashuhuri wa NCHI!

    Heri ya Xmas Niende kwenye mada kwa Tanzania asaiv huenda bwana DUDU BAYA akawa ndio MSHAURI mashuhuri wa NCHI hii ni baada ya kuona ikitokea sintofahamu yoyote nchini waaandishi mara moja hukimbilia kumuomba ushauri au maoni iwe kisiasa kimapenzi nk...
  14. Knock life

    JamiiForums Tanzania Dudu baya, Mtoto wako Wile yupo na hali mbaya jaribu kumuokoa anateketea .

    Familia ya dudu baya (msanii) mtoto wenu anaitwa Wille Yupo analala nje coco beach amedata Kwa kulinda privacy sitoweka Picha yake . Huyu Kijana anatumia Bangi, Pombe , na uchafu mwingine Amedata kiakili analala Nje , mchafu hana nguo , akili haifanyi kazi . Unfortunately Baba yake anapitia...
  15. dr namugari

    JamiiForums Tanzania Mzee wa Upako na Dudu Baya mmelidharau bunge la Tanzania

    Leo sijui kumetokea nn kwenye mitandao Ya kijamii yaani clipu fupi fupi za mzee wa upako na dudu baya wakitema nyongo zao juu ya bunge hili la spika Tulia Mzee wa upako yeye alifika mbali kwa ssa hivi yeye hawezi kupoteza muda wake kulitazama bunge hili , kwani wabunge waliopo hawajui lolote...
  16. Yoda

    JamiiForums Tanzania Dudu baya kauliza maswali ya msingi kuhusu Airport ya Dar es Salaam(JKNIA)

    Kwa nini Airport ya Dar es Salaam huwa hawauzi Ugali, ubwabwa kama wa mtaani, pilau, ndizi, mchicha, metembele, magimbi, mihogo, viazi vitamu, dagaa, chips mayai(zege) na vyakula vingine vya aina hiyo vya Kiswahili, Kitanzania au kiAfrika zaidi? Soma Pia: Unauonaje ushauri wa "Dudubaya" kuhusu...
  17. T

    JamiiForums Tanzania Dudu Baya: Kinachofanya Tanzania itulie tofauti na jirani zetu ni kuwa sisi tumenyimwa elimu ya haki zetu. Wenzetu wanayo

    Akizungumza kwenye moja ya blog za mitandaoni msanii huyo mkongwe amesema kuwa inayoitwa amani tuliyonayo Tanzania ni kwa vile tu wananchi wamenyimwa elimu ya haki zao. Amesema kwa mtanzania akiwasha runinga akaona kipindi kinaongelea mambo ya katiba anahamisha hiyo chanel haraka sana...
  18. Determinantor

    JamiiForums Tanzania Dudu Baya ampa za uso Msigwa

    Kama huna bando sio kosa langu, hebu sikiliza hapa Chini https://vm.tiktok.com/ZMrCXakBB/
  19. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Dudu Baya amshusha kwenye gari na kisha kumkaba Saimon Mkondya (Mr Manguruwe)

    Hivi huyu Manguruwe ni nani na katokea wapi? lengo lake nini? Leo kakutana na kipondo cha Dudu baya kwa madai ya kumkashifu. --- Siku chache baada ya mfanyabiashara na mmiliki wa mradi wa kijiji cha nguruwe, Saimon Mkondya kumsemea mbovu msanii mkongwe nchini Dudubaya, msanii huyo amemtimbia...
  20. B

    JamiiForums Tanzania Dudu Baya: Misikiti na Makanisa yajenge nje ya Makaazi ya watu

    Dudu Baya awaasa viongozi wa kiimani na pia kuwasisitiza kujenga nyumba za ibada katika sehemu tulivu zenye nafasi ya kujenga madrasa, Sunday schools, misikiti na makanisa ambazo hazijapakana na mabaa au kumbi za muziki au stendi za mabasi, masoko n.k https://m.youtube.com/watch?v=jXu_AGfnkTU...
Back
Top Bottom