doctor

  1. Travis Kitengo

    Babu wa Loliondo: Kielelezo cha spinning doctor

    Enzi hizo spinning doctor ilifanikiwa sana Kwa kiasi kikubwa tofauti na leo. Ndio maana Dowans Scandal ilikufa kifo cha mende. Swali je, kwa sasa spinning kupoteza nguvu ni uelewa kwa sasa kuwa mkubwa kwa watu au elimu inatolewa ipasavyo.
  2. Jamii Opportunities

    Health Volunteer – Medical Doctor at CCBRT

    Position: Health Volunteer – Medical Doctor Ref: 2023-26 The role Examining and treating patients in both the outpatient and inpatient departments, which includes running scheduled clinics, screening of patients, admitting patients to the ward, prepare operation lists and update Senior...
  3. T

    Msaada: Nahitaji Daktari yeyote anisaidie

    Nimepatwa na mtihani mmoja mzito na sijui kinachoendelea kwa sasa naomba kama kuna doctor humu asiye judge makosa ya mtu nimuelezee anipatie ushauri kwa sababu ni jambo gumu kidogo kulielezea ana kwa ana.
  4. Nukes

    Physics-B, Chemistry-C na Biology-C. Kuna kozi gani ambazo ni za afya mhitimu huyu anaweza jaza kwa mwaka huu kulingana na competition?

    Naomba msaada wa mawazo
  5. Moronight walker

    FUMANIZI: Mke amfumania mume (doctor) akimlaza mchepuko kama mgonjwa

    Mke wa doctor amemfumania mume wake kituo cha kazi (cha afya), akiwa na mchepuko, Huku mchepuko akilala utupu kitanda cha mgonjwa kama mgojwa. Ili achepuke na doctor.
  6. Jamii Opportunities

    Medical Doctor at Peking Health Care Limited May, 2023

    Peking Healthcare limited’ Anewly growing company located in Ilala-Dar es Salaam which offers high level quality health services is looking for competent candidates to join the team at one of her dispensaries located in Ilala-Dar es Salaam. Currently there is one(01) vacancy to be filled. If you...
  7. J

    Natafuta mchongo wa Medical Doctor (MD)

    Nipo full registered medical board na nina Active License. Nipo Dar kwa sasa ila popote nakuja, part time or full time.
  8. Hemedy Jr Junior

    Daktari anamiliki "pharmacy" dawa anaiba hospitali halafu anadai ajira inalipa

    Ukiona mtu anasifia kuajiriwa mchunguze sana, wengi wapigaji! Ona mfano mdogo; mwalimu hana posho au marupurupu ndo maana kila siku analalamika. Mapolisi nao, hivyo hivyo. Kuna mambo mengi sana kwenye ajira, ukiona mtu anasema anapata milioni 5 mshahara matumizi yake bei gani kwa siku? Na...
  9. Brain Kingdom

    Tuliosoma nao wakishakuwa Madaktari wa Falsafa(PhD) wanajikuta sana. Hivi inawasaidia nini?

    Wasalaam JF, Bila wivu ila ukweli usemwe, hawa jamaa tuliosoma nao primary, secondary na vyuo, akishapata udaktari wa Falsafa yaani PhD au uprofessa wanajikuta sana, wanajiona kama elimu yake ni uboss wakati elimu ni yake na maisha ni yake, kama wewe ni Frank, Anna, Rachel , Juma hilo ndio jina...
  10. F

    Kwa mujibu wa Vyuo Vikuu Duniani, watu waliyopewa Udaktari wa Heshima wasitambulishwe kama ‘Doctor’

    Ndio maana hatukusikia ‘Doctor Julius Nyerere’ japo alikuwa na doctorate za heshima zaidi ya sita. Kwa mujibu wa wanataaluma na mapokeo ya vyuo vikuu duniani wale waliopewa doctorate za heshima hawapaswi kuitwa doctors kama wale waliosomea PhD. Soma hapa: Should Recipients of an Honorary...
  11. MakinikiA

    Doctor wa heshima na umeme wa mgao

    Kwangu Mimi angesubiri kwanza miaka mitano ili nimpe marks Ila kwa sasa naona ana 45% tu kwenye utendaji. Labda kwa kuruhusu watu kulamba asali na wengine kuangalia kwa macho ndio heshima yenyewe. Umeme changamoto bado, mfumuko wa bei, japo maji ametatua baada ya kelele nyiiiiingi .
  12. D

    Kumbe Doctor of Letters (honorary) Ina hadhi kubwa kuliko PhD?!

    Nimesikia kwa Mkuu wa Chuo Kikuu Dare salaam kuwa Udaktari wa heshima ndio una hadhi kuliko Udaktari wa kusoma na utafiti wa falsafa (PhD). Embu mwenye uelewa atupe tuition kidogo.
  13. ERTUGRUL BEY

    Good doctor!

    Ilikuwa inakaribia saa sita na nusu usiku,nimetoka wash room tayar kwenda kulala,,,,mara mdogo wangu ananigongea mlango na kusema "broo chakula hakikai tumboni na kibaya Zaidi najisikia kutapika Mda wote lakini nikienda wash room hakuna kinachotoka hii Hali inaniumiza Sana". Nikajisemea Moyoni...
  14. Jamii Opportunities

    Medical Doctor - Obstetrics & Gynaecology at CCBRT

    Vacancy: Medical Doctor(s) with Experience in Obstetrics & Gynaecology Ref: 2022-37 Comprehensive Community Based Rehabilitation in Tanzania (CCBRT) aims to be the leading provider of accessible specialized health services in Africa and serves as healthcare social enterprise and through...
  15. kajekudya

    Haji manara ni Spin Doctor Konki

    Ni hayo tu wakuu. Kazi kwenu mchague kuendelea na mjadala wenu wa pekeji au mhamie kwa Manara na Jambo lenu liwe limekamilika hivo.
  16. Da'Vinci

    Doctor Strange in the Multiverse of Madness film

    Hello y’all Shuleni tulifundishwa kwamba kazi ya fasihi ni kufundisha, kuonya, kuburudisha na kukosoa, lakini pia kuna phrase moja inasema kwamba “Literature doesn’t exist in Vacuum” . kwamba fasihi haiwezi kutokea kwenye sehemu ombwe, sehemu isiyokua na kitu wala watu. Hivyo ili fasihi itemize...
  17. BLACK SUPERMAN

    Doctor Strange 2 imeshatengeneza $42M kama mauzo ya tiketi ya mapema kabla ya Mei 6

    Marvel's Doctor Strange in the Multiverse of Madness tayari ameingiza dola milioni 42 kabla ya mauzo ya tikiti kabla ya kutolewa Mei 6, Filamu inayokuja sio tu muendelezo wa Doctor Strange wa 2016, lakini ni muendelezo wa Loki na Spider-Man: No Way Home. Filamu ya Doctor Strange pia itaendeleza...
  18. Jamii Opportunities

    Medical Doctor - Re-Advertised at Maternity Africa

    RE-ADVERTISED MEDICAL DOCTOR Maternity Africa (www.maternityafrica.org) is a Christian-based, charitable, non-governmental organization registered in Tanzania. It is devoted to making childbirth safe by providing access to good maternity services and treatment of obstetric fistulae and other...
  19. Jamii Opportunities

    Medical Doctor (1 Position) at Médecins Sans Frontières (MSF)

    Médecins Sans Frontières (MSF) is an international, independent, medical humanitarian organisation that delivers emergency aid to people affected by armed conflict, epidemics, natural disasters and exclusion from healthcare. MSF offers assistance to people based on need, irrespective of race...
  20. Chimunguru

    Tatizo la kuwashwa mwili mara kwa mara- Fahamu chanzo, pata ushauri na tiba ya tatizo hili

    Habari JF Doctor na wana jamii wote. Mdogo wangu wa kiume (23yrs) ana tatizo la kuwashwa mwili mzima tokea mwaka 2002. Nimezunguka naye takribani hospitali zote kubwa hapa Dar lakini hatujafanikiwa kupata ufumbuzi wa tatizo lake. Kwa ufupi ni kwamba alianza tu kuwashwa jichoni, macho...
Back
Top Bottom